Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Kaka rejea zipo, we haujaupitia huu uzi wote ili kujinufaisha kielimu, hapo mwanzo mbona tumeweka rejea nyingi tu?
Nipe rejea yoyote ya maelezo ya aya Qur'an,yanayoeleza
Qur'an 16:68-69
Hapa panatajwa,utengenezaji wa asali,na inaonyesha nyuki mwanamke ndio anaywtengeneza asali,nipe rejea yoyote kabla miaka 1400,iyopita ilitaja kuwa nyuki mwanamke ndio anatengeneza asali.
 
Kwa rejea zaidi kutokana mada aliyoanzasha Ahmardz, naambatanisha vitabu viwili vilivyo elezea maajabu mbalimbali ya Quran. Vile vile kwa vitabu na makala mbalimbali kuhu mada hii mtu anaweza kuperuzi kwenye mtandao ufuatao, Harun Yahya
 

Attachments

una jipa kazi kumuelewesha???? darasaa alisha sema kweli nimeamini na hapo mtu anakua mgumu kuelewa tuh.
 
Naomba nikujibu kama ifuatavyo

Kwanza kabisa lete andiko kutoka kwa Quran ambapo
Dunia iko flat.

Qur'an 15:19: And the earth We have spread out (like a carpet); set thereon mountains firm and immovable; and produced therein all kinds of things in due balance.

Qur'an 20:53: He Who has, made for you the earth like a carpet spread out; has enabled you to go about therein by roads (and channels); and has sent down water from the sky." With it have We produced diverse pairs of plants each separate from the others.

Qur'an 43:10: (Yea, the same that) has made for you the earth (like a carpet) spread out, and has made for you roads (and channels) therein, in order that ye may find guidance (on the way)

Qur'an 50:7: And the earth- We have spread it out, and set thereon mountains standing firm, and produced therein every kind of beautiful growth (in pairs)-


Pili
disprove kuwa mbingu saba haziko parallel.
Kwahiyo unakubali zipo Saba au zaidi?


Tatu.
Jua kuzama kwenye dimbwi ni vision ya mtu aliokua akielezewa.
Sasa Muhammad naye alipokuwa akieleza same story alitoa wapi? na huyo aliyekuwa anatoa maelezo ni nani?

Kwenye UISLAM mnasema kuna misingi ya.. nguzo za..

Tatizo lako Bibilia unayosoma ni ile aliyoishusha Allah. ambayo alishindwa kuilinda ikachezewa.

Ukisoma vyema mistari hii utaelewa nini Isaya alikuwa anasema nini. ni baadhi ya mistari nimekuwekea upate mtiririko wa kisa kizima.
Bible haikuandikwa kwa kuruka ruka.

MIE ninayo mengi tu kutoka kwa biblia ambayo ni uongo mtupu
1.DUNIA NI DUARA.
Isaya 40:22
Kuna Yeye anayekaa juu ya duara la
dunia,+ambayo wakaaji wake ni kama panzi, Yeye anayetandaza mbingu kama shashi bora, anayezitandaza kama hema la kukaliwa ndani

2. DUNIA NI PEMBE NNE
Isaya11:12
Naye hakika atainua ishara kwa ajili ya mataifa na kukusanya watu wa Israeli waliotawanywa;+ na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka miisho minne ya dunia.


isaiah 11:12
12 And he shall set up an ensign for the nations, and shall assemble the outcasts of Israel, and gather together the dispersed of Judah from the FOUR CORNERS OF THE EARTH. (KJV)

Revelation 7:1
1 And after these things I saw four angels standing on FOUR CORNERS OF THE EARTH, holding the four winds of the earth, that the wind should not blow on the earth, nor on the sea, nor on any tree. (KJV)

Job 38:13
13 That it might take hold of the ENDS OF THE EARTH, that the wicked might be shaken out of it? (KJV)

Jeremiah 16:19
19 O LORD, my strength, and my fortress, and my refuge in the day of affliction, the Gentiles shall come unto thee from the ENDS OF THE EARTH, and shall say, Surely our fathers have inherited lies, vanity, and things wherein there is no profit. (KJV)

