Viongozi wasio na maono, weledi na ubovu wa mifumo unaifanya serikali kulipa watumishi wengi wasiokuwa majukumu ya kazi

Viongozi wasio na maono, weledi na ubovu wa mifumo unaifanya serikali kulipa watumishi wengi wasiokuwa majukumu ya kazi

Naunga mkono hoja nadhani serikali yetu sikivu watendaji wote wakuu wangeenda kujifunza namna makampuni ya watu binafsi wanvyofanya kazi hata ikibidi waende kuangalia ofisi za mabalozi wa nje waliopo nchini wanavyochapa kazi. Sehemu nyingine hata kuongea na simu binafsi ni shida lakini ofisi za uma hapa kwetu wanaongea na simu binafsi bila aibu hata kama mteja anataka kuhudumiwa.
Duh
 
Back
Top Bottom