St Lunatics
JF-Expert Member
- Aug 29, 2015
- 6,644
- 11,174
Hata Yesu kayakuta hayo pia.View attachment 454967
Mtume kaja juzi tu ndio akawapa Waarabu ustaarabu wa kupata tohara kwa wanaume, miaka maelfu yaliyopita Watu weusi wa Misri, Sudan na Ethipoia walikuwa wanapeana Tohara
Ndugu hapo ume -misstranslate hiyo aya na kuigeneralize ikidhi maono yako. Sababu kwenye aya farao anataka kujenga mnara na siyo pyramid. Yakima mahala kwenye Quran panapo mtaja firauni kama mjenzi wa pyramid. Lakini zaidi pyramid zimejengwa kitambo sana na kuna uwezekano wajenzi wake si binadam.Huyu ana wenzake,siwataji hapa lakini wanajulikana,nimeshawapa uthibitisho mwingi kuhusu Qur'an ilivyo sahihi katika nyanja zote za kielimu.Zaidi mwisho wanabaki hawana hoja za kujibu.
Wajuwa wengi wamekuwa brain washed,kwamba uislamu uko nyums kielimu kwa kutizama makabila yalioko hapa kwetu,ambayo toka asili yao hawana mwamko wa kielimu,wakati wapo pia wa dini zao wasiopenda elimu.Hawajui kama hata chuo kikuu alianzisha Mtume Muhammad (SAW),ndani ya msikiti,na kufuatiwa na chuo kikuu kilichotambulika kwanza dunia nzima,ambacho alianzisha mwanamke wa kiislamu nchini Morocco,na mpaka Leo kipo.Kwa hiyo mtu anaposoma chuo kikuu ajue ni Mwanamke wa kiislamu ndio alianzisha chuo kikuu cha kwanza duniani.
Hata Yesu kayakuta hayo pia.
Ulipojibu na uliweka picha ya uthibitisho wako wa Farao wakitahiriwa. Ndio nikasema hata Yesu kayakuta manake Farao alikuwepo kabla ya Yesu pia. Sasa na wewe Farao kaingiaje mbona ulijubu mada juu ya mada? Umetoa hoja nakujibu kwa hoja.Ya Yesu yanaingiaje tena, mbona unaleta maada juu ta Maada?
Ulipojibu na uliweka picha ya uthibitisho wako wa Farao wakitahiriwa. Ndio nikasema hata Yesu kayakuta manake Farao alikuwepo kabla ya Yesu pia. Sasa na wewe Farao kaingiaje mbona ulijubu mada juu ya mada? Umetoa hoja nakujibu kwa hoja.
mkuu kama ni kitabu au documentary ambayo inazungumzia hichi ulichokisema kwa undani naomba jina lake mkuu niongeze ufahamuNi kweli kabisa kwamba pale Egypt sehemu ya Pyramid ya Giza na sanamu ya Simba pamewekwa au kufichwa sayansi kubwa sana duniani. Mfano ni Golden number na pai ya hesabu ambavyo ukivichanganya kidogo vinakupa speed ya mwanga.
Wa Egypt hawakuwa hawa Waarabu. Hawa waliwavamia real Egyptian na kuwafukuza maeneo hayo. Kuna kila dalili kuwa wale walikuwa Weusi na moja ya mabaki yao yanaweza kuwa ni kabila la Dogon wanaoishi Mali.
Kuna sayari ambazo Dogoni alizisema miaka mingi nyuma ndiyo kwanza Nasa wamekuja kuziona kwa kutumia powerful telescope.
Kuna story kwenye Biblia inasema kuwa kuna watu walikuja kutoka mbinguni na baada yakuwaona Mabinti wa Dunia hii wakawapenda. Wengine wanadai kuwa hawa jamaa walikuja Babylon kuja kutafuta dhahabu. Kumbuka dhahabu ni best material kwa ajili ya kupitisha joto na umeme.
Walipoona hii kazi ngumu sana basi wakawazalisha Binadanu na wale watoto wakawa ni kama binadamu ila Super natural talented. Hawa ndiyo inasemwa walikuja kujenga hizo Pyramid na vitu vingine baadaye.
