Tetesi: Viongozi wengi waandamizi wa CHADEMA wakubali yaishe kwa amani, wengi wao wanatarajiwa kutimkia CCM kuliko vyama vingine vya siasa

Tetesi: Viongozi wengi waandamizi wa CHADEMA wakubali yaishe kwa amani, wengi wao wanatarajiwa kutimkia CCM kuliko vyama vingine vya siasa

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Unadhani ni nini kimewavutia hata wakuamua kukimbilia zaidi CCM kuliko vyama vingine vya siasa?

Ni ukata wa fedha wa kutisha ulioko ndani ya vyama hivyo vya siasa nchini au ni ufinyu wa fursa za kazi na nafasi ya kubaki relevant kwenye political scene na angalau kula maisha kidogo na wana CCM?

Unadhani ni kiongozi yupi mwandamizi pale chadema atakua wa kwanza kung'atuka na kutimkia CCM kwa awamu hii ya kwanza kutokana na songombingo ya maneno inayoendelea ndani ya chadema kwa sasa? wengi zaidi watajiunga CCM kuanzia mapema January 2025.

Maana uhasama ulipofikia sasa unazidi kiwango cha kuvumiliana kadiri muda unavyozidi kwenda, na kila moja kajawa woga na hofu dhidi ya mustakabali wake ndani ya chadema.

Kama wanasiasa , yafaa kuiombea chadema umoja na amani miongoni mwa viongozi waandamizi wake.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Unadhani ni nini kimewavutia hata wakuamua kukimbilia zaidi CCM kuliko vyama vingine vya siasa?

Ni ukata wa fedha wa kutisha ulioko ndani ya vyama hivyo vya siasa nchini au ni ufinyu wa fursa za kazi na nafasi ya kubaki relevant kwenye political scene na angalau kula maisha kidogo na wana ccm?

Unadhani ni kiongozi yupi mwandamizi pale chadema atakua wa kwanza kung'atuka na kutimkia CCM kwa awamu hii ya kwanza kutokana na songombingo ya maneno inayoendelea ndani ya chadema kwa sasa? wengi zaidi watajiunga CCM kuanzia mapema January 2025,

Maana uhasama ulipofikia sasa unazidi kiwango cha kuvumiliana kadiri muda unavyozidi kwenda, na kila moja kajawa woga na hofu dhidi ya mustakabali wake ndani ya chadema.

Kama wanasiasa , yafaa kuiombea chadema umoja na amani miongoni mwa viongozi waandamizi wake.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Aina ya watu washenzi duniani kuliko mahali popote ni majitu ya ccm.
Mnanunua watu mchana kweupee
 
Aina ya watu washenzi duniani kuliko mahali popote ni majitu ya ccm.
Mnanunua waru mchaba kweupee
niajabu viongozi waandamizi wa Chadema wanapigana vikumbo kujiunga CCM,

Ni Kwanini eti gentleman 🤣
 
Unadhani ni nini kimewavutia hata wakuamua kukimbilia zaidi CCM kuliko vyama vingine vya siasa?

Ni ukata wa fedha wa kutisha ulioko ndani ya vyama hivyo vya siasa nchini au ni ufinyu wa fursa za kazi na nafasi ya kubaki relevant kwenye political scene na angalau kula maisha kidogo na wana CCM?

Unadhani ni kiongozi yupi mwandamizi pale chadema atakua wa kwanza kung'atuka na kutimkia CCM kwa awamu hii ya kwanza kutokana na songombingo ya maneno inayoendelea ndani ya chadema kwa sasa? wengi zaidi watajiunga CCM kuanzia mapema January 2025.

Maana uhasama ulipofikia sasa unazidi kiwango cha kuvumiliana kadiri muda unavyozidi kwenda, na kila moja kajawa woga na hofu dhidi ya mustakabali wake ndani ya chadema.

Kama wanasiasa , yafaa kuiombea chadema umoja na amani miongoni mwa viongozi waandamizi wake.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Source?
 
Unadhani ni nini kimewavutia hata wakuamua kukimbilia zaidi CCM kuliko vyama vingine vya siasa?

Ni ukata wa fedha wa kutisha ulioko ndani ya vyama hivyo vya siasa nchini au ni ufinyu wa fursa za kazi na nafasi ya kubaki relevant kwenye political scene na angalau kula maisha kidogo na wana CCM?

Unadhani ni kiongozi yupi mwandamizi pale chadema atakua wa kwanza kung'atuka na kutimkia CCM kwa awamu hii ya kwanza kutokana na songombingo ya maneno inayoendelea ndani ya chadema kwa sasa? wengi zaidi watajiunga CCM kuanzia mapema January 2025.

Maana uhasama ulipofikia sasa unazidi kiwango cha kuvumiliana kadiri muda unavyozidi kwenda, na kila moja kajawa woga na hofu dhidi ya mustakabali wake ndani ya chadema.

Kama wanasiasa , yafaa kuiombea chadema umoja na amani miongoni mwa viongozi waandamizi wake.🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Ili watu wasijue kuwa mnaihofia sana CHADEMA, msiwe mnaisema mfululizo. Wakati mwingine, kosoeni na vyama vingine kama CUF, TLP, UDEA, TADEA, NCCR MAGEUZI, n.k. ndipo uigeukie tena CHADEMA!

Ni ushauri tu lakini!
 
Ili watu wasijue kuwa mnaihofia sana CHADEMA, msiwe mnaisema mfululizo. Wakati mwingine, kosoeni na vyama vingine kama CUF, TLP, UDEA, TADEA, NCCR MAGEUZI, n.k. ndipo uigeukie tena CHADEMA!

Ni ushauri tu lakini!
barua nyingi ni za maombi ya kujiunga CCM ni za waandamizi wa Chadema Taifa, na huo ndiyo msingi wa yote haya gentleman 🐒
 
barua nyingi ni za maombi ya kujiunga CCM ni za waandamizi wa Chadema Taifa, na huo ndiyo msingi wa yote haya gentleman 🐒
barua nyingi ni za maombi ya kujiunga CCM ni za waandamizi wa Chadema Taifa, na huo ndiyo msingi wa yote haya gentleman 🐒
Ni jambo jema, ila isiwe ni kwa hisani ya "Mnyeti style"!
 

Attachments

  • Mnyeti_aumbuka_-ununuzi_wa_madiwani_wa_chadema(360p).mp4
    18.3 MB
Source brother? Dunia haifanyi kazi kwa maneno empty
gentleman,
siasa ni mipango, siasa ni opportunities ..

kutoa siri za ufalme wako kwa watesi wako ndio chanzo cha hali unayo. Tunza siri za nguvu ulizonazo 🐒
Ni jambo jema, ila isiwe ni kwa hisani ya Mnyeti style!
that is nonsense in issues politics gentleman 🐒
 
Back
Top Bottom