Vipi ikitokea Liverpool ikakutana fainali na Real Madrid! Je, nani atabeba ndoo?

Vipi ikitokea Liverpool ikakutana fainali na Real Madrid! Je, nani atabeba ndoo?

Ninachojua tu ni kwamba mwaka huu Timu zangu zote ' pendwa ' na ambazo zinavalia Jezi rangi Nyekundu za Simba SC na Liverpool FC zinakuwa ' Mabingwa ' nikimaanisha kwamba Simba SC tunabeba Kombe la VPL kwa msimu huu wa 2018 / 2019 na Liverpool FC itabeba Kombe la Champions League.

Kwa kukusaidia tu ' technically ' hakuna mechi rahisi kwa Liverpool FC kama ikicheza ' Fainali ' na Real Madrid kwani kwa uchezaji wa ' Jihad ' wa Liverpool FC ukijumlisha na ' total football style of play ' ya Watoto wa Jurgen Klopp Real Madrid wanaweza wakapata ' dhahama ' kama siyo ' mauaji ' ya ' Shalubela ' kuliko hata yale waliyoyapata jana Manchester City pale Anfield.
Exactly 99%
 
Pia Wakuu mkumbuke licha ya City kupigwa 3 bila Na liver ,usije ukashangaa j4 liver anataka Na city anaendlea....so city si wa kuwadharau kwan wana hasira pia ya kupigwa Na man u Jana......me nasema hivi city anamtoa liver.
man city ni kweli atashinda, but ataweza kweli kumzuia liver asiscore nae goli. rejea hata mechi zao. me naona city kashatolewa. mimi sio liver lkn liver usishangae akabeba hii ndoo.
 
Man city alizingua kukosa away goal pale Anfield ni bora matokeo ya 4-1 kuliko 3-0 siku ile wangepata matokeo ya 3-1 ingekuwa rahisi kupita na wangepita ila kwa hal ilivyo wanahitaji kufunga na kuomba
 
Ninachojua tu ni kwamba mwaka huu Timu zangu zote ' pendwa ' na ambazo zinavalia Jezi rangi Nyekundu za Simba SC na Liverpool FC zinakuwa ' Mabingwa ' nikimaanisha kwamba Simba SC tunabeba Kombe la VPL kwa msimu huu wa 2018 / 2019 na Liverpool FC itabeba Kombe la Champions League.

Kwa kukusaidia tu ' technically ' hakuna mechi rahisi kwa Liverpool FC kama ikicheza ' Fainali ' na Real Madrid kwani kwa uchezaji wa ' Jihad ' wa Liverpool FC ukijumlisha na ' total football style of play ' ya Watoto wa Jurgen Klopp Real Madrid wanaweza wakapata ' dhahama ' kama siyo ' mauaji ' ya ' Shalubela ' kuliko hata yale waliyoyapata jana Manchester City pale Anfield.
we jamaa una akili sana!
 
Yaani wasiojua soka tayari mmemtoa Man city?? Ninaona dalili za Liverpool kutolewa na Man city licha ya kuwa mbele 3-0 soka ni kitu cha ajabu sana.

Team zingine zote zilizotangulia kwa ushibdi mechi za kwanza zinachance kubwa ya kufuzu isipokuwa huyo Liverpool
 
Kwani Liverpool ameshapita, au UEFA sasa imekuwa ramli!
 
Yaani wasiojua soka tayari mmemtoa Man city?? Ninaona dalili za Liverpool kutolewa na Man city licha ya kuwa mbele 3-0 soka ni kitu cha ajabu sana.

Team zingine zote zilizotangulia kwa ushibdi mechi za kwanza zinachance kubwa ya kufuzu isipokuwa huyo Liverpool
Keep on dreaming...kesho mida kama hii utakuwa umejificha hutaki kuibuka kwenye huu uzi
 
Kama madrid nusu fainali hatopangiwa barca basi atafika fainali,,,liva hana uwezo wakumfunga yoyote kati ya madrid,barca au munich
kwa taarifa tu, timu zote ulizozitaja hapo juu baada ya last 16 hakuna hata moja iliyokuwa inataka kukutana na Liverpool kwenye quarter final. hivi ninavyoandika timu hizi zimeshika korodani zao kuomba kwa miungu yao ili Liverpool watolewe leo vs Man City.

YNWA!
 
Yaani wasiojua soka tayari mmemtoa Man city?? Ninaona dalili za Liverpool kutolewa na Man city licha ya kuwa mbele 3-0 soka ni kitu cha ajabu sana.

Team zingine zote zilizotangulia kwa ushibdi mechi za kwanza zinachance kubwa ya kufuzu isipokuwa huyo Liverpool

Utumbo mtupu!!
 

Roma kitu gani wewe 😀😀😀!! Mbona hushangai kazifunga timu kubwa zaidi ya Roma!!!
Real Madrid...Chelsea.. Man city..Arsenal..Man u..Juve..Bayern...Bayern leverkusen...Psg...Atletico madrid N.K. kwahiyo ROMA ndio umeona tim ngumu sana kwake sio??? Messi ni mchezaji wa kipekee kuwahi kutokea Asipofunga anatengeneza au kutoa assist kwa wenzie.


MESSI NDIO INJINI YA BARCA

We jamaa bhana!!
 
Yaani wasiojua soka tayari mmemtoa Man city?? Ninaona dalili za Liverpool kutolewa na Man city licha ya kuwa mbele 3-0 soka ni kitu cha ajabu sana.

Team zingine zote zilizotangulia kwa ushibdi mechi za kwanza zinachance kubwa ya kufuzu isipokuwa huyo Liverpool

Pole ,sema lingine sasa
 
Back
Top Bottom