Vipi kuhusu mpenzi wa shujaa Majaliwa?

Vipi kuhusu mpenzi wa shujaa Majaliwa?

Naomba ni nukuu " Mpenzi wangu Majàa(My hero ) momy anaumwa, alafu ile simu uliyo niletea hata siipendi basi baby ukitoka bungeni pliz pitia pale mole uniletee iPhone 14 pro-max📱.

Wahi basi twende Nairobi nikatengeneze nywele zangu dear coz tangu ulivyo ondoka huku kijijini nakosa Raha...." Mwisho wa kunukuu🤣🤣😂😂
 
Back
Top Bottom