Vipengele wezeshi kwa vijana katika mchakato wa katiba mpya bado vinazungumzika?

Vipengele wezeshi kwa vijana katika mchakato wa katiba mpya bado vinazungumzika?

wheedenTz

New Member
Joined
Apr 27, 2024
Posts
1
Reaction score
0
Ni mara ya kwanza kuandika kitu humu ila wadau wa jukwaa la katiba naomba kuuliza hivi vile vipengele wezeshi kwa vijana (enabling provision) walivyodai kuwekwa kwenye ile Katiba ya Warioba bado ni vinapewa kipaumbele kuelekea hili sakata la katiba mpya?

Au vijana tushapigwa chini watu wanatazama maslahi yao binafsi ya moja kwa moja.
 
Back
Top Bottom