Kama swala hili limeanzia tanzania obviously watashinda kwasababu, hawa wapiga dili huwa wanatoa rushwa kuanzia kwa mfagiaji hadi huko juu kabisa kwahiyo kwa mahakamani hutowaweza kwakuwa documents zote zinakuwa zimetengenezwa kwa jinsi wanavyotaka wao , mfano unadhani kwanini baadhi ya wafanyakazi wa tanesco walipewa hela?? Au wa TRA ??
Hawa ni wezi wazoefu serikali ingeanza kudeal na watumishi wao wa umma kwanza rushwa imeota mizizi , kama hadi judge kaingiziwa hela unategemea utakimbilia wapi??