Viongozi wakuu wa nchi wamesusia kuja kumuaga Mkapa?

Viongozi wakuu wa nchi wamesusia kuja kumuaga Mkapa?

Baba mwenye nyumba hakutembelei halafu wewe umtembelee kwa sababu mwanae huwa anakuja nyumbani kwako? Halafu wewe ungekuwa mzee kama Museveni ungetembelea nchi ambayo takwimu zake za corona hazijulikani?
Naona mpk wale tunaowafikiria ni marafiki/ndg zetu wa damu SADC naona hawajahudhuria.
 
Hapo nimekuelewa sana mkuu. huwezi kujipeleka kwenye mdomo wa mambo ukiwa na akili timamu.
Baba mwenye nyumba hakutembelei halafu wewe umtembelee kwa sababu mwanae huwa anakuja nyumbani kwako? Halafu wewe ungekuwa mzee kama Museveni ungetembelea nchi ambayo takwimu zake za corona hazijulikani?
 
Kenyatta: Kenya isilinganishwe na nchi zinazoficha takwimu za Corona ambazo pia hazina uhuru wa habari na demokrasia. Yani Tanzania iliyokuwa ya mfano inapigwa madongo na Kenya.

Kenyatta hawezi kuja kwenye nchi ya hivyo.
Usiwe mpumbavu dogo!

Nchini Kenya bendera zinapepea nusu mlingoti, Uganda, Rwanda Drc, Burundi nako hivo hivo nchi zote hizo zilitangaza siku 3 za maombolezo! Je kuna kushiriki zaidi ya huko?

Pamoja na hayo, kuna kiongozi gani wa nchi umeona anasafari kipindi hiki?
 
Baba mwenye nyumba hakutembelei halafu wewe umtembelee kwa sababu mwanae huwa anakuja nyumbani kwako? Halafu wewe ungekuwa mzee kama Museveni ungetembelea nchi ambayo takwimu zake za corona hazijulikani?
Takwimu zetu za korona haziwahusu
 
Usiwe mpumbavu dogo!

Nchini Kenya bendera zinapepea nusu mlingoti, Uganda, Rwanda Drc, Burundi nako hivo hivo nchi zote hizo zilitangaza siku 3 za maombolezo! Je kuna kushiriki zaidi ya huko?

Pamoja na hayo, kuna kiongozi gani wa nchi umeona anasafari kipindi hiki?
Bendera kupepea nusu mliongoti ni swala ambalo ni la makubaliano ya EAC na lipo kwenye muongozo. Uwe unafuatilia mambo kabla hujaandika.
 
Kenyetta jana alisema nchi yake ina fuata demokrasia na haiwezi kuacha kutangaza hali ya korona nchini kwake kwa kuzuia vyombo vya habari kutangaza. Sasa hilo jiwe unadhani lilitupwa wapi?
Tuna jiaibisha kwa vitu vidogo sana..
Kwa wajinga kama nyie mnafikiri ni sifa kwake!

Kenyata kasema hivyo kutokana na malalamiko ya raia wake, wana njaa vibaya sana, huku wao wakiendelea kukumbatia corona kwa kigezo cha democrasia?

Nenda pale kenya uone raia walivyochoka kutokana na huo ujinga wa hiyo democrasia anayisema Uhuru!

Kwanza nani anaficha? Hivi hapa tz hatujuani mpaka useme wafu wanaficha? Kifo unawezaje kuficha?
 
Taifa la TANZANIA ndio masterminds ya mataifa yote ya East Africa na NCHI zinazopakana naxo pia na baadhi ya mataifa ya kusini mwa Africa sema kuna miaka tulijisahau hawa tegemezi wakaanza kujitafutia sasa wamepata hela ya kula wameanza kiburi Ila kwa habari njema tuu na nikutoe wasiwasi miaka si mingi Taifa la TANZANIA linarudi kwenye nafasi yake kikubwa tuongeze ubunifu na juhudi katika kazi zetu saiz ukienda Namanga Sirali Tarakea Loitok-tok na Horohoro utashuhudia mengi makubwa
 
Nchi haifuati protocol za Corona kulingana na maagizo ya WHO, sasa nani amlete kiongozi wake ili aje apambane na COVID bana!! Sasa hivi hatuna record yoyote ile...tupo tupo tu.
Ulimuona nani anasafiri kwenda huko wanakofuata protocol?
 
Taifa la TANZANIA ndio masterminds ya mataifa yote ya East Africa na NCHI zinazopakana naxo pia na baadhi ya mataifa ya kusini mwa Africa sema kuna miaka tulijisahau hawa tegemezi wakaanza kujitafutia sasa wamepata hela ya kula wameanza kiburi Ila kwa habari njema tuu na nikutoe wasiwasi miaka si mingi Taifa la TANZANIA linarudi kwenye nafasi yake kikubwa tuongeze ubunifu na juhudi katika kazi zetu saiz ukienda Namanga Sirali Tarakea Loitok-tok na Horohoro utashuhudia mengi makubwa
Hii inahusiana na msiba mzee baba?
 
Ukijitenga unatengwa. Simple! Hata vijijini huko kama kuna mwanakijiji ambaye haudhurii misiba ya wenzie, siku ukitokea kwake huwa anaachiwa. Anaachiwa kweli. Hata kuchimba kaburi, anaachiwa.
Aarh hio noma hopefully mambo ya Corona ndio yamefanya wasije lkn ikiwa ni mambo ya mzee baba hawatembelei na wao wakalipa kisasi then kidiplomasia kuna cha kurekebisha hapo.

Nilitegemea rais wa Burundi aje maana kule kwao mambo ya Corona nao 'yameshaisha'kama bongo ila nilivyoona nae katuma mwakilishi nikaona hii inafikirisha kidogo.
 
Back
Top Bottom