Logistics zote kwa baadhi yao zimekamilika, ikiwa ni pamoja na pasi maalumu za kusafiria, na wengi wao wamefadhiliwa na taasisi za kitaifa na kimataifa, kwa usaidizi wa baadhi ya wawakilishi wa nchi zao humu nchini..
Jambo hili ni dogo, Lakini ni serious sana hasa kwa wanasiasa ambao maisha yao ni magumu sana humu nchini, halafu familia zao zipo ng"ambo. Sasa hawakua na sababu za msingi kwenda kuungana na na kuishi na familia zao huko ughaibuni.
Sasa hii ndio fursa ya maana sana wanatumia. we utaona wanavyotuka kama panzi wakati wowote kuanzia sasa. Alihitimisha mnyetishaji bila kuongeza neno lolote..
Hii ni kutoroka waandamanaji au kuwahadaa waandamanaji?
kumbe hii songombingo ya kabokamchizi na maandamano haramu ni fursa muhimu sana kwa baadhi vijanaa na wanasiasa wa mujini?🐒
Soma Pia:
Mungu Ibariki Tanzania