Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

Vipi mtu asiyejua kusoma na kuandika, aliyeishi miaka 1400 iliyopita akajua haya?

1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Labda usichojua ni kuwa Huyo mtu asiyjua kusoma na wala kutahiriwa alikuwa hajafanyiwa alikuwa anabeba maelezo ya mitaani kuhusu mambo mbali mbali na kuyanukuu kama yalivyo akisema kapata uvuvio
Kiukweli alikuwa bonge la kunukuu pasipo kuhoji. Hata jua kuzama kwenye tope ilikuwa ni sayansi ya gizani enzi hizo naye akaiingiza kqwnye Quran. Sayansi ya vimondo na mianga kuonekana inaanguka aliambiwa ni makombora ya Mungu dhieldi ya shetani naye akaweka kwwenye likitabu lake.
Na milima kutumika kusawazisha uwiano wa dunia ili isiangukie upande mmoja ni sayansi ya dhama za Giza utaikuta kwenye likitabu lenu. Wayahudi walimpa jina kwa kushika kila analolisikia kwenye vijiwe, litafute
 
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Huyo ndiyo kina Plato na Aristotle walikuwa wanajifunza kwake.
Myuislam hata asome vipi akili yale kama ya mtume wake
 
Huyo ndiyo kina Plato na Aristotle walikuwa wanajifunza kwake.
Myuislam hata asome vipi akili yale kama ya mtume wake
Sasa mkuu kwa akili za mtu kama huyu unategemea Muslim atakuaje? title ya uzi huu tu inakueleza kwamba muhammad alikuwa KILAZA. sasa followers wake si ndio watakuwa vilaza zaidi?

Muhammad huyu anakiri kuwa Jesus will die and rise again. halafu anageuka kauli yake kuwa hakufa bali ilifanyika ile kitu ya watoto wa mjini mnasema changu cheusi, changu chekundu nani kaona(kiini macho)ionekane kuwa alikufa kumbe Allah kamchepusha.

hebu atujibu hii quran yake na Muhammad inasema nini juu ya Yesu(Jesus)

Quran 19: 30-34,
ukilaza unaanzia hapo kwenye Quran 19:35- kuendelea


Quran 19:33
SAHIH INTERNATIONAL
And peace is on me the day I was born and the day I will die and the day I am raised alive."
 
Sasa mkuu kwa akili za mtu kama huyu unategemea Muslim atakuaje? title ya uzi huu tu inakueleza kwamba muhammad alikuwa KILAZA. sasa followers wake si ndio watakuwa vilaza zaidi?

Muhammad huyu anakiri kuwa Jesus will die and rise again. halafu anageuka kauli yake kuwa hakufa bali ilifanyika ile kitu ya watoto wa mjini mnasema changu cheusi, changu chekundu nani kaona(kiini macho)ionekane kuwa alikufa kumbe Allah kamchepusha.

hebu atujibu hii quran yake na Muhammad inasema nini juu ya Yesu(Jesus)

Quran 19: 30-34,
ukilaza unaanzia hapo kwenye Quran 19:35- kuendelea


Quran 19:33
SAHIH INTERNATIONAL
And peace is on me the day I was born and the day I will die and the day I am raised alive."
Haacha uchizi yesu ajafa na ndo maana hata rudi na ataishi na mpaka atakufa, kila nafsi itaonja umauti vyote vitaondoka kwenye uso wa dunia na dunia enywe na atabakia yeye mwenywe mwenyezi mungu. yesu ajafa atarudi sie tuna ongelea miracles za Quran and science asa unaleta mambo ya gambia kwenye issue ya north korea. wewe ndo kilaza mnazikana na suti na mapamba mdomoni.
 
Hizo ni Hoax, Waislamu wanajitahidi kuzitengeneza ili ziendane na Quran, ziko nyingi na za aina tofautitofauti mkuu, hiyo sio habari ya kweli
wewe ndo hoax huna hoja kaa kimya una hoja ilete usilete maneno yako ya chuki binafsi kisa umeona wonders, kitabu chenu kina errors za kila namna unaleta porojo unakurupuka sijui umetumwa.
 
wewe ndo hoax huna hoja kaa kimya una hoja ilete usilete maneno yako ya chuki binafsi kisa umeona wonders, kitabu chenu kina errors za kila namna unaleta porojo unakurupuka sijui umetumwa.
Kuhusu errors kaa kimya . Quran ni kitabu ambacho msomaji inabidi ajifanye hajui grammar ndio aelewe. Bahati mbaya miislam ukiionesha matatizo ya Quran inasema kwa kuwa hujui Kiarabu.
Shit kitabu gani kuelewa hadi ukifunze lugha kilichoandikiwa kwanza ? Jibu ni kwamba halitafsiriki kimeandikwa hivyo hovyo huwezi soma ukaelewa nini kiamaanisha hadi upate maelzo ya wanazuoni wanaojitahidi kuingiza mawazo yao ili quran nayo im meki sense
 
Sasa mkuu kwa akili za mtu kama huyu unategemea Muslim atakuaje? title ya uzi huu tu inakueleza kwamba muhammad alikuwa KILAZA. sasa followers wake si ndio watakuwa vilaza zaidi?

Muhammad huyu anakiri kuwa Jesus will die and rise again. halafu anageuka kauli yake kuwa hakufa bali ilifanyika ile kitu ya watoto wa mjini mnasema changu cheusi, changu chekundu nani kaona(kiini macho)ionekane kuwa alikufa kumbe Allah kamchepusha.

hebu atujibu hii quran yake na Muhammad inasema nini juu ya Yesu(Jesus)

Quran 19: 30-34,
ukilaza unaanzia hapo kwenye Quran 19:35- kuendelea


Quran 19:33
SAHIH INTERNATIONAL
And peace is on me the day I was born and the day I will die and the day I am raised alive."
Wewe ndio kilaza,uwelewaji wako mdogo.Qur'an iloshasema hakuna ktakochabaki hai.Kila kilichoumbwa kitakufa.Yesu pia atakufa,ila mda wake bado,ukifika atakufa.
 
Kuhusu errors kaa kimya . Quran ni kitabu ambacho msomaji inabidi ajifanye hajui grammar ndio aelewe. Bahati mbaya miislam ukiionesha matatizo ya Quran inasema kwa kuwa hujui Kiarabu.
Shit kitabu gani kuelewa hadi ukifunze lugha kilichoandikiwa kwanza ? Jibu ni kwamba halitafsiriki kimeandikwa hivyo hovyo huwezi soma ukaelewa nini kiamaanisha hadi upate maelzo ya wanazuoni wanaojitahidi kuingiza mawazo yao ili quran nayo im meki sense
Hata biblia hii unayosoma sio biblia ni tafsiri ya biblia.Biblia ina lugha Yake ya asili.Tafsiri ya biblia ,kwa ukilaza wenu ndio mumeifanya ndio biblia.
 
Hata biblia hii unayosoma sio biblia ni tafsiri ya biblia.Biblia ina lugha Yake ya asili.Tafsiri ya biblia ,kwa ukilaza wenu ndio mumeifanya ndio biblia.
Biblia haina Lugha ya Asili labda una maanisha vitabu vilivyomo kwenye biblia.
Uwe mpole khusu Errors Quran kuna aