mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Naona mpk wale tunaowafikiria ni marafiki/ndg zetu wa damu SADC naona hawajahudhuria.Baba mwenye nyumba hakutembelei halafu wewe umtembelee kwa sababu mwanae huwa anakuja nyumbani kwako? Halafu wewe ungekuwa mzee kama Museveni ungetembelea nchi ambayo takwimu zake za corona hazijulikani?