Vipers SC Vs Horoya AC | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 18.02.2023

Vipers SC Vs Horoya AC | CAF Champions League | St. Mary's Stadium | 18.02.2023

Kocha wa Raja ni mate wangu tulisoma wote Lupaso sec. miaka mingi iliyopita. Huyu jamaa bwana ni mtu wa majivuni na mpenda sifa sana toka tukiwa shuleni. Ila kwa leo naona kavuka mstari eti ameniambia leo ataisambaratisha simba kama siyo wiki basi mkono.

Mimi nimembishia kwamba Raja hii hii iliyo nafasi ya 4 batola pro haiwezi mpiga mnyama wiki. Ila nimemwambia mkono inawezekana sana ikiwa watapitia kwa babu onyango
Ahahaahhaa
 
Back
Top Bottom