Viongozi wazuri wako CCM, hata ukinuna shauri yako

Viongozi wazuri wako CCM, hata ukinuna shauri yako

Ukiwa kwenye Harakati zenye mafanikio ya kimwili na Kiroho ni lazima ujitenge na anasa ikiwemo ulevi na uzinzi.

Hata kanuni za asili zipo hivyo . Ukiwa mlevi utaropoka hovyo kama yule Mwanajeshi mhaya aliyeropoka dili la kumpindua Nyèrere
Uko sawa je hao niliotaja hawakutumia kilevi na kufanikisha nchi zao kupata uhuru na kuziongoza vizuri?
 
umesema kweli kabisaa na uko sahihi sana gentleman. Ulowataja walikua wanywaji 👊

ila sasa huyo mlevi mpaka akavunjika unadhani ni mywaji 🤣

si unajua kuna utofauti wa unywaji na mlevi Lakini 🤣

wanadamu wate tunakunywa,
wengine maji, wengine juice n.k

Ila walevi sasa kama huyo muungwana mkubwa wa chama 🤣
Wewe ni miongoni mwa vibaka waliomshambulia na kusingizxia kuwa alilewa konyagi.Pumbavu zenu.
 
Wewe ni miongoni mwa vibaka waliomshambulia na kusingizxia kuwa alilewa konyagi.Pumbavu zenu.
kuvizia wake za watu inafaa uwe na mbio sana,

vinginevyo utapigwa ngwara moja tu utavinjika miguu yote miwili,
na hivi nyagi iko ndio iko vizur imepanda kichwani utahisi umengatwa na mbuu tu, ila ndio hivyo huwezi kumove on 🤣

pombe sio chai na na tamaa sio kitu kizuri hasa kwa viongozi waandamizi wa taasisi...

hata hivyo,
viongozi waandamizi waziri wako CCM hata ukinuna shauri yako 🐒
 
Hebu sikiliza wananchi hawa wazalendo nchini, wakielezea uzuri wa viongozi wa CCM kwa video ya wimbo bora kabisa hapa chini.

Fanya uwezavyo ndugu mdau, tafuta bando na udownload wimbo huu wa maana sana kwako na kwa Taifa zima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

Well said Mkuu, kuna wale wakosoaji wa kila kinachofanyika bila wao kujua wanataka nini lazima waje kutoa povu. Kimsingi povu ni ruksaaa!
 
Mimi sio mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, na wala sio social scientist bali nipo kwenye natural sciences. Kwa mujibu wa research nazofanya mojawapo ni qualitative ambayo haihitaji empirical data, tunapata conclusions kwa human perceptions, feelings, thoughts, says, mitazamo, mazungumzo, reactions, nk nk.

Kwa ujumla utafiti wangu usio rasmi qualitatively, naona Chadema ni lidude moja kubwa mno na linalotisha sana kwa kutazama namna reactions, na qualitative data zilizopo humu JF, radioni, social media zingine, TV, blogs, Polisi, jeshini, mitaani, magengeni, chats, groups za chawas etc. hamna siku chadema haijatajwa mara 10 hadi 20! Kuanzia mama yao/yetu akilala, akiamka, akiongea, akiwaza, chadema inazunguka kichwani kwake, makondeko kule kwa landrover kila akiamka, makalai kwenye mizunguko yake ya perdiem, joni nchambi, tulizo kule dom, mcheza kiduku wa daslam, hapi, mkumbwa, cc yote ya ccm, machawa wazoefu na wapya kote mitandaoni, mwashamba, talalalah, choicevariable, yohana mbatizaji, na wengine lukuki. Polisi ndio wakisikia kuanzia kaka yao mkubwa anayevaa official dress na buti hata kwenye sherehe ikulu kama yupo vitani ndio wanapagawa kabisa na kuitana nchi nzima, na kuwasha mazimamoto yao ya kipigaji. Hili dude linawatisha sana kisaikolijia.

My conclusion kwa haya naona chadema sasa niifananishe na maji kwa kweli, yani ni lazima uyatumie tu ili uishi, kuna watu kwa kuitajataja tu wamepata uwaziri, ukuu wa wilaya, ukuu wa mikoa, ubunge, uchawa rasmi, ukatibu-kata na uenezi wa ccm, wengine wakapigwa na pesa, wengine ubalozi, wengine ucovid-19 sasa hii si sawa na maji tu wandugu??

Yani utake usitake utayanywa, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utafulia, usipoyafulia utapikia, usipopikia utaoshea hata tongotongo. Ili tumbo lako lisitirike kwa sasa we andika, taja, waza, ongea kuhusu chadema, ukiongelea mwengine unafutika tu kama upepo. Relavance yako itakuja kwa kusema chademaaaaa, chademaaaa hata kama huna logic km mwashamba.

Yani kuna watu wasipotaja chadema wanapotea so ili wawe relevant lazima kila siku waje na uzi kuhusu chadema tu, gosh!! Wengine hata spelling hawajui lkn chadema ipo midomoni mwao kutwa kucha.

No offence hii ni perception ya jamii ya watanzania kuanzia mama yetu shuka chini hadi kwa machawa wa level za chini kbs kama hapa nilipo cholesamvula.
 
Hebu sikiliza wananchi hawa wazalendo nchini, wakielezea uzuri wa viongozi wa CCM kwa video ya wimbo bora kabisa hapa chini.

