Vipi Gamond anafaa au bora Nabi

Hizo kauli huwa zinasemwa na Ma-mbumbumbu!

Ni wapi na lini umeona Wapenzi na mashabiki wa Klabu Bora Afrika ya Young Africans wakisema Gamondi Hafai?
Hakuna shabiki wa Yanga aliyekuwa na wasiwasi na Gamondi, Nabi alifeli miaka miwili sisi kushiriki CAF na tukamvumilia, sembuse Gamondi?
 
Mbungi inayopigwa sasa hivi Yanga ni zaidi ya Samba la Brazil.
 
gamondi anatosha kwa sasa,kila kocha no mzuri kwa wakati wake
 
Asiye tambua ubora wa Gamondi hajui mpira huyo jamaa ni master wa kweli big up MG..
Yanga inacheza soka safi magoli ya mipango na sio dondokela..
 
Acha umbea mtoto wa kiume, lini mashabiki wa Yanga tulimkataa Gamond? Nabi alikaa miaka miwili bila kushiriki michuano ya CAF na akavumilia, sumbuse Gamondi? Zile zilikuwa propaganda tu za mashabiki wa Simba.
Sawaaa
 
Neno ni Statistics (Takwimu). Ni wengi sana huwa wanashindwa kulitamka
 
Hizo kauli za kumsema Gamondi mlizianzisha nyie na wajomba zenu ORUMA Na JEMEDARI
 
Acha umbea mtoto wa kiume, lini mashabiki wa Yanga tulimkataa Gamond? Nabi alikaa miaka miwili bila kushiriki michuano ya CAF na akavumilia, sumbuse Gamondi? Zile zilikuwa propaganda tu za mashabiki wa Simba.
Simba hawampendi Gamondi kwasababu kawapiga 5 , na wanahofu akibaki anaeza ongeza idadi ya magoli ktk marudiano ..
 
Hizo kauli huwa zinasemwa na Ma-mbumbumbu!

Ni wapi na lini umeona Wapenzi na mashabiki wa Klabu Bora Afrika ya Young Africans wakisema Gamondi Hafai?
Ni kweli.

Sisi makolo ndo tuna tabia ya kumsakama na kumsema Gamondi.

Mtuvumilie tu watani mana tangu mtubugize lile kono la nyani hatupo sawa kisaikolojiia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…