njaakalihatari
JF-Expert Member
- Feb 12, 2019
- 4,081
- 8,671
Hili sakata la usajili lilivyokosewa kiuzembe kwenye namba 6 na 9 ukilichunguza kwa makini ni uzembe mkubwa sana wa bodi yote ya simba plus Mohamed dewji
Sasa kinachotokea ni nini? PROPAGANDA MFU:
*Vipers wanataka millions 400 mkataba wa miezi miwili
*Mchezaji mwenyewe anatuchanganya tu mkataba hauleweki kama ni miaka 2 au miezi 2
*kuhusu namba 6 baada ya kuona upuuzi walioufanya wanasambaza propaganda FRAGA APANDA NDEGE KESHO KUTIA MAGUU DSM
TRY AGAIN NA BARBARA ni kwa muda mrefu tumewaaamini sana elimu zenu na muonekano wenu lakini something is not right na walahi bilahi huu mwaka utawaumbua
Kama mnajua kusoma nyakati kidogokidogo THE TRUTH IS UNFOLDING
*KUNA SIKU TUTASIKIA UKWELI KUTOKA VIPERS
*INAWEZEKANA SOPE ALBINO MANARA , KASSIM DEWJI, MORRISON PAMOJA NA MAPUNGUFU YAO KUNA MALALAMIKO YAO WALIYOYATOA KUHUSU BARBARA YANA UKWELI(BEHIND THAT PRETTY FACE ATAKUWA DADA MMOJA JEURI SANA)
*NA YULE MZEE ALIYEJITOA BODI YA SIMBA BAADAYA BARBARA KUKATAA MKATABA MNONO WA AZAM TV MATOKEO YAKE YAKE UTOPOLO FC IKAISHIA KUKOMBA MABILIONI PEKE YAKE KWA MWAKA TUKAAMBIWA TUSIJALI CONTENTS ZA YOU TUBE ZITALETA HELA NYINGI
TENA MO DEWJI AKASEMA SIMBA ITAANZISHA TV YAKE IKIBIDI ONA SASA MILLIONS 400 VIPERS INATUTOA JASHO LABDA HELA YA AZAM TV INGESAIDIA
Sasa kinachotokea ni nini? PROPAGANDA MFU:
*Vipers wanataka millions 400 mkataba wa miezi miwili
*Mchezaji mwenyewe anatuchanganya tu mkataba hauleweki kama ni miaka 2 au miezi 2
*kuhusu namba 6 baada ya kuona upuuzi walioufanya wanasambaza propaganda FRAGA APANDA NDEGE KESHO KUTIA MAGUU DSM
TRY AGAIN NA BARBARA ni kwa muda mrefu tumewaaamini sana elimu zenu na muonekano wenu lakini something is not right na walahi bilahi huu mwaka utawaumbua
Kama mnajua kusoma nyakati kidogokidogo THE TRUTH IS UNFOLDING
*KUNA SIKU TUTASIKIA UKWELI KUTOKA VIPERS
*INAWEZEKANA SOPE ALBINO MANARA , KASSIM DEWJI, MORRISON PAMOJA NA MAPUNGUFU YAO KUNA MALALAMIKO YAO WALIYOYATOA KUHUSU BARBARA YANA UKWELI(BEHIND THAT PRETTY FACE ATAKUWA DADA MMOJA JEURI SANA)
*NA YULE MZEE ALIYEJITOA BODI YA SIMBA BAADAYA BARBARA KUKATAA MKATABA MNONO WA AZAM TV MATOKEO YAKE YAKE UTOPOLO FC IKAISHIA KUKOMBA MABILIONI PEKE YAKE KWA MWAKA TUKAAMBIWA TUSIJALI CONTENTS ZA YOU TUBE ZITALETA HELA NYINGI
TENA MO DEWJI AKASEMA SIMBA ITAANZISHA TV YAKE IKIBIDI ONA SASA MILLIONS 400 VIPERS INATUTOA JASHO LABDA HELA YA AZAM TV INGESAIDIA