Fanya uwezavyo ndugu mdau, tafuta bando na udownload wimbo huu wa maana sana kwako na kwa Taifa zima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

Mkuu watu wanakuona na huna akili bora ukae kimya kama una kamshahara huko Serikalini ule kimya kimya
 
Hebu sikiliza wananchi hawa wazalendo nchini, wakielezea uzuri wa viongozi wa CCM kwa video ya wimbo bora kabisa hapa chini.

Fanya uwezavyo ndugu mdau, tafuta bando na udownload wimbo huu wa maana sana kwako na kwa Taifa zima 🐒

Mungu Ibariki Tanzania.

Mngekuwa wazuri mngerejea kwenye misingi ya jembe na nyundo!
Anyways, ngoja muendelee kudanganywa.
 
Uko sawa je hao niliotaja hawakutumia kilevi na kufanikisha nchi zao kupata uhuru na kuziongoza vizuri?

Nyerere alianza kunywa sana baada ya uhuru .
Kabla ya hapo alikua ni kijana aliyelelewa na wazee na mashehe wa kiislam.
Akina Kenyata walikua ni Marasta wanaovuta bangili sana ili kuondoa woga na kupata hisia kali sio walevi wa pombe wanaojikojolea na kuPDidywa.

Mbowe ni Mwanasiasa mahiri sana lakini hana nguvu za kiroho .

Hilo tujaribu kumwambia ili ajue na kujiweka fiti . Kuna mambo anatakiwa kuyaacha ili awe fiti. Vinginevyo akatambikiwe na mizimu ya Butiama na Kilima kyaro.
Ndio maana akiitisha maandamano watu hawatoki kwa sababu wanahofia roho zao . Hajaweza kuingia kwenye ulimwengu wa kiroho na kuteka roho za mamilioni ya watu.
Dr. Slaa,Mwabukusi,hata zito Kabwe, Makonda, Shekhe Ponda ,Kikwete wana nguvu fulani za kiroho japo zinatofautiana wengine ni ushirikina.

Ndio maana Mandela alikua gerezani lakini kundi kubwa lilikua linapambana nje kwa miaka 27. Angekua nje nguvu za kiroho zingepungua maana angeweza kujihusisha na zinaa na ulevi .

Juzi nikimsikia Mbowe akisema kuwa watu wachague watu wenye hofu ya Mungu na wasiojihusisha sana na ulevi na uzinzi ili tupate viongozi bora .
Nikaona kuwa Mwamba sasa anaelekea kuchukua nchi.
 
Mimi sio mwanasiasa wala mwanachama wa chama chochote cha kisiasa, na wala sio social scientist bali nipo kwenye natural sciences. Kwa mujibu wa research nazofanya mojawapo ni qualitative ambayo haihitaji empirical data, tunapata conclusions kwa human perceptions, feelings, thoughts, says, mitazamo, mazungumzo, reactions, nk nk.

Kwa ujumla utafiti wangu usio rasmi qualitatively, naona Chadema ni lidude moja kubwa mno na linalotisha sana kwa kutazama namna reactions, na qualitative data zilizopo humu JF, radioni, social media zingine, TV, blogs, Polisi, jeshini, mitaani, magengeni, chats, groups za chawas etc. hamna siku chadema haijatajwa mara 10 hadi 20! Kuanzia mama yao/yetu akilala, akiamka, akiongea, akiwaza, chadema inazunguka kichwani kwake, makondeko kule kwa landrover kila akiamka, makalai kwenye mizunguko yake ya perdiem, joni nchambi, tulizo kule dom, mcheza kiduku wa daslam, hapi, mkumbwa, cc yote ya ccm, machawa wazoefu na wapya kote mitandaoni, mwashamba, talalalah, choicevariable, yohana mbatizaji, na wengine lukuki. Polisi ndio wakisikia kuanzia kaka yao mkubwa anayevaa official dress na buti hata kwenye sherehe ikulu kama yupo vitani ndio wanapagawa kabisa na kuitana nchi nzima, na kuwasha mazimamoto yao ya kipigaji. Hili dude linawatisha sana kisaikolijia.

My conclusion kwa haya naona chadema sasa niifananishe na maji kwa kweli, yani ni lazima uyatumie tu ili uishi, kuna watu kwa kuitajataja tu wamepata uwaziri, ukuu wa wilaya, ukuu wa mikoa, ubunge, uchawa rasmi, ukatibu-kata na uenezi wa ccm, wengine wakapigwa na pesa, wengine ubalozi, wengine ucovid-19 sasa hii si sawa na maji tu wandugu??

Yani utake usitake utayanywa, usipoyanywa utayaoga, usipoyaoga utafulia, usipoyafulia utapikia, usipopikia utaoshea hata tongotongo. Ili tumbo lako lisitirike kwa sasa we andika, taja, waza, ongea kuhusu chadema, ukiongelea mwengine unafutika tu kama upepo. Relavance yako itakuja kwa kusema chademaaaaa, chademaaaa hata kama huna logic km mwashamba.

Yani kuna watu wasipotaja chadema wanapotea so ili wawe relevant lazima kila siku waje na uzi kuhusu chadema tu, gosh!! Wengine hata spelling hawajui lkn chadema ipo midomoni mwao kutwa kucha.

No offence hii ni perception ya jamii ya watanzania kuanzia mama yetu shuka chini hadi kwa machawa wa level za chini kbs kama hapa nilipo cholesamvula.
Aisee nimependa huu ujumbe ambao una ukweli 100%,Mungu akubariki kwa ufafanuzi mzuri.
 
Back
Top Bottom