EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
- Thread starter
- #41
Waje lini sasa? waliambiana au mbona wote hawajatokeaSio lazima waje leo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waje lini sasa? waliambiana au mbona wote hawajatokeaSio lazima waje leo.
Fafanua kidogo Mzee baba umeishia njiani
Kwa uzito wa Mkapa hio haitoshi mkuu, kafanya mengi sana kwa hawa majirani kama msuluhishi wa kimataifaKagame, Museven walitangaza siku tatu za makmbolezo na bendera nusu mlingoti. Sema jingine
Bila shaka hapo umevaa BARAKOA??Tanzania ni high risk profile kwenye Covid19 kwa sababu tumeamua kuficha data.
Hakuna atakayependa kurisk afya yake kizembe.
Haya mkuuWatakuja Kukufafanulia Wajuvi zaidi Mkuu kwani Mimi ni Popoma tu katika Medani hiyo na hata hapo nilivyokuambia hivyo nimebahatisha pekee.
WameDHamiLiaHawa jamaa sio wakutufanyia hivi mazee
Ila kote huko hakutuma mabalozi bali watu wazitoKwani JPM huwa anakwenda msibani ?Kenya hakuenda wala Burundi hakwenda.
Acha tule Maisha bana. Bila uongozi wa JPM huyo Lisu wenu angekuja lini?Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.
Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Hawa jamaa tutalipana tu JPM ile kichwa ni kama ishawahi kupitia cha Ar cityWameDHamiLia
Jr[emoji769]
Coronavirus. The main factor.Ila kote huko hakutuma mabalozi bali watu wazito
Korona wanaishi nayo wao huku tupo salama kabsaaCoronavirus. The main factor.
Kwa mfano wakionekana Kijijini Lupaso kuna shida kwani?Waje lini sasa? waliambiana au mbona wote hawajatokea
....... Ana ushawishi au Hana ushawishi? Ulitaka kusema nini labda ??? ....awakwenda,..... Akwenda!!!! Nini hii?Inawezekana mkuu wa Kaya Ana ushawishi unakumbuka alivyo kufa Pierre awakwenda na akwenda
Kukumbatia ugonjwa kumbe nayo ni demmokrasiaKenyetta jana alisema nchi yake ina fuata demokrasia na haiwezi kuacha kutangaza hali ya korona nchini kwake kwa kuzuia vyombo vya habari kutangaza. Sasa hilo jiwe unadhani lilitupwa wapi?
Tuna jiaibisha kwa vitu vidogo sana..
Huko dio kabsaaaaaKwa mfano wakionekana Kijijini Lupaso kuna shida kwani?
Kwani kuna tofauti gani kati ya Dar na Lupaso?Huko dio kabsaaaaa
kama wameshindwa Dar Lupaso si ndio balaa
Ni sawa ila uwepo wao ulikuwa muhimu sanaKwani kuna tofauti gani kati ya Dar na Lupaso?
Hata hivyo wametoa heshima pakubwa kwa kuombeleza msiba huu mkubwa kwa bendera za nchi zao kupepea nusu mlingoti kwa siku Tatu.