Naomba tusaidiane kimawazo hii kodi ya kibali cha kuingia mjini kwa wenye pikipiki imewekwa kwa ajili ya kuleta maandeleo kwa Dar es Salaam au imewekwa kwa ajili ya matumbo ya watu binafsi au kumkandamiza Mwananchi?
Inawezekana vipi mtu ananunua usafiri wake kisha analipia bima, sumatra, nenda kwa usalama, ambazo zote ni kodi haitoshi anazuiwa kuingia mjini eti mpaka alipie kibali cha kuingia mjini hili limekaaje nduguzangu?
Inawezekana vipi mtu ananunua usafiri wake kisha analipia bima, sumatra, nenda kwa usalama, ambazo zote ni kodi haitoshi anazuiwa kuingia mjini eti mpaka alipie kibali cha kuingia mjini hili limekaaje nduguzangu?