Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani ninashindwa kuingia kwenye hii forum
VIP only
Nifanyaje?
Mwana
Jamani ninashindwa kuingia kwenye hii forum
VIP only
Nifanyaje?
Mwana
ni PM tuzungumze mchakato wa kukulipia ukojeNawashukuru wachangiaji....sasa kwanini nyie wakaka wa JF msitulipie sisi dada zenu?
Mwanamtama
ni PM tuzungumze mchakato wa kukulipia ukoje
Nawashukuru wachangiaji....sasa kwanini nyie wakaka wa JF msitulipie sisi dada zenu?
Mwanamtama
Nd. Kigogo,
Why you are so hard on her?
Kama angelikuwa dada yako ungelifanyaje?
Noooo nataka kumuelekeza jinsi ya kujaza fomu ya kuwa Primiyamu memba kiongozi..iam soo soft to her
Jisemee nafsi yako ndg.
Hapa ni self-skating.
Hahahahahahahahahahahhahaha
Kwa hapo sawa. Pia umenifunga 3-0
Nawashukuru wachangiaji....sasa kwanini nyie wakaka wa JF msitulipie sisi dada zenu?
Mwanamtama
Nawashukuru wachangiaji....sasa kwanini nyie wakaka wa JF msitulipie sisi dada zenu?
Mwanamtama
Nawashukuru wachangiaji....sasa kwanini nyie wakaka wa JF msitulipie sisi dada zenu?
Mwanamtama
ha ha haa!! unajitafutia balaa weye...
Yaani niyo ndio unataka iwe ndiyo status ya mwanamke wa ki-JF? kulipiwa na wanaume? Dont you think its somehow degrading?
Angalia usije toka Mwanamtama hadi Mwanamtamu!
Embu tuaminishe kuwa nyie ni dada zetu,coz kunawatu wengi humu ndani wanajifanya madem ili kurahisisha mambo yao!!Nawashukuru wachangiaji....sasa kwanini nyie wakaka wa JF msitulipie sisi dada zenu?
Mwanamtama
VIP only kunani jamani ma vip?
Ngida1, karibu tena, safari hii we bana hapa hapa kwenye matangazo, hakuna presha wala nini..guaranteed