Soma Léonard da Vinci ,Thalas, Plato, Aristotle etc biographies zao utaona n'a walishi BCNdege zilikuepo before Christ? mobile phones je?
Tatizo una panic kama utaki kua Quran imetaja vingi na science ya leo ime kuja kuvivumbua mfano miaka ya kina Albert ndo wamekuja kujua mambo ya black holes space and time ila kumbe vilikuwepo kwenye kitabu na Mungu kaeleza 1400 iliopita asa una bisha nini, umeomba ya pharaoh hio hapo aya ya kuifadhiwa kwake kama fundisho ili nyie leo mnaokufuru muogope. mpate pakujifunzia What, now! When previously you rebelled and were one of the corrupters? Today we will preserve your body so you can be a Sign for people who come after you. Surely many people are heedless of Our Signs." (Qur'an, 10:91-92)
Kudos, Hata mapyramids yenyewe ni Sayansi tosha, unawezaje jenga bila crane? Ni miracle.Mtume kazaliwa kayakuta hayo yote yapo, ni uvivu wako tu wa kusoma, wewe umekaa na kitabu kimoja tu tena unasomewa na kutafsiriwa na viongozi wako
na pia ukae ukijua Mtume ndio kaja kuiua kabisa Sayansi ya Waarabu waliyoiiba kule kwa watu weusi wa Misri, Sudan na Ethiopia,
Wewe unachokiamini ndicho wanazuoni walipokuwa wanawakataza Wanasayansi wasiangaike kufanya tafiti zao za Kisayansi kwani Sayansi yote iko ndani ya Quran, watu wakaacha kufanya tafiti wakaanza kujikita kwenye kuitafuta sayansi kwenye Quran na mwisho wake ndio ikaiua kabisa Sayansi hiyo ya Mwarabu
Sayansi yote ya Dunia iko ndani ya Mapiramidi na mapango ya huko Misri, kila kitu kimo humo
Bible enyewe ina makosa kibao hadi basi na bible imekua proved wrong saana. bible enyewe ilikua ile angano la kwanza tena ile kidogo maana ilitiwa maneno ya watu.
Na nyie wanafizikia mkitulazimisha tuamini fizikia yenu kwa kutulazimisha tukikatae kitabu chetu huoni unatukosea heshimaSasa unaposema quran ndo iligundua unatukosea heshima sis wanafizikia.....
Sas usidanganye uma danganya muislam mwenzako ambaye hajasoma physics, Fizikia unaposema technologie y'a Léo huwa tunasoma nani alieanza kufkir ndo tunaendeleaNa nyie wanafizikia mkitulazimisha tuamini fizikia yenu kwa kutulazimisha tukikatae kitabu chetu huoni unatukosea heshima
Kwani umelazimishwa uamini kama huamini potezea sio na wewe udanganye watu eti sisi ni wanasayansiSas usidanganye uma danganya muislam mwenzako ambaye hajasoma physics, Fizikia unaposema technologie y'a Léo huwa tunasoma nani alieanza kufkir ndo tunaendelea
Qur'an imekuja tayari huo mwili upo ntajieUmesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?
Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!
91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!
92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Sasa mkubwa kama da Vinci aliishi BC,ule mchoro wa "the last supper" aliuchora nani?.Soma Léonard da Vinci ,Thalas, Plato, Aristotle etc biographies zao utaona n'a walishi BC
Inaonyesha ata Qur'an husomi umujui Yesu katika Qur'an soma kapembue yakinifu......Biblia inaelezea tohara tangu enzi za MusaKwa hiyo tuseme yesu hakutahiriwa????[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nauliza 2
Sayansi yako imeshindwa ku prove mechanisms zilizomfanya Yesu, atembee juu ya maji, afufuke, apae, afunge cku arobaini, e.t.c imeshindwa ata ku prove chombo cha mbao kikubwa safina (sio mtumbwi au mashua huenda km meli lkn cha chao) kilielea juu ya majiKuna mbingu saba kwenye universe kweli?Mtume muongo na amefeli kama walivyo wenzake akina Yesu na Saibaba nk...mtu sio mwanasayansi anajifanya anajua sayansi,what a shame to mtume...
Yaani wanadamu sijui lini tutakataa kudanganywa na mmoja wapo wa wanaadamu wenzetu eti anajifanya kuna "mungu" somewhere kampa "maono".
Uwongo uwongo tu!
Vinci aliishi À.D vitu alivyo design hakuvitoa Kwenye quranSasa mkubwa kama da Vinci aliishi BC,ule mchoro wa "the last supper" aliuchora nani?.
Mkubwa mimi nia yangu ilikuwa kupata tu ufafanuzi kama aliishi BC au AD...hayo mengine sina shida nayo.Vinci aliishi À.D vitu alivyo design hakuvitoa Kwenye quran
Hao wanajifanya wanasayansi kwenye hii thread sio lolote ni wakristo wanautukana uislam kwa mgongo wa sayansiSayansi yako imeshindwa ku prove mechanisms zilizomfanya Yesu, atembee juu ya maji, afufuke, apae, afunge cku arobaini, e.t.c imeshindwa ata ku prove chombo cha mbao kikubwa safina (sio mtumbwi au mashua huenda km meli lkn cha chao) kilielea juu ya maji
Science is nothing without God go n review articles!