Vatican hizi siri wanazo siku nyingi na ukiangalia makanisa hata ya zamani sana, walitumia Golden Ratio kujenga. Bendera ya USA imetengenezwa kwa kutumia Golden Ratio. Symbol ya Toyota vilevile.
Swali hapa ni vipi Vatican walijenga hivi? Ni lazima walijua siri hii. Ndiyo maana CIA na Vatican ni marafiki wakubwa na wao ndiyo walinzi wa siri hizi za dunia.
Mwenye hamu ya kutaka kujua hili basi aanzie kufuatilia matukio ya vifo vya wale (Samaki wakubwa?) Waliokuwa wakiokotwa wamekufa kwenye fukwe za bahari. Anzia tukio la wale waliokutwa wamekufa RSA.
Njoo angalia siri ya Pyramid ya Giza. Njoo usome au sikiliza siri ya kabila la Dogoni na hapo utapata mwanga mkubwa wa hizi habari. Dogoni wao wanathibitisha kabisa walitoka angani kwenye sayari ndogo pembeni mwa Sirius.
Aisee we kama si kiazi basi mbatataMtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,
Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu
Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Hivi mbatata ndio kiazi ulaya?Aisee we kama si kiazi basi mbatata
mkuu kama ni kitabu au documentary ambayo inazungumzia hichi ulichokisema kwa undani naomba jina lake mkuu niongeze ufahamu
ni pm mkuu
Sawa hao wote wametaja sayansi yao, Jee hio yao na ya Quran zimefanana?Mi sijazungumzia habari za Pharaoh pekeyake, nimezungumzia, wahindi, wagiriki, Wachina, wa Babylon wa zamani na nimefanya hivyo kuthibitisha kuwa sayansi hiyo wanayoizungumza kwenye Quran ilishafanywa na hao niliowataja
Sawa hao wote wametaja sayansi yao, Jee hio yao na ya Quran zimefanana?
Kama ndio naomba uzitaje na uweke hapa tuone ufanano wake.
Pia kumbuka kufanana kwa utabiri wa Taurat, Zaburi, Injil na Quran muandishi wa vitabu hivyo vyote ni Mungu mmoja tu. Kwahio kufanana kwao ni ukumbusho wa muandishi kwa waja wake wa umma mpya.
Huna ushahidi wowote ulioweka,kumetolewa vielelezo vingi kuhusu Qur'an na Sayansi,mpaka lakini waruka ruka,bila jibu.Swali dogo tu la kisayansi la kujuwa ni nyuki mwanamke ndiye anayezalisha asali,kwa ilivyoandikwa katika Qur'an,nikakuambia lete kitabu kabla ya Qur'an kutaja hili.Waleta picha za michoro ya nyuki wa watu waliokuwa wakiwaabudu.Rudia mwanzo wa hii thread utaona ushahidi wote niliouweka
Huna ushahidi wowote ulioweka,kumetolewa vielelezo vingi kuhusu Qur'an na Sayansi,mpaka lakini waruka ruka,bila jibu.Swali dogo tu la kisayansi la kujuwa ni nyuki mwanamke ndiye anayezalisha asali,kwa ilivyoandikwa katika Qur'an,nikakuambia lete kitabu kabla ya Qur'an kutaja hili.Waleta picha za michoro ya nyuki wa watu waliokuwa wakiwaabudu.
Mtu asiyejuwa kusoma wala kuandika ndio sembuse aanzishe chuo kikuu?Huyu ana wenzake,siwataji hapa lakini wanajulikana,nimeshawapa uthibitisho mwingi kuhusu Qur'an ilivyo sahihi katika nyanja zote za kielimu.Zaidi mwisho wanabaki hawana hoja za kujibu.
