Viongozi wengi wa Tanzania hawajawahi kufanikiwa chochote maishani, hata tu ufaulu wa mitihani

Viongozi wengi wa Tanzania hawajawahi kufanikiwa chochote maishani, hata tu ufaulu wa mitihani

Kijakazi

JF-Expert Member
Joined
Jun 26, 2007
Posts
7,093
Reaction score
10,469
Tanzania haifati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha familia, hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa.

Ukingalia nchi nyingi utaona viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza ku-track hardworking students kuanzia shuleni, sekondari mpaka chuo kikuu na mwishowe kazini unaona ni achiever. Tanzania ni kinyume chake, wale under achiever ndiyo wanaofika mbali. Ili ufike mbali Tanzania unahitaji Uongo, Majungu na Fitina.

Kama hauamini jaribu tu kufanya thought experiment, labda jiulize ni kiongozi gani katika baraza la mawaziri unafikiri anaweza kuwa Raisi mzuri? Hautapata jibu, sasa nchi nyingi zilizo mbele kimaendeleo ukiangalia baraza lao la mawaziri unaona karibia kila waziri ni kifaa. Hivyo nchi haiendelei sababu inaongozwa na watu ambao hawajawaji ku-achieve chochote in life, hawana tuzo zozote, hata tu za michezo kama UMITASHUMTA au riadha.

It takes hard work and commitment ku-achieve something in life, kama ni Ufaulu mzuri ni lazima usome kwa bidii, kama ni kushinda riadha ni lazima uwe na nidhamu na training ikiwa ni pamoja na kufata ratiba ya mazoezi kila siku.​
 
Mfumo una favour zaidi vilaza maana wanakuwa wazuri kwenye kuimba mapambio na kupokea amri zisizo na weledi ndani yake.
 
Tanzania haifwati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha Familia hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa.

Ukingalia nchi nyingi utaona Viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza ku-track hardworking students kuanzia Shuleni, Sekondari mpaka Chuo Kikuu na mwishowe kazini unaona ni achiever, Tanzania ni kinyume chake, wale under achiever ndiyo wanaofika mbali.

Ili ufike mbali Tanzania unahitaji Uongo, Majungu na Fitina.

Kama hauamini jaribu tu kufanya thought experiment labda jiulize ni Kiongozi gani ktk Baraza la Mawaziri unafikiri anaweza kuwa Raisi mzuri? Hautapata jibu, sasa nchi nyingi zilizo mbele kimaendeleo ukiangalia Baraza lao la Mawaziri unaona karibia kila Waziri ni kifaa.

Hivyo nchi haiendelei sababu inaongozwa na watu ambao hawajawaji ku-achieve chochote in life, hawana tuzo zozote hata tu za michezo kama Umishumta au riadha.

It takes hard work and commitment ku-achieve something in life, kama ni Ufaulu mzuri ni lazima usome kwa bidii, kama ni kushinda riadha au mbio ni lazima uwe na nidhamu na training, ufwate ratiba ya mazoezi kila siku.
Wengi wana elimu ya hapa na pale unakuta mtu ana ka diploma alafu anapewa kuongoza wizara, mwingine hata maisha yake hayaeleweki anapewa ubunge

Mbaya zaidi unakuta mtu hana hata success story ya kuanzisha , kusimamia na kuendesha biashara au mradi kwa mafanikio na faida alafu anapewa uwaziri alafu ndo mtegemee nchi isonge mbele

Nilitegemea sana kuwaona watu kama kina Charles Kimei, Deo Mwanyika, Shabby kwenye cabinet kwa sababu wana success story za kuendesha miradi na ma biashara ila wapi

At least Bashe ameshawai kuwa mkurugenzi wa Makampuni ya Rostam na inaonekana ana uzoefu na biashara
 
Tanzania haifati meritocracy, hivyo viongozi wengi kuanzia chini mpaka Juu hawajawahi achieve chochote maishani ukiachia labda kuoa na kuanzisha familia, hilo nalo unaweza kulijadili pia kama hata kwenye Familia wamefanikiwa.

Ukingalia nchi nyingi utaona viongozi wanafika juu kwa merit, unaweza ku-track hardworking students kuanzia shuleni, sekondari mpaka chuo kikuu na mwishowe kazini unaona ni achiever. Tanzania ni kinyume chake, wale under achiever ndiyo wanaofika mbali. Ili ufike mbali Tanzania unahitaji Uongo, Majungu na Fitina.

Kama hauamini jaribu tu kufanya thought experiment, labda jiulize ni kiongozi gani katika baraza la mawaziri unafikiri anaweza kuwa Raisi mzuri? Hautapata jibu, sasa nchi nyingi zilizo mbele kimaendeleo ukiangalia baraza lao la mawaziri unaona karibia kila waziri ni kifaa. Hivyo nchi haiendelei sababu inaongozwa na watu ambao hawajawaji ku-achieve chochote in life, hawana tuzo zozote, hata tu za michezo kama UMITASHUMTA au riadha.

It takes hard work and commitment ku-achieve something in life, kama ni Ufaulu mzuri ni lazima usome kwa bidii, kama ni kushinda riadha ni lazima uwe na nidhamu na training ikiwa ni pamoja na kufata ratiba ya mazoezi kila siku.​
Wana high performance katika propaganda. Make up nyingi kuficha rangi halisi
 
Back
Top Bottom