kinyamkela mahaba
JF-Expert Member
- May 4, 2022
- 1,178
- 1,596
Akiwa mshamba mshamba na much know atafilisiwaAwe makini na Wema Sepetu maana yule hakawii kumuita Chibaba amfilisi mtoto wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
In sepetus voiceKabisa, upo saihi. Mungu amuepushe nahii minyang'au minjaa kali ya Bongo movie
We una billion?Unafikiri na utajiri wake atafika Billion?
Jibu swali, uliza swali. Elimu yako na ikukomboe! Kama ni test ya marks 10 umeshakosa 6%!We una billion?
haa..Haahaaha..Awe makini na Wema Sepetu maana yule hakawii kumuita Chibaba amfilisi mtoto wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbususu haina ushamba, Idriss hakuwa mshamba na bado alifilisiwa na sepenga.Akiwa mshamba mshamba na much know atafilisiwa