Viongozi wengi wamekimbia Dar kimya kimya kuhofia kimbunga!

Viongozi wengi wamekimbia Dar kimya kimya kuhofia kimbunga!

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hakika ukimtegemea binadamu akuongoze kwa haki unapoteza mda!

Tishio dogo la kimbunga! Viongozi wengi wamechimba kimya kimya! Wengi wamekinbilia DOM na maeneo mengine!

Tumshukuru sana Mungu kwasababu kaahirisha kimbunga kwa ajili ya wale Raia wema waliobaki wasiokuwa na mbio!
Tumshukuru Mungu kwasababu laiti kimbunga kingekuja ZINGESIFIWA MBIO ZAO, laiti kimbunga kingekuja Waliokimbia WANGESIFU PESA ZAO, Laiti kimbunga kingekuja WANGESIFU NDEGE NA MAGARI YAO yaliyowasafilisha, laiti kimbunga kingekuja WANGESIFU AKILI ZAO!

Neno linasema Mungu ni mwenye WIVU! Hakitakiwi kusifiwa kingine Bali ni Yeye! Hivyo kuliko kutukuza mbio kaamua kuahirisha!

Kwasababu hiyo! WAKUABUDIWA na kusifiwa ATABAKI kuwa ni MUNGU PEKEE YULE YULE milele hata milele!!
 
Hakika ukimtegemea binadamu akuongoze kwa haki unapoteza mda!

Tishio dogo la kimbunga! Viongozi wengi wamechimba kimya kimya! Wengi wamekinbilia DOM na maeneo mengine!

Tumshukuru sana Mungu kwasababu kaahirisha kimbunga kwa ajili ya wale Raia wema waliobaki wasiokuwa na mbio!
Tumshukuru Mungu kwasababu laiti kimbunga kingekuja ZINGESIFIWA MBIO ZAO, laiti kimbunga kingekuja Waliokimbia WANGESIFU PESA ZAO, Laiti kimbunga kingekuja WANGESIFU NDEGE NA MAGARI YAO yaliyowasafilisha, laiti kimbunga kingekuja WANGESIFU AKILI ZAO!

Neno linasema Mungu ni mwenye WIVU! Hakitakiwi kusifiwa kingine Bali ni Yeye! Hivyo kuliko kutukuza mbio kaamua kuahirisha!

Kwasababu hiyo! WAKUABUDIWA na kusifiwa ATABAKI kuwa ni MUNGU PEKEE YULE YULE milele hata milele!!
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.

Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
 
Asante hayati rais Magufuli kwa kutuachia wosia wa kuacha hofu na kumtegemea Mungu kwa kila jambo.

Kimbunga Jobo na Corona wamekiona cha mtema kuni Tanzania.
Umeanza tena mambo ya kusifia Mtu
 
WATU TUMESAFIRI KATIKA MAJUKUMU YETU KITAIFA UNASEMA TUMEKIMBIA.....@#$%&!
 
Back
Top Bottom