Vipi kama Manara, Morisson wanasema ukweli kuhusu CEO Barbara

Mkuu pumzika japo kidogo kila muda manzoki namba 6,9 thread sijui ya ngapi hii.
Jikaze siyo wewe pekee ni shabiki wa Simba Sc!
Hahahhaa bora umesema huyu anajikuta yeye ndiyo ana uchungu kumbe jinga tu.
 
Hela za manzoki ndo zile simba walikataa za GSM kwa hyo ulitaka babra asaini ule mkataba wa utopolo ili apate hela za usajili.
 
Ila na wewe punguza mihemko, asilimia kubwa ya habari zako unazitoa mitandaoni bila kuthibitishwa popote halafu unaishia kuwalaumu viongozi wa Simba SC, uwe unajipa muda wa kutafakari kabla ya kuja huku na hizi thread zako za malalamiko ya mfululizo
 
Mtu akiwa na misimamo dhidi ya majitu majinga majinga kuna tatizo???
 
Yawezekana pia kaachika kwa mwanandoa mwenzie ndio maana kafura kama povu la foma 😂
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kapagawa huyo mkuu mwache hasira zake zikipoa atatulia maana Kwa sasa kawa kama mwehu Kila muda anashusha Uzi wenye maudhui yaleyale
 
Mda wote mnajadilia tu Simba na yanga HV hamuoni Hali ilivyo kwa sas amuezi kuandiaka maswla mengine na jins serwmali inavyonyonya watu wake nyinyi kutwa zima Simba na yanga

Kweli taifa hili mpk lije kukombolewa Ni baada ya miaka 50

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…