Vipers SC Vs Horoya AC | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 18.02.2023

Vipers SC Vs Horoya AC | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 18.02.2023

Ila Waganda Hawapendi mpira Halali Ligi ya Tanzania Iwe Juu. Uwanjani utasema kuna Lockdown Ya Corona
 
Eti vipers vibonde wakati mpaka sasa table inasoma Simba ndio kibonde
Screenshot_20230218-161603.png

Sioni tumaini lolote Simba akiondoka na point ata moja
 
Hao wanaopiga kelele hapo ni wanafunzi wa st Mary's,,wasiwatishe hawana watu..
 
Back
Top Bottom