Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Makolo hana timu ya kumfunga raja. Embu acheni kujipa matumaini hewaHoroya akishinda simba inapungua nafasi ya kufuzu
Horoya anapaswa afungwe leo. Vipers apate point 3. Horoya abaki na 3 zake. Simba akomae na raja casablanca na yeye apate point 3. Hapo group linakuwa open kwa wote
Hata msimu uliopita hatukuwa na timu ya kumfunga bingwa wa shirikisho RS Berkane na alipasuka..Makolo hana timu ya kumfunga raja. Embu acheni kujipa matumaini hewa
Makolo akipata hata sare leo niite kibu dennis.. nimekaa hapaHata msimu uliopita hatukuwa na timu ya kumfunga bingwa wa shirikisho RS Berkane na alipasuka..
Hapa tunajadili mechi ya Vipers na Horoya, hao Makolo ndio akina nani?Makolo akipata hata sare leo niite kibu dennis.. nimekaa hapa
350 liveHii game itaonyeshwa kwenye king'amuzi cha AZAM?
Mnyama hajawahi kusumbuliwa na timu za kaskazini, usipoteze Muda wako.Makolo akipata hata sare leo niite kibu dennis.. nimekaa hapa
Cheki UBCHii game itaonyeshwa kwenye king'amuzi cha AZAM?
Mpira unachezwa uwanjani sio mdomoniNarudia tena, Vipers hana quality ya kumfunga simba kwenye champions league..