Vipi kiwango cha Joash Onyango umekionaje?

Vipi kiwango cha Joash Onyango umekionaje?

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Ukiwa kama shabiki wa soka bila kujali unashabikia timu gani, dondosha maoni yako kuhusu uwezo na kiwango cha beki wa kati wa Simba kutoka Kenya Joash Onyango 'Giorgio Chiellini'
IMG_3890.JPG
 
Ni beki makini, ila nina wasiwasi na kasi yake kama atakutana na viberenge wanaokimbia kama TK Master wa Yanga.
Afanyie mazoezi ya kukaba kwa kasi, na kuwashinda washambuliaji wenye mwendo kasi kama akina Nchimbi.
Simba wange mzoesha beki Ame Ibrahimu kwakuwa bado kijana hivyo kuweza kikabiliana na wachezaji wanao kimbiza amsaidie Babu Unyango.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
 
Ni beki makini, ila nina wasiwasi na kasi yake kama atakutana na viberenge wanaokimbia kama TK Master wa Yanga.
Afanyie mazoezi ya kukaba kwa kasi, na kuwashinda washambuliaji wenye mwendo kasi kama akina Nchimbi.
Simba wange mzoesha beki Ame Ibrahimu kwakuwa bado kijana hivyo kuweza kikabiliana na wachezaji wanao kimbiza amsaidie Babu Unyango.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Kwani kuchangia lazima uwataje wachezaji wa Yanga ?!
 
Ni beki makini, ila nina wasiwasi na kasi yake kama atakutana na viberenge wanaokimbia kama TK Master wa Yanga.
Afanyie mazoezi ya kukaba kwa kasi, na kuwashinda washambuliaji wenye mwendo kasi kama akina Nchimbi.
Simba wange mzoesha beki Ame Ibrahimu kwakuwa bado kijana hivyo kuweza kikabiliana na wachezaji wanao kimbiza amsaidie Babu Unyango.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Kama Nchimbi alishindwa kumzidi kasi Wawa huyu ndio atamuweza
 
Kwa mtazamo wangu simba bado simba ina tatizo kubwa kwenye safu ya ulinzi hasa beki wa kati.

Simba ilipaswa kusajili mabeki wawili wa kati wenye urefu wa futi sita
Utakumbuka kuwa magoli mengi ya simba ligi ya mabingwa zile 5 tano 5 ni kutokana na kutokuwa na mabeki wazuri kariba ya vicent bosuu.

Bila mabadiliko na usajili wa mihemuko tutaendelea kushuhudia zile 5 zikijirudia.

Sikuona sababu ya kuendelea kuwa na wawa kikosini.

Kwenye beki ya kati wameshindwa
 
Ni beki makini, ila nina wasiwasi na kasi yake kama atakutana na viberenge wanaokimbia kama TK Master wa Yanga.
Afanyie mazoezi ya kukaba kwa kasi, na kuwashinda washambuliaji wenye mwendo kasi kama akina Nchimbi.
Simba wange mzoesha beki Ame Ibrahimu kwakuwa bado kijana hivyo kuweza kikabiliana na wachezaji wanao kimbiza amsaidie Babu Unyango.

Sent from my MI MAX 2 using JamiiForums mobile app
Mkuu kwani si tumeambiwa Onyango ni kijana mdogo ana miaka 24?
 
Back
Top Bottom