Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,629
- 4,831
Miye nawaza kwanini mafisa utumishi wamekuwa wachoyo hivi wameshindwa share nasi payroll mpaka mda huu au bado haijatoka
Mwezi huu Kuna ajira mpya.yawezekana payroll bado.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Miye nawaza kwanini mafisa utumishi wamekuwa wachoyo hivi wameshindwa share nasi payroll mpaka mda huu au bado haijatoka
OkayMwezi huu Kuna ajira mpya.yawezekana payroll bado.
Mmmh mbona bado wengine kuwa mkweli, nahis mpka jtatu ndo utatoka128000
J3 kote hukoMmmh mbona bado wengine kuwa mkweli, nahis mpka jtatu ndo utatoka
UongoMimi hapa imeongezeka 250,000/= mama Samia oyeeeeee
Dogo kapambane na ajira za muda za sensa..achana na hizi kamba unazotupiga.Mimi hapa imeongezeka 250,000/= mama Samia oyeeeeee
Payroll tangu juzi ile usiku na wakuu wa idara wanajua kabisa punje walizo ongezewaMwezi huu Kuna ajira mpya.yawezekana payroll bado.
Hivi maafisa utumishi huwa wanapata payrol kabla pesa kuingia kwa akaunt za watumishi eeh...?Miye nawaza kwanini mafisa utumishi wamekuwa wachoyo hivi wameshindwa share nasi payroll mpaka mda huu au bado haijatoka
Nani kageuka salary alert !!!?????? Jiunge na mobile salary alert ndio suluhisho...!!!Uzi huu ni mahususi kwaajili ya kujuzana kuhusu mshahara wa mwezi Julai. Je mshahara ushatoka? Vipi kuna mabadiliko? Ahsanteni sana.
Baba mwenye nyumba,
Kashai, Bukoba.
[emoji38][emoji38]Nani kageuka salary alert !!!?????? Jiunge na mobile salary alert ndio suluhisho...!!!
Mshahara tarehe 21[emoji849][emoji849][emoji849]Uzi huu ni mahususi kwaajili ya kujuzana kuhusu mshahara wa mwezi Julai. Je mshahara ushatoka? Vipi kuna mabadiliko? Ahsanteni sana.
Baba mwenye nyumba,
Kashai, Bukoba.
Watazungumzia nyongeza ya pensheni ya kila mwezi kwani maisha yamepanda kote siyo kwa waliopo kwenye ajira pekee yao.Wale wastaafu wanakutana leo na Kiongozi, sijui watazungumzia kikokotoo?