Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 2,971
- 9,437
Wakati michuano ya club bingwa barani Africa hatua ya awali ikitarajiwa kuanza mwezi ujao tetesi zinasema kuwa uongozi wa Yanga kupitia CEO wao senzo wameiandikia shirikisho la mpira wa miguu barani Africa barua ya kuwaomba mchezo wao hatua ya awali waanzie ugenini na siyo nyumbani wakiofia kufurushwa mashindanoni.
Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?
Nb: nyie Yanga Afirika si mnasema mna watu sasa nyeye za nini?