Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Léonard de vinchi alidesign mchoro wa ndege before Christ, Archimedes ndo aliye gundua sheria za vitu kuelea eg ships, boats, balloon, ndege, n'a aligundua mizan or levers huyu aliishi before Christ ....zipo facts nying San znaprove
 

Mkuu acha kuota...Mohamed kajulia wapi Black Holes?Acheni kuota..

Nipe mistari yake na ka-define blackhole kama nini?Ka-develop equations pertaining blackholes?Mbuzi wa maziwa kabisa...unafikiri ni kazi ya kitoto kama kufundisha dini ambayo ji vitu vya uongo A to Z?Hebu acheni kujidhalilisha,jikiteni kwenye dini acheni kujifanya wanasayansi,mnazidi kujidhalilisha kabisa.
 
Kudos, Hata mapyramids yenyewe ni Sayansi tosha, unawezaje jenga bila crane? Ni miracle.
 
Bible enyewe ina makosa kibao hadi basi na bible imekua proved wrong saana. bible enyewe ilikua ile angano la kwanza tena ile kidogo maana ilitiwa maneno ya watu.

Vitabu vyote vya dini biblia,quran,Gita,etc ni uchafu mtupu....remove all of them on this planet earth...

Yaani majitu yanadanganya wazi wazi kabisa...these are the most stupidest books ever made...walioviandika huyo Mungu wanamsema atakua anawachoma moto as we speak,huwezi danganya the entire humanity for ten of thousands of years and still years to come...
 
Na nyie wanafizikia mkitulazimisha tuamini fizikia yenu kwa kutulazimisha tukikatae kitabu chetu huoni unatukosea heshima
Sas usidanganye uma danganya muislam mwenzako ambaye hajasoma physics, Fizikia unaposema technologie y'a Léo huwa tunasoma nani alieanza kufkir ndo tunaendelea
 
Kwani umelazimishwa uamini kama huamini potezea sio na wewe udanganye watu eti sisi wanasayansi
 
Sas usidanganye uma danganya muislam mwenzako ambaye hajasoma physics, Fizikia unaposema technologie y'a Léo huwa tunasoma nani alieanza kufkir ndo tunaendelea
Kwani umelazimishwa uamini kama huamini potezea sio na wewe udanganye watu eti sisi ni wanasayansi
 
Qur'an imekuja tayari huo mwili upo ntajie
 
Kwa hiyo tuseme yesu hakutahiriwa????[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] nauliza 2
Inaonyesha ata Qur'an husomi umujui Yesu katika Qur'an soma kapembue yakinifu......Biblia inaelezea tohara tangu enzi za Musa
Note: Qur'an imekopi maandiko ya biblia kwaiyo mtume alikopi tamaduni za wa israeli zilizoko kwenye biblia km tohara
 
Waislam wanajaza vi Thread vya udini humu ndani Wanasema vtu ambavyo havna proof, acheni Hyo tabia y'a udini, musijifanye ndo mnakubaliwa au watiifu mbele Zake Mungu au mnazan kati ya watu bilion 8,waislam bilion 1.5 ndo mumechaguliwa n'a Mungu its nonsense koo watu billion 6.5 ambao sio waislam hawaioni popo ??? Acheni kukalili maandishi Munajiita wenye haki kwa maandishi yenu, Mungu hajatamk kuwa amemchagua nani duniani acheni iyo tabia y'a udini
 
Sayansi yako imeshindwa ku prove mechanisms zilizomfanya Yesu, atembee juu ya maji, afufuke, apae, afunge cku arobaini, e.t.c imeshindwa ata ku prove chombo cha mbao kikubwa safina (sio mtumbwi au mashua huenda km meli lkn cha chao) kilielea juu ya maji

Science is nothing without God go n review articles!
 
Hao wanajifanya wanasayansi kwenye hii thread sio lolote ni wakristo wanautukana uislam kwa mgongo wa sayansi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…