Wajuwa wengi wamekuwa brain washed,kwamba uislamu uko nyums kielimu kwa kutizama makabila yalioko hapa kwetu,ambayo toka asili yao hawana mwamko wa kielimu,wakati wapo pia wa dini zao wasiopenda elimu.Hawajui kama hata chuo kikuu alianzisha Mtume Muhammad (SAW),ndani ya msikiti,na kufuatiwa na chuo kikuu kilichotambulika kwanza dunia nzima,ambacho alianzisha mwanamke wa kiislamu nchini Morocco,na mpaka Leo kipo.Kwa hiyo mtu anaposoma chuo kikuu ajue ni Mwanamke wa kiislamu ndio alianzisha chuo kikuu cha kwanza duniani.
Ndio maana nikakuambia wewe kilaza,wagunduzi karibia wote duniani walikuwa sio wasomi.Mfano aliyegundua garimoshi(train)alikuwa sio msomi ni muuza chai,ailiyegundua umeme na ukamuua yeye mwenyewe hakuwa msomi.Mtu asiyejuwa kusoma wala kuandika ndio sembuse aanzishe chuo kikuu?
Ujinga huu.
Mtu asiyejuwa kusoma wala kuandika ndio sembuse aanzishe chuo kikuu?
Ujinga huu.
Wewe kweli umechelewa,hivi ukisikia shule ya kwanza kujengwa ya Secondary kabla ya Uhuru ni Old Tanga School,na mpaka leo ipo katikati ya jiji la Tanga,waalimu wa kwanza wa hapo walikuwa waislamu,na Shule ya kwanza ya Secondary baada ya Uhuru ni Tanga Tech sec school,iko Tanga mpaka leo.Kaka kuna shida kubwa sana, eti chuo cha kwanza ni cha Morroco what about Takshashila university? Waarabu walikaa East african Coast kwa zaidi ya miaka 600, lakini shule ya kwanza Tanzania imejengwa na Waingereza, kwa nini wao hawakujenga hizo shule hapa East Africa hili hali sayansi yote himo kwenye kitabu ?
Hizi ni namba za kihindi, ndio maana kuna namba kongwe za kirumi, soma documents nyingi utaona hilo na hata tuliosoma zamani wote tunazijuwa namba za kirumi na saa zetu mikononi na ikutani ni za kirumi.Wewe kweli umechelewa,hivi ukisikia shule ya kwanza kujengwa ya Secondary kabla ya Uhuru ni Old Tanga School,na mpaka leo ipo katikati ya jiji la Tanga,waalimu wa kwanza wa hapo walikuwa waislamu,na Shule ya kwanza ya Secondary baada ya Uhuru ni Tanga Tech sec school,iko Tanga mpaka leo.
Huu mji wa Tanga ndio mji uliokuwa na waislamu wengi sana,waliopata elimu kupitia kwa waarabu waislamu.Hata mjerumani alipofika Tanganyika alikuta tayari kuna wasomi,aliowatumia kwa vyeo vya Maliwali na Maakida(kama wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya).
Hata namba tunazozitumia 0 1 2 3 4 5 6 7 8 9 ni Namba zilizovumbiliwa na waarabu,toka wakati huo mpaka sasa ulimwengu mzima zinaitwa Namba za kiarabu na hata shule tumfundishwa hivyo na vitabu vimeandika hivyo.Labda ulikuwa mtoro wa shule hujajuwa hilo.
Si ndio maana nikakuambia ulikuwa watoroka shule,mtafute mwanafunzi yoyote asiye mtoro wa shule,atakuambia Namba za kiarabu.Hizi ni namba za kihindi, ndio maana kuna namba kongwe za kirumi, soma documents nyingi utaona hilo na hata tuliosoma zamani wote tunazijuwa namba za kirumi na saa zetu mikononi na ikutani ni za kirumi.
Wewe una mahaba yako na waarabu wanachokimudu wao ni ugaidi tu.
Porojo.comSi ndio maana nikakuambia ulikuwa watoroka shule,mtafute mwanafunzi yoyote asiye mtoro wa shule,atakuambia Namba za kiarabu.
Kuhusu chuo kikuu cha kwanza ni:
All Qarawiyyin is the oldest existing continually operating and the first degree awarding education institution in the world according to UNESCO and Guineas World records was founded by Fatima al fihri in 859.