Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

This is the dead body of Pharoah Ramese II , the Egyptian Pharaoh (king)
Its age is approximately 3000 years.
The body of the Pharaoh was discovered in 1898 in the Red Sea at the place called jabalian.
This body is now displayed in the Royal Mummies Chamber of the Egyptian Museum in Cairo.
 
Soma update faida


Karatasi?
 
Wewe ndio kilaza,uwelewaji wako mdogo.Qur'an iloshasema hakuna ktakochabaki hai.Kila kilichoumbwa kitakufa.Yesu pia atakufa,ila mda wake bado,ukifika atakufa.
Wewe acha umbayuwayu!
Lini atakufa na atakufa kwa lipi?
Au mnasubiri the second coming of Muhammad(Mahad) kujapigana na Yesu?
 
Hata biblia hii unayosoma sio biblia ni tafsiri ya biblia.Biblia ina lugha Yake ya asili.Tafsiri ya biblia ,kwa ukilaza wenu ndio mumeifanya ndio biblia.
Unayo hiyo Bibilia?
Na je lugha hiyo ya asili ni ipi?
Sema umejuaje/nani kakwambia hayo?
 
Wewe acha umbayuwayu!
Lini atakufa na atakufa kwa lipi?
Au mnasubiri the second coming of Muhammad(Mahad) kujapigana na Yesu?
Soma uislamu uelewe.Mtume Muhammad hana ugomvi na Yesu.Mtume Muhammad ni Mtume wa Allah na na Yesu ni Nabii wa Allah.Hawana ugomvi.Tatizo lako wachanganya mambo katika uislamu.Hakuna mahali Mtume Muhammad na Yesu watapigana.
Katika uislamu,siku Yesu alipokuwa anataka kusulubiwa,aliomba kwa Mungu,amuepushe na kikombe kile cha umauti.Aliomba sana.Mungu akamkubalia ombi lake,akamuokoa kumchukuwa mbinguni,hawakumsulubu wala hawakumuuwa,hayo ndio maelezo ndani ya Qur'an.Fikiria ikiwa Yesu,aliomba kikombe cha kifo kimuepuke na Mungu hakumkubalia,kwa nini asimkubalie?Kumbuka Yesu aliomba sana.Na aliyoko mbinguni hai si Yesu tu,hata Enock,ambaye alichukuliwa na upepo wa kisuli suli(naye pia wakati wake ukifika atakufa).Yaonyesha Biblia husomi na Qur'an unaitafuta kwenye website za maadui wa uislamu.Wanaopindisha ukweli.Katika uislamu sahihi hakuna mtu anayesubiriwa anayeitwa Mahad,hizo ni itikadi za wasio waislamu,wakajiita waislamu.Nina hakika itakuwa wafunguwa website zinazoanzishwa na wasiokuwa waislamu,wakajifanya ni website za uislamu.
Ni sawa muislam,afunguwe website ya Mormonism,kutafuta habari za ukristo.Kwa asiye jua ataona Mormonism ni wakristo wana musmini Yesu,lakini kumbe wako tofauti sana na ukristo.
 
Unayo hiyo Bibilia?
Na je lugha hiyo ya asili ni ipi?
Sema umejuaje/nani kakwambia hayo?
Hivi wewe kwa akili yako hayo aliondika Biblia walikuwa waswahili?Kina Mathayo na wezake hawakuwa waswahili.Hiyo Biblia ya kiswahili imetafsiriwa kutoka Biblia ya kiingereza,nayo ilitafsiriwa kutoka ya Kigiriki,nayo ilitafisiriwa kutoka kiyunani,nayo ilitafsiriwa kutoka kiebrania(lugha ya waandishi wa Biblia.
 
Angalia Mashetani hawa,na wanayofanya
Kaka huyo ni SHEITWAAANI!!
 
Wewe ndio kilaza,uwelewaji wako mdogo.Qur'an iloshasema hakuna ktakochabaki hai.Kila kilichoumbwa kitakufa.Yesu pia atakufa,ila mda wake bado,ukifika atakufa.
Imeandikwa wapi muda wa Yesu kufa haujafika.
 
Imeandikwa wapi muda wa Yesu kufa haujafika.
John:20:17
"Yesu akamwambia usinishike sijakwenda bado juu kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie:nakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu,Mungu wangu na Mungu wenu".
 
Unausoma wapi uislam?
kwa lugha gani ili nielewe?
wapi imeandikwa Yesu ni Nabii wa Allah na Muhammad mtume wa Allah?
Muhammada hana ugomvi na Yesu ama Issa?
 
Unausoma wapi uislam?
kwa lugha gani ili nielewe?
wapi imeandikwa Yesu ni Nabii wa Allah na Muhammad mtume wa Allah?
Muhammada hana ugomvi na Yesu ama Issa?
Soma hapo nimekuandikia,wataka usome wapi tena.[emoji115]
 
John:20:17
"Yesu akamwambia usinishike sijakwenda bado juu kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie:nakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu,Mungu wangu na Mungu wenu".
sasa hapo alikuwa ametoka wapi?ikiwa umetuambia Mungu alimtorosha asiuwawe?
 
John:20:17
"Yesu akamwambia usinishike sijakwenda bado juu kwa Baba.Lakini nenda kwa ndugu zangu uwaambie:nakwenda kwa Baba yangu na Baba yenu,Mungu wangu na Mungu wenu".
Kitabu gani hiki ulichotumia kuuleta huu ushahidi wako?
 
Nisaidie kunifafanulia kuwa mtume ndo kaiua sayansi na sayansi ipi iliibwa misri?
 
Kwahiyo technology yote iliyopo ni ileile iliyokuwa awali
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…