fasiliteta
JF-Expert Member
- Jul 2, 2014
- 2,372
- 4,090
Serikali na polisi wanajichosha tu kuwazuia Hawa jamaa,wawaachie tu waandamane kama ilivyokua maandamano waliyoratiba nchi nzima na hatimae wakawa ni wao wenyewe wanahama pamoja mkoa mmoja kwenda mwingine.
WaTZ WA sasa SI wale wa 2010,wana maumivu makubwa ya kusalitiwa na hao wanaojiita wapinzani Tena kwa kushindwa kuishi ya waliyoyabuhiti.TUMBO TU
WaTZ WA sasa SI wale wa 2010,wana maumivu makubwa ya kusalitiwa na hao wanaojiita wapinzani Tena kwa kushindwa kuishi ya waliyoyabuhiti.TUMBO TU
