Vipi kuhusu hiki kibali cha kuingia mjini kwa wenye pikipiki?

Vipi kuhusu hiki kibali cha kuingia mjini kwa wenye pikipiki?

Ni sheria mbovu sijapata kuiona,ni sheria iliyokosa utaratibu,haiwekani mwenye bodaboda akazwe,na MTU anaetumia Pikipiki yake kama chombo rasmi cha kumfikisha kazini nae atozwe,ili hali kwenye mshahara wake ameshakatwa kodi,wangewafanyia hivyo wanaotumia kuchukua abilia
 
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
emoji38.png
eti sio kurusha ngumi.
Ila huwa tunalaumu tu upande wa serikali lakini watu wa bodaboda na wenyewe sio waelewa hii inawafanya kuwa watu wasiosaidika.
Wewe angalia hata huko nje ya mji unakuta kwenye mataa gari zimepanga foleni kusubiria mataa yaruhusu hao

Ni sheria mbovu sijapata kuiona,ni sheria iliyokosa utaratibu,haiwekani mwenye bodaboda akazwe,na MTU anaetumia Pikipiki yake kama chombo rasmi cha kumfikisha kazini nae atozwe,ili hali kwenye mshahara wake ameshakatwa kodi,wangewafanyia hivyo wanaotumia kuchukua abilia
KWELI MKUU
 
Shida si kukusanya kodi shida ni pale wanapojitoa akili na kuleta bugdha mjini
 
Back
Top Bottom