sio kunyoa ndevu tu mpaka gentleman,Unafuatilia wanaume wa watu hadi style zao za kunyoa ndevu??
Wewe huna mume??
Inaonekana pia jobless karibu tukusitiri.
ππ
nimemuona yule nabii mnyang'anyi wa malori Arusha, anajaribu kuvaa kigodoro na hijabs ile aonekane ni mtu muhimu hapo hapo kiunoni dah!Kuna jamaa aliniambia sometime nyeto ni kitu muhim sana maana unaepusha kuzaa mtoto kituko nimeamini maneno yale ni kweli.....
Sure,Utaolewa ukiendeleza umbea
kwa mfano yule nabii mnyang'anyi wa malori Arusha, ambavyo jaribu kuvaa vigodoro na hijab ili asijulikane ni yeye, hiyo ni kwa maslahi binafsi au maslahi ya taifa gentleman?π€£Mkuu kuna maslahi ya Umma na maslahi binafsi... tofautisha hivyo vitu, ipo Kona inayomuunfanisha kila mtu bila kujali itikadi yake....andika taratibu
Logistics zote kwa baadhi yao zimekamilika, ikiwa ni pamoja na pasi maalumu za kusafiria, na wengi wao wamefadhiliwa na taasisi za kitaifa na kimataifa, kwa usaidizi wa baadhi ya wawakilishi wa nchi zao humu nchini..
Jambo hili ni dogo, Lakini ni serious sana hasa kwa wanasiasa ambao maisha yao ni magumu sana humu nchini, halafu familia zao zipo ng"ambo. Sasa hawakua na sababu za msingi kwenda kuungana na na kuishi na familia zao huko ughaibuni.
Sasa hii ndio fursa ya maana sana wanatumia. we utaona wanavyotuka kama panzi wakati wowote kuanzia sasa. Alihitimisha mnyetishaji bila kuongeza neno lolote..
Hii ni kutoroka waandamanaji au kuwahadaa waandamanaji?
kumbe hii songombingo ya kabokamchizi na maandamano haramu ni fursa muhimu sana kwa baadhi vijanaa na wanasiasa wa mujini?π
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Mungu Ibariki Tanzania
Mkuu uongo ukisemwa na mtu mzima kama wewe, tena anayejinasibu kuwa msomi inafikirisha!!Logistics zote kwa baadhi yao zimekamilika, ikiwa ni pamoja na pasi maalumu za kusafiria, na wengi wao wamefadhiliwa na taasisi za kitaifa na kimataifa, kwa usaidizi wa baadhi ya wawakilishi wa nchi zao humu nchini..
Jambo hili ni dogo, Lakini ni serious sana hasa kwa wanasiasa ambao maisha yao ni magumu sana humu nchini, halafu familia zao zipo ng"ambo. Sasa hawakua na sababu za msingi kwenda kuungana na na kuishi na familia zao huko ughaibuni.
Sasa hii ndio fursa ya maana sana wanatumia. we utaona wanavyotuka kama panzi wakati wowote kuanzia sasa. Alihitimisha mnyetishaji bila kuongeza neno lolote..
Hii ni kutoroka waandamanaji au kuwahadaa waandamanaji?
kumbe hii songombingo ya kabokamchizi na maandamano haramu ni fursa muhimu sana kwa baadhi vijanaa na wanasiasa wa mujini?π
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Mungu Ibariki Tanzania
kwamba nithibitishe tiketi ya ndege ya nani kwa mfano gentleman?Mkuu uongo ukisemwa na mtu mzima kama wewe, tena anayejinasibu kuwa msomi inafikirisha!!
1. Ndugu Tlaatlaah thibitisha kwa kuweka ushahidi wa malipo kutoka kwa wafadhili hao.
2. Thibitisha majina ya viongozi hao na tiketi zao hizo hapa. Vinginevyo ni uongo uliokubuhu!
3. Kwa mujibu wa katiba maandamano sio haramu kama unavyoongopa hapa. Maandamano hayo ni halali ndio maana polisi wameanza kuandama tayari tarehe 23 na tatu ni hitimisho tu.
4. Mkuu hata Kigamboni na Zanzibar ni ng'ambo pia. Uongo wako hausaidii chochote wala hauzuii maandamano!! Waandamanaji waandamizi (polisi) walishaanza kuingia mtaani toka juzi!!!
"Ukiwa chawa ujue uchafu unakuhusu!!"
