Hakuna shabiki wa Yanga aliyekuwa na wasiwasi na Gamondi, Nabi alifeli miaka miwili sisi kushiriki CAF na tukamvumilia, sembuse Gamondi?Hizo kauli huwa zinasemwa na Ma-mbumbumbu!
Ni wapi na lini umeona Wapenzi na mashabiki wa Klabu Bora Afrika ya Young Africans wakisema Gamondi Hafai?
Mbungi inayopigwa sasa hivi Yanga ni zaidi ya Samba la Brazil.Imetokea tu Gamond kutokubalika na wanaofanya hayo mara nyingi huwa ni wachambuzi na mashabiki wa Simba kwa kuanzisha kitu fulani cha kumkosoa. Mara utasikia rotation mara sijui hana mbinu alibebwa na Nabi lakini huyu kocha ni mwamba haswa. Aina yake ya mpira aisee haujawahi kupigwa mbugi kubwa kiasi hiki ndani ya kikosi cha Yanga. Msimu wake wa kwanza ndani ya Yanga ila ana achieve kikubwa ndani ya Yanga kitu ambacho hakijawahi kutokea. Kuna watu wanasema kuwa timu imejengwa na Nabi, kama mnadhani ni rahisi kuchukua timu mikono mwa mtu halafu uka maintain katika performance na kufanya vizuri zaidi kimataifa basi tumuulize huyo huyo Nabi kwanini kachukua Far Rabat iliyokuwa bora na bingwa wa ligi ya Morocco lakini kaishia raundi ya kwanza tu kwa kutolewa na Etoil du Sahel inayoburuza mkia kwa sasa kwenye kundi.
Yanga ilidhulumiwa haki yao kule Ghana kwa kunyimwa goli halali kabisa ambapo Yanga kabla hata ya mechi dhidi ya Belouizdad wangekuwa inaongoza kundi. Gamondi mpaka hapa kaifanyia makubwa Yanga akishirikiana na viongozi, na wachezaji. Big up kwake
gamondi anatosha kwa sasa,kila kocha no mzuri kwa wakati wakeKatika watu ambao ata afanye mazuri gani bado atasakamwa ni Gamond.
Mashabiki wa yanga wanakuambia Kwa Gamond hakuna kocha hapo, eti Gamond hana mbinu za kuivusha yanga.
Lakini ukitazama statics zinambeba sana Gamond.
Swali ni je Gamond anatosha au hatoshi.
Guardiola mnene atawavusha.Kwa hio Simba apewe Mgunda?
Namjua sanaPatrick Mutsepe unamjua?
Atapigwa vibaya sanaRaisi wa CAF na Mamelod huyo. Ana hamu na achievement ya Mamelod, msimu huu kaishachukua AFL ana hamu na CAFCL
KumbeKwa Yanga hii hata akipewa Mgunda anatamba tu.
SawaaaAcha umbea mtoto wa kiume, lini mashabiki wa Yanga tulimkataa Gamond? Nabi alikaa miaka miwili bila kushiriki michuano ya CAF na akavumilia, sumbuse Gamondi? Zile zilikuwa propaganda tu za mashabiki wa Simba.
Kabisa mkuuAsiye tambua ubora wa Gamondi hajui mpira huyo jamaa ni master wa kweli big up MG..
Yanga inacheza soka safi magoli ya mipango na sio dondokela..
Neno ni Statistics (Takwimu). Ni wengi sana huwa wanashindwa kulitamkaKatika watu ambao ata afanye mazuri gani bado atasakamwa ni Gamond.
Mashabiki wa yanga wanakuambia Kwa Gamond hakuna kocha hapo, eti Gamond hana mbinu za kuivusha yanga.
Lakini ukitazama statics zinambeba sana Gamond.
Swali ni je Gamond anatosha au hatoshi.
Nani atapigwa?Atapigwa vibaya sana
Wewe ndio ulikuwa unajifanya demu kwenye ule uzi wako wa bakabakaGAmondi✅
Nabi✅
Ila Gamondi kaja Yanga kipindi ambacho tunataka aendelee kutuweka kwenye Peak
Hiyo Tension tunamuonea.
😄😄😄😄 "statics"Neno ni Statistics (Takwimu). Ni wengi sana huwa wanashindwa kulitamka
Simba hawampendi Gamondi kwasababu kawapiga 5 , na wanahofu akibaki anaeza ongeza idadi ya magoli ktk marudiano ..Acha umbea mtoto wa kiume, lini mashabiki wa Yanga tulimkataa Gamond? Nabi alikaa miaka miwili bila kushiriki michuano ya CAF na akavumilia, sumbuse Gamondi? Zile zilikuwa propaganda tu za mashabiki wa Simba.
Chai
HaaaaNeno ni Statistics (Takwimu). Ni wengi sana huwa wanashindwa kulitamka
[emoji16][emoji16]Simba hawampendi Gamondi kwasababu kawapiga 5 , na wanahofu akibaki anaeza ongeza idadi ya magoli ktk marudiano ..
Ni kweli.Hizo kauli huwa zinasemwa na Ma-mbumbumbu!
Ni wapi na lini umeona Wapenzi na mashabiki wa Klabu Bora Afrika ya Young Africans wakisema Gamondi Hafai?