Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio Tulia Pekee lakini wale zote walioingia bungeni kwa mgongo wa Jiwe!!Masikin tulia anatia huruma jaman anamuwaza my jiwe
Ameingizwa Chaka!!Kakurwa ameshika tama
duh kwakwel wanatia hurumaKakurwa ameshika tama
kazid Tulia mkuu maana ulikuwa atuliza roho ya jiweSio Tulia Pekee lakini wale zote walioingia bungeni kwa mgongo wa Jiwe!!
kazid tulia maana ulikuwa anatuliza roho ya jiwe! Nileteen Tulia anitulize roho ya X3 mwee R I P jiweSio Tulia Pekee lakini wale zote walioingia bungeni kwa mgongo wa Jiwe!!
Kundi la hovyo kabisa kuwahi kukalia mamlaka.View attachment 1736955
Kiongozi ni kioo cha jamii, anatakiwa ajiamini na kuwapa matumaini anao waongoza.
Mnatagemea nini kama walimwachia mtu mmoja kazi ya kufikiri?View attachment 1736955
Kiongozi ni kioo cha jamii, anatakiwa ajiamini na kuwapa matumaini anao waongoza.
Adui akitaka kushambulia mahala anapiga kiongozi ili wale waliochini watawanyike then aweze kupenyesha mambo yake.View attachment 1736955
Kiongozi ni kioo cha jamii, anatakiwa ajiamini na kuwapa matumaini anao waongoza.
View attachment 1736955
Kiongozi ni kioo cha jamii, anatakiwa ajiamini na kuwapa matumaini anao waongoza.