Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Jibu hoja kwa hoja,kama huna hoja kama kimya.
Kwa akili yako hukulijua hili hadi usome vitabu vya mudi?hujui mtoto anapatikanaje?hujui nyama inafunika mifupa?bado unaamini nyama inatengeneza mifupa?unaakili wewe?sijui mijitu mingine ikoje?halioni...halielewi....halisikii!kero tupu
 
Kwa akili yako hukulijua hili hadi usome vitabu vya mudi?hujui mtoto anapatikanaje?hujui nyama inafunika mifupa?bado unaamini nyama inatengeneza mifupa?unaakili wewe?sijui mijitu mingine ikoje?halioni...halielewi....halisikii!kero tupu
Uandishi wako wa kigumbaru,wa elimu ya watu wazima,ni thibitisho tosha ya kuonyesha huna elimu.Washindwa hata kuandika majina.
Hueleweki umeandika kitu gani.Kajifunze kuandika kwanza uje.Au ndio shule nyingine hazijafunguliwa,bado wanafunzi wa Mwemkwa mmo humu.
 
PHARAOH
 

Attachments

  • download.jpg
    8.9 KB · Views: 38
Usiwaze kama mjinga. Kuuharibu mwili inawezekana na hamna tatizo lolote. Sema hairuhusiw coz ule ni urith wa kihistoria.utafungwa na utaonekana mpumbavuh .ila usidanganye watu plz ukadhan ni wote ambao hawana elimu dunia

 
Usiwaze kama mjinga. Kuuharibu mwili inawezekana na hamna tatizo lolote. Sema hairuhusiw coz ule ni urith wa kihistoria.utafungwa na utaonekana mpumbavuh .ila usidanganye watu plz ukadhan ni wote ambao hawana elimu dunia

 
Usiwaze kama mjinga. Kuuharibu mwili inawezekana na hamna tatizo lolote. Sema hairuhusiw coz ule ni urith wa kihistoria.utafungwa na utaonekana mpumbavuh .ila usidanganye watu plz ukadhan ni wote ambao hawana elimu dunia
Kwa taarifa yako wewe ndio waweza kua mjinga. Ninapotoa challenge kama hiyo nina maana yangu. Walishajaribu sana kuudestroy lakini ikashindikana.
 
Jaffar unaifaham bing bang theory? Maana inawezekana ukawa unazungumzia kitu usichokijua au ambacho tena kitakupa shida kwa iman unayotaka kuizungumzia.muhamad alikuwa akisafiri katika safari zake za vita na kuteka mali alikuwa akikutana na watu wa tamadun nying ambao walimsimulia mambo ambayo yalikuja kuandikwa kwenye kuran.hamna jipya alilogundua.


 
Tatizo watu hawa akili zao zimefungwa!hawaoni....hawasikii!
 
Kwanza unatakiwa ujue kuwa Quran sio maneno ya Mtume Muhammad. Ni nineno ya Mungu moja kwa Moja. Malaika Jibril ndio aliokua anafikisha kwake kutoka kwa Mungu. Ndio maana aya nyingi zinaanza kwa Waambie ewe Muhammad ama sema ewe Muhammad. Au anaambiwa Waonye watu wako ewe Muhammad. Hiki sio kitabu chenye waandisha mara Luka kasema hiki, mara matayo kasema hiki,Mara paulo kasema hiki.
Na kuhusu Big Bang ninaimani kubwa kua ninauelewa zaidi kuliko wewe.
Sasa je kama unaifahamu big bang. Sema nikupe andiko ambalo limeshasema hayo miaka zaidi ya 1400 kutoka kwa mtume ambae alikua hajui kusoma wala Kuandika.
 
Story za wakat wa kunywa kahawa. Na kama ni hivyo so hilo nalo linahusiana na iman yako?how?kwanza ni story au sisi chuon tulikuwa tunaita chai. Ni chai tu hizo


Kwa taarifa yako wewe ndio waweza kua mjinga. Ninapotoa challenge kama hiyo nina maana yangu. Walishajaribu sana kuudestroy lakini ikashindikana.
 
Jambo likishakuwa fact inakuwa sio imani tena..... imani ni kuamini ni kuamin mambo yasiyo na fact / no empirical data za kujustify...
Haya enjoy Kaka

 
Alikua mtume kajua kutoka kwa Mungu wake aliokua akimuongoza na mengine alikua akiyaona njiani mfano safari ya miraaji alitumia wormholes, alipita mbingu zote saba na kadhalika
Alitumia wings horse na sio warm hole... alienda na farasi mwenye mabawa...
 
Hiyo Quran yako unayosema imetoka imekopiwa tu kutoka kwa musa aliyechukua misri so its not a big deal.
 
Bullshit!!
Pyramids were built by ancient egyptians who happened to be neither white nor arabic.
 
Refer max Webber amechambua huyu mtume,waislamu wameshindwa kupinga hoja nzito za mwanafalsa huyu,Kuna hoja inaitwa parallelism imemchana vibaya
 
Refer max Webber amechambua huyu mtume,waislamu wameshindwa kupinga hoja nzito za mwanafalsa huyu,Kuna hoja inaitwa parallelism imemchana vibaya
Lete hizo hoja zake tuzipitie hapa tuone kama ni kweli tumeshindwa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…