EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Kweli mkuukwenye shida ndipo utapi mjua yupi rafiki yupi mnafiki
Inawezekana mkuu wa Kaya Ana ushawishi unakumbuka alivyo kufa Pierre awakwenda na akwenda
Cheap reasonsWametuma wawakilishi.
Nimeona bendera zao pia zinapepea nusu mlingoti.
Na maanisha akwenda yeyeMsiba wa piere alienda jakaya kikwete na mama samia suluhu
Mupe...muruke...?!!Maana naona ni kama Waziki Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja, na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwasababu ya Korona au hawakuona unuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame
nao wamegoma??
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao
View attachment 1519387
Kwa heri mzee baba Watanzania tunatosha.
Huyo mlevi hanipagi shida ina hata RAILA japo sio rais ila huwa anakujaga saana TZKenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.
Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Hawa jamaa sio wakutufanyia hivi mazeeMupe...muruke...?!!
Jr[emoji769]
Haya ni mawazo yako, ushirikiano kati ya nchi na nchi ni jambo kubwa kuliko msiba. Hivi mtu kama ametuma salamu za rambirambi na kupepea bendera ya nchi yake nusu mlingoti kwa siku tatu bado haitoshi tu?Maana naona ni kama Waziki Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja, na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwasababu ya Korona au hawakuona unuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame
nao wamegoma??
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao
View attachment 1519387
Kwa heri mzee baba Watanzania tunatosha.
Kupanga ni kuchagua naona wao ndio maisha waliyoyachaguaKupeperusha bendera nusu mlingoti kwa siku tatu ni ishara tosha tupo nao pamoja. Covid wameikumbatia na imewapenda zaidi.
counterpart wao kahudhuria msiba nchi gani?Maana naona ni kama Waziri Mkuu wa Burundi peke yake ndio amekuja na baadhi ya Mabalozi, ina maana ni kwa sababu ya Korona au hawakuona umuhimu wa kuja? Au ndio watasingizia KORONA?
Yaani hata majirani
Museveni
Kenyatta
Kagame, nao wamegoma?
Nakumbuka alipokufa Moi Mkapa na JK walienda, so wao wametususa au.
Huu ni upuuzi kuanzia sasa kila nchi ipambane na changamoto zake yenyewe, hata wakiuana tusipeleke majeshi yetu kwao.
View attachment 1519387
Kwaheri mzee Baba, Watanzania tunatosha.