Vipi ikatokea unakutana na barua ya Zuhura Yunus kuhusu uteuzi wa Kiongozi Mkubwa wa Upinzani?

Vipi ikatokea unakutana na barua ya Zuhura Yunus kuhusu uteuzi wa Kiongozi Mkubwa wa Upinzani?

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Siasa za Tanzania zina mambo, hivi siku hizi mnajua barua za uteuzi wanakadiria tumelala ndiyo inarushwa hewani.

Vipi Ukakutana na barua siku moja kwamba uteuzi wa Mheshimiwa Mbowe ameteuliwa kuwa na nafasi fulani serikalini au nje ya nchi? Si lazima Mbowe, hata Lissu Au Lema?

Kwa Zitto huko siongei maana ni mteule wa Rais kuvuruga Upinzani ana nafasi ya kudumu. 😅

Utalichukuliaje hili?

Britanicca
 
CHADEMA wametangaza kuanza mikutano ya hadhara nchi nzima.
 
Siasa za Tanzania zina mambo Hivi siku hizi mnajua barua za uteuzi wanakadiria tumelala ndo inarushwa hewan hahaha vipi Ukakutana na Barua siku moja kwamba uteuzi wa Mheshimiwa Mbowe ameteuliwa kuwa na nafasi fulani serikalini au nje ya nchi ? Si lazima mbowe hata Lissu Au Lema?

Kwa zitto huko siongei maana ni mteule wa Rais kuvuruga Upinzani ana nafasi ya kudumu [emoji28]


Utalichukuliaje hili ?


Britanicca
Hazipiti siku mbili mbona kuna mpinzani atashika wadhifa mkubwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Buyu la asali? Hakuna asiyependa nyumba ya bure, V8 la bure, mafuta ya bure, mapesa ya bure, ulinzi wa bure! Kazi yako kubwa ni kusifu na kuabudu...naam mapambio.
 
Siasa za Tanzania zina mambo Hivi siku hizi mnajua barua za uteuzi wanakadiria tumelala ndo inarushwa hewan hahaha vipi Ukakutana na Barua siku moja kwamba uteuzi wa Mheshimiwa Mbowe ameteuliwa kuwa na nafasi fulani serikalini au nje ya nchi ? Si lazima mbowe hata Lissu Au Lema?

Kwa zitto huko siongei maana ni mteule wa Rais kuvuruga Upinzani ana nafasi ya kudumu 😅

Utalichukuliaje hili ?

Britanicca
The impossible! Usually, the negative is incapable of proof! Water wil always go down a stream, the reverse will need expand of energy! Impossible to go up a gradient unless energy is used to do that!
 
Msitegemee matarajio makubwa kwa wanasiasa wa bara giza kwani hawaaminiki.
 
Back
Top Bottom