Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Its Super Saturday!!
Ni banduka bandua katika ligi ya mabingwa Africa leo.
Vibonde wa kundi C, Vipers SC ya Uganda leo watashuka dimbani pale St. Mary's Stadium, Kitende kuwakaribisha Horoya AC.
Ikumbukwe katika mchezo wa kwanza, Vipers walibugia goli 5-0 dhidi ya Raja Casablanca.
Huku Horoya AC wakiibuka na ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Simba SC.
Mashabiki wa Simba watakuwa wanaufatilia mchezo huu ili kuangalia namna gani ya kujipanga vizuri kwa mechi zinazokuja dhidi ya wapinzani hao.
Mchezo huo utapigwa saa 10:00 kwa masaa ya Africa ya Mashariki.
Mechi itakuwa mubashara kwenye chaneli 225 ya DStv.
Utabiri: Vipers 1-1 Horoya
Ni banduka bandua katika ligi ya mabingwa Africa leo.
Vibonde wa kundi C, Vipers SC ya Uganda leo watashuka dimbani pale St. Mary's Stadium, Kitende kuwakaribisha Horoya AC.
Ikumbukwe katika mchezo wa kwanza, Vipers walibugia goli 5-0 dhidi ya Raja Casablanca.
Huku Horoya AC wakiibuka na ushindi mwembamba wa 1-0 dhidi ya Simba SC.
Mashabiki wa Simba watakuwa wanaufatilia mchezo huu ili kuangalia namna gani ya kujipanga vizuri kwa mechi zinazokuja dhidi ya wapinzani hao.
Mchezo huo utapigwa saa 10:00 kwa masaa ya Africa ya Mashariki.
Mechi itakuwa mubashara kwenye chaneli 225 ya DStv.
Utabiri: Vipers 1-1 Horoya