Daniel 4:11
11 The tree grew, and was strong, and the height thereof reached unto heaven, and the sight thereof to the ENDS OF ALL THE EARTH: (KJV)

Matthew 4:8
8 Again, the devil taketh him up into an exceeding high mountain, and sheweth him all the kingdoms of the world, and the glory of them; (KJV)

Astronomical bodies are spherical, and you cannot see the entire exterior surface from any place. The kingdoms of Egypt, China, Greece, Crete, sections of Asia Minor, India, Maya (in Mexico), Carthage (North Africa), Rome (Italy), Korea, and other settlements from these kingdoms of the world were widely distributed.



The flat Earth is established and can never move?! The Sun hurries back to where it rises?!

"He set the earth on its foundations; it can never be moved. (From the NIV Bible, Psalm 104:5)"

"The LORD reigns, he is robed in majesty; the LORD is robed in majesty and is armed with strength. The world [The deceiving translators should've said "earth", not "world"] is firmly established; it cannot be moved. (From the NIV Bible, Psalm 93:1)"

"Say among the nations, "The LORD reigns." The world [Again, the deceiving translators should've said "earth", not "world"] is firmly established, it cannot be moved; he will judge the peoples with equity. (From the NIV Bible,Psalm 96:10)"

"The sun rises and the sun sets, and hurries back to where it rises. (From the NIV Bible, Ecclesiastes 1:5)"

Since when the Earth is flat and can never move?! We all know that the Earth and the other planets rotate and move in space around the Sun. Since when the Sun hurries back to where it rises, like if there is some hole it rises from and another hole it sets through on Earth?!


The Earth has pillars?!

"He shakes the earth from its place and makes its pillars tremble. (From the NIV Bible, Job 9:6)"
"Where were you when I laid the earth's foundation? Tell me, if you understand. (From the NIV Bible, Job 38:4)"


The Earth has Edges?!

"that it might take the earth by the edges and shake the wicked out of it? (From the NIV Bible, Job 38:13)"
"He unleashes his lightning beneath the whole heaven and sends it to the ends of the earth. (From the NIV Bible,Job 37:3)"
"for he views the ends of the earth and sees everything under the heavens. (From the NIV Bible, Job 28:24)"
"Their measure is longer than the earth and wider than the sea. (From the NIV Bible, Job 11:9).
 
Nipe rejea yoyote ya maelezo ya aya Qur'an,yanayoeleza
Qur'an 16:68-69
Hapa panatajwa,utengenezaji wa asali,na inaonyesha nyuki mwanamke ndio anaywtengeneza asali,nipe rejea yoyote kabla miaka 1400,iyopita ilitaja kuwa nyuki mwanamke ndio anatengeneza asali.

Kaka elewa kiwa, Wazamani walifanya kila kitu, ufugaji wa kisasa wa Nyuki ulianza enzi za Wamisri, Wachina, wahindi, Waitaliano na hata Wagiriki wa kale, hao watu walikuwa na uelewa mkubwa sana wa Nyuki na hata Muhammad alikopy hizo story kutoka kwa hayo makabila

Hiyo ni picha ya Nyuki kwenye michoro ya Misri
image.jpg


Wafugaji wa Nyuki wa Misri miaka zaidi ya 5000 kabla ya Muhammad
image.jpg


Uvumaji wa Asali miaka 5000 Kabla ya Muhammad
image.jpg


Uvunaji wa Asali miaka zaidi ya 5000 kabla ya Muhammad
image.jpg


Matumizi ya Nta
image.jpg
 
Kaka elewa kiwa, Wazamani walifanya kila kitu, ufugaji wa kisasa wa Nyuki ulianza enzi za Wamisri, Wachina, wahindi, Waitaliano na hata Wagiriki wa kale, hao watu walikuwa na uelewa mkubwa sana wa Nyuki na hata Muhammad alikopy hizo story kutoka kwa hayo makabila

Hiyo ni picha ya Nyuki kwenye michoro ya Misri
View attachment 461283

Wafugaji wa Nyuki wa Misri miaka zaidi ya 5000 kabla ya Muhammad
View attachment 461284

