Stroke
JF-Expert Member
- Feb 17, 2012
- 37,630
- 47,434
Mijadala mingi katika mitandao yetu ya kijamii inajikita katika kulinda madaraka ya baadhi ya watu.
Mwananchi wa kawaida anakosa majibu ya maswali anayokutana nayo kila siku.
Huyu ana mfukuza yule na yule ana msema yule katika tu kulinda madaraka au kuyapigania.
Maswala kama maji, umeme, afya, elimu, ajira inakosa wa kuyashughulikia kwa umakini kwani muda mwingi na rasilimali zinatumika kuyalinda madaraka.
Wanasiasa na viongozi wa ache ubinafsi wafikirie pia na wana nchi wa kawaida namna ya kupigania mahitaji yao muhimu.
Mwananchi wa kawaida anakosa majibu ya maswali anayokutana nayo kila siku.
Huyu ana mfukuza yule na yule ana msema yule katika tu kulinda madaraka au kuyapigania.
Maswala kama maji, umeme, afya, elimu, ajira inakosa wa kuyashughulikia kwa umakini kwani muda mwingi na rasilimali zinatumika kuyalinda madaraka.
Wanasiasa na viongozi wa ache ubinafsi wafikirie pia na wana nchi wa kawaida namna ya kupigania mahitaji yao muhimu.