Ulikuwa unawakagua wakati wanakata hizo tiketi na hati maalumu za kusafiria'? Then, kama ni kweli weka at least vivuli kadhaa vya hizo tiketi na hati maalumu za kusafiria. Otherwise, kwa kutumia kanuni yangu ya 'methodical doubt' niliyofundishwa na mentor wangu Rene Descartes (French mathematician, philosopher and scientist) siamini, mpaka nione. N.B: Ukiweka, usiweke vivuli vya kupika.Logistics zote kwa baadhi yao zimekamilika, ikiwa ni pamoja na pasi maalumu za kusafiria, na wengi wao wamefadhiliwa na taasisi za kitaifa na kimataifa, kwa usaidizi wa baadhi ya wawakilishi wa nchi zao humu nchini..
Jambo hili ni dogo, Lakini ni serious sana hasa kwa wanasiasa ambao maisha yao ni magumu sana humu nchini, halafu familia zao zipo ng"ambo. Sasa hawakua na sababu za msingi kwenda kuungana na na kuishi na familia zao huko ughaibuni.
Sasa hii ndio fursa ya maana sana wanatumia. we utaona wanavyotuka kama panzi wakati wowote kuanzia sasa. Alihitimisha mnyetishaji bila kuongeza neno lolote..
Hii ni kutoroka waandamanaji au kuwahadaa waandamanaji?
kumbe hii songombingo ya kabokamchizi na maandamano haramu ni fursa muhimu sana kwa baadhi vijanaa na wanasiasa wa mujini?π
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Mungu Ibariki Tanzania
Mbona unaleta habari nyinginenyinginekwa mfano yule nabii mnyang'anyi wa malori Arusha, ambavyo jaribu kuvaa vigodoro na hijab ili asijulikane ni yeye, hiyo ni kwa maslahi binafsi au maslahi ya taifa gentleman?π€£
hebu elezea wadau,
mbona wanachochea moto huku wakiwa standby na tiketi mkononi?
hiyo ni kwa maslahi ya taifa au maslahi binafsi gentleman, hebu saidia wadau kutofautisha hapo π
hizo tiketi hawakukata wenyewe gentleman,Ulikuwa unawakagua wakati wanakata hizo tiketii na hatia maalumu za kusafiria'? Then, kama ni kweli weka at least vivuli kadhaa vya hizo tiketi na hatia maalumu za kusafiria. Otherwise, kwa kutumia kanuni yangu ya 'methodical doubt' niliyofundishwa na mentor wangu Rene Descartes (French mathematician, philosopher and scientist) siamini, mpaka nione. N.B: Ukiweka, usiweke vivuli vya kupika.
Unauhakika au unajitungia stroy za vijiweniLogistics zote kwa baadhi yao zimekamilika, ikiwa ni pamoja na pasi maalumu za kusafiria, na wengi wao wamefadhiliwa na taasisi za kitaifa na kimataifa, kwa usaidizi wa baadhi ya wawakilishi wa nchi zao humu nchini..
Jambo hili ni dogo, Lakini ni serious sana hasa kwa wanasiasa ambao maisha yao ni magumu sana humu nchini, halafu familia zao zipo ng"ambo. Sasa hawakua na sababu za msingi kwenda kuungana na na kuishi na familia zao huko ughaibuni.
Sasa hii ndio fursa ya maana sana wanatumia. we utaona wanavyotuka kama panzi wakati wowote kuanzia sasa. Alihitimisha mnyetishaji bila kuongeza neno lolote..
Hii ni kutoroka waandamanaji au kuwahadaa waandamanaji?
kumbe hii songombingo ya kabokamchizi na maandamano haramu ni fursa muhimu sana kwa baadhi vijanaa na wanasiasa wa mujini?π
Soma Pia:
- Freeman Mbowe: Tutaandamana kudai watu waliopotea
- Polisi yapiga marufuku maandamano ya CHADEMA yasema ni haramu. Yasema chama hicho kimekuwa kikipanga mikakati ya kuchochea vurugu
Mungu Ibariki Tanzania
ni muhimu kufahamu maslahi ya Taifa na maslahi ya Taifa, kwamba tunaenda kwenye maandamano haramu pamoja halafu kumbe wewe mfukoni una tiketi ya ndege, moto ukiwaka unawaacha wenzio wakichezea virungu,Mbona unaleta habari nyinginenyingine
Kumbe ww mwenyewe huna uhakika wowote unajitungia story za kahawa? Next uwe hata na ka evidenceuhakika wanao wenyewe na wanaowafadhili gentleman π
evidence utaziona wakati wenzako wakiwa ughaibuni wana kula bata, huku wewe ukiwa umeteguliwa kiuno na mgongo amana hospital na ukiwa chini ya ulinzi πKumbe ww mwenyewe huna uhakika wowote unajitungia story za kahawa? Next uwe hata na ka evidence