Uvumaji wa Asali miaka 5000 Kabla ya Muhammad
View attachment 461285

Uvunaji wa Asali miaka zaidi ya 5000 kabla ya Muhammad
View attachment 461286

Matumizi ya Nta
View attachment 461287
Sikukuambia kuhusu kuvuna,asali,kujuwa kama asali ilikuwa ikitengenezwa na nyuki mwanamke sio nyuki mwanamme.
Swali langu,Qur'an ilitaja nyuki mwanamke ndiye anayetengeneza asali,ni wapi katika rejea kunakoonyesha nyuki mwanamke anatengeneza asali,kabla Qur'an kutaja?
 
Nafikiri nimeshakuambia,ukitafsiri kitu chochote kutoka lugha moja kwenda nyingine,upo uwezakano mkubwa wa kupotosha maana halisi ya neno la asili.Kila lugha inafuata utamaduni wa watu wanaohusika na lugha.
Wewe unachosoma na kucopy na kupaste ni tafsiri ya Qutr'an sio Qur'an.Tafsiri ya lugha mbili tofauti zenye utamaduni tofauti.Kiarabu ni lugha ambayo imejitosheleza sana kwa maneno,tofauti na lugha yoyote,ndio maana ukisoma tafsiri ya Qur'an,haisemwi umesoma Qur'an,inakuwa umesoma tafsiri ya Qur'an.
Kuna maneno hata katika kiingereza yanakuwa na tofauti ikitumika comma,kwa mfano
1.
Kill him,not till I come
2
Kill him not,till I come
Hizo ni sentesi mbili za kiingereza zenye maana tofauti,wakati maneno yanafanana,comma ndio imeleta utofauti huo,kama una ujuzi kwenye lugha ya kiingereza,nafikiri utanielewa.Maneno hayo ukiyafsiri kwenye kiswahili hata ukiweka koma,itakuja maana moja,sio mbili tofauti

Kwa hiyo kwenye kiarabu ni zaidi,mpaka uwe umesomea lugha kiarabu kwa kiwango cha juu.
Hata kiswahili pia,kiswahili cha kusoma shule na tunachoongea ni tofauti,huwa wazazi wengi waswahili,ambao hawakupitia shule,hushangaa wakisikia mwanawe mswahili kapata F kiswahili na mchina kapata A kiswahili.
Kiarabu kilichotumika katika Qur'an ni cha kisomi,classic Arabic,ambapo muarabu ambaye hajui classic Arabic,hawezi kuelewa maana,na imefanyika makusudi ili waislamu wasome,kusoma katika uislamu ni lazima sio hiyari.
Sasa ndio umeongea nini?
wewe unaetetea hizi hoja umesoma hiyo classic Arabic au unskia Shekh Kipoozeo anasimulia kwa kigunya chako nawe ukaitikia aaamin?
ulijuaje kwamba hapana mungu anayepasa kuabudiwa isipokuwa allah, bila tafsir?
by the way. mnajichanganya changanya tu hapa. mnasema iliandikwa in arabic mara in Kuraish lungha ya Muhammad
sasa which is which?
 
Sikukuambia kuhusu kuvuna,asali,kujuwa kama asali ilikuwa ikitengenezwa na nyuki mwanamke sio nyuki mwanamme.
Swali langu,Qur'an ilitaja nyuki mwanamke ndiye anayetengeneza asali,ni wapi katika rejea kunakoonyesha nyuki mwanamke anatengeneza asali,kabla Qur'an kutaja?

Kaka tangu zama hizo, (Ancient time) tamaduni mbalimbali zilikuwa zinainasibisha zana na Nyuki wa Asali na uanamke na mambo yao ya Kimiungu, hivyo hata Muhammad alisikia na kukopi hizo Myth

Pitia hiyo, kisha lete swali lingine
SpiritHills
 
Kaka tangu zama hizo, (Ancient time) tamaduni mbalimbali zilikuwa zinainasibisha zana na Nyuki wa Asali na uanamke na mambo yao ya Kimiungu, hivyo hata Muhammad alisikia na kukopi hizo Myth

Pitia hiyo, kisha lete swali lingine
SpiritHills

Sikukuambia kuhusu kuvuna,asali,kujuwa kama asali ilikuwa ikitengenezwa na nyuki mwanamke sio nyuki mwanamme.
Swali langu,Qur'an ilitaja nyuki mwanamke ndiye anayetengeneza asali,ni wapi katika rejea kunakoonyesha nyuki mwanamke anatengeneza asali,kabla Qur'an kutaja?

Soma na hii kwa upole kaka na utaona Walichokuwa wanakiamini katika uzalishaji wa Asali na huo uanamke
Priestesses of the Bee: The Melissae
 
Sasa ndio umeongea nini?
wewe unaetetea hizi hoja umesoma hiyo classic Arabic au unskia Shekh Kipoozeo anasimulia kwa kigunya chako nawe ukaitikia aaamin?
ulijuaje kwamba hapana mungu anayepasa kuabudiwa isipokuwa allah, bila tafsir?
by the way. mnajichanganya changanya tu hapa. mnasema iliandikwa in arabic mara in Kuraish lungha ya Muhammad
sasa which is which?
Wewe ndio unajochanganya,ukiwa classic Arabic,ndio hicho kiarabu cha kisomi,walichokuwa wakiongea kabila la Kuraishi,ambalo ni kabila ndani ya waraabu.
 
Kaka tangu zama hizo, (Ancient time) tamaduni mbalimbali zilikuwa zinainasibisha zana na Nyuki wa Asali na uanamke na mambo yao ya Kimiungu, hivyo hata Muhammad alisikia na kukopi hizo Myth

Pitia hiyo, kisha lete swali lingine
SpiritHills
Bado hujajibu swali langu,ni rejea zipi zilizoeleza kama nyuki,mwanamke ndiye anayezalisha asali.Umeniletea watu walivyokuw wakiabudu nyuki.Swali tofauti na jibu.
Lete rejea zinazoonyesha,kama nyuki mwanamke anazalisha asali,kabla haijatajwa katika Qur'an.
 
Bado hujajibu swali langu,ni rejea zipi zilizoeleza kama nyuki,mwanamke ndiye anayezalisha asali.Umeniletea watu walivyokuw wakiabudu nyuki.Swali tofauti na jibu.
Lete rejea zinazoonyesha,kama nyuki mwanamke anazalisha asali,kabla haijatajwa katika Qur'an.
Soma hizo article kwa upole utaelewa tu

Lete swali lingine
 
Soma hizo article kwa upole utaelewa tu

Lete swali lingine
Nimesoma mwanzo mpaka mwisho hakuna jibu,kama wewe umeliona,hilo jibu la nyuki mwanamke ndio atangeneza asali,na imetajwa kabla Qur'an kutaja,kilete kipande hicho,nikisome.
 
Hakuna jibu,nimesoma yote sijaona palipoandikwa,kama nyuki mwanamke ndio anazalisha asali.Naona habari za waliondika kuabudu nyuki kwa wakati huo.

Soma hizo article kwa upole utaelewa tu

Lete swali lingine
Hapa hakuna jibu,na pia haya uliyoleta hapa ni ya watu wanaoabudu nyuki,na ni wa miaka 1800,1978,1998 mambo ya juzi juzi.
 
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Nilishasema Mudy alikuwa na kaujiniaz flan

Ndio maana nashangaa ktk quran nafikir surat Al baqara yeye mwenyewe mtume wa Allah alisema

Mwaminini Mungu pekee, Allah asiyezaliwa na mwaminini mtume wake pekee asiyejua kusoma wala kuandika.

Hayo ni maneno ya mtume kweli?

Cc: mahmood
 
Nilishasema Mudy alikuwa na kaujiniaz flan

Ndio maana nashangaa ktk quran nafikir surat Al baqara yeye mwenyewe mtume wa Allah alisema

Mwaminini Mungu pekee, Allah asiyezaliwa na mwaminini mtume wake pekee asiyejua kusoma wala kuandika.

Hayo ni maneno ya mtume kweli?

Cc: mahmood
Leraza,umesoma Gumbaru?
 
Back
Top Bottom