May Day
JF-Expert Member
- May 18, 2018
- 6,311
- 9,027
Sitaki kupuunza nafasi za Viongozi wa Kiimani lakini haizuii ukweli kuwa wana nafasi ya kuielimisha Jamii zaidi ya kujaribu kuficha tatizo.
Ningetamani badala ya kufanya juhudi za kuomba mvua basi Wangechagua siku moja ya ibada watoke na Waumini wapande miti ili kutibu mazingira.
Mimi naamini Mungu hakubagua ni yupi ampe maarifa yupi asimpe...hivyo naamini hata Viongozi wetu wa Imani hawajabaguliwa kupewa maarifa.
Viongozi hawa wanafahamu ni nini sababu ya mabadiliko ya tabia nchi..iwe ni kwa kujifunza kwa Wanasayansi au kujfunza kupitia Vitabu vya kiimani.
Kama tunaamini Mungu alitupatia Dunia yenye kila kitu ni kipi sasa tunataka Mugu atupatie ambacho alisahau?.
Tunachohitaji ni Maarifa tu na kutumia akili alizotujalia huyohuyo Muumba na kila kitu kitakuwa sawa...leo hata tukipata mvua nayo ikizidi tutaanza tena kuomba apunguze.
Kutumia nguvu kwa kuendesha ibada za kuomba Mvua ni kama ule usemi wetu wa "usimpe Muhitaji Samaki, mfundishe kuvua kisha umpe nyavu".
Saudi Arabia is a nation where there is no river at all. Sure, there are a few lakes here and there, underwater sources, and oasis in the desert, still it consumes double the amount of water consumed by any developing nation in the world.28 Aug 2019Saudi Arabia is a nation where there is no river at all. Sure, there are a few lakes here and there, underwater sources, and oasis in the desert, still it consumes double the amount of water consumed by any developing nation in the world.
Ningetamani badala ya kufanya juhudi za kuomba mvua basi Wangechagua siku moja ya ibada watoke na Waumini wapande miti ili kutibu mazingira.
Mimi naamini Mungu hakubagua ni yupi ampe maarifa yupi asimpe...hivyo naamini hata Viongozi wetu wa Imani hawajabaguliwa kupewa maarifa.
Viongozi hawa wanafahamu ni nini sababu ya mabadiliko ya tabia nchi..iwe ni kwa kujifunza kwa Wanasayansi au kujfunza kupitia Vitabu vya kiimani.
Kama tunaamini Mungu alitupatia Dunia yenye kila kitu ni kipi sasa tunataka Mugu atupatie ambacho alisahau?.
Tunachohitaji ni Maarifa tu na kutumia akili alizotujalia huyohuyo Muumba na kila kitu kitakuwa sawa...leo hata tukipata mvua nayo ikizidi tutaanza tena kuomba apunguze.
Kutumia nguvu kwa kuendesha ibada za kuomba Mvua ni kama ule usemi wetu wa "usimpe Muhitaji Samaki, mfundishe kuvua kisha umpe nyavu".
Saudi Arabia is a nation where there is no river at all. Sure, there are a few lakes here and there, underwater sources, and oasis in the desert, still it consumes double the amount of water consumed by any developing nation in the world.28 Aug 2019Saudi Arabia is a nation where there is no river at all. Sure, there are a few lakes here and there, underwater sources, and oasis in the desert, still it consumes double the amount of water consumed by any developing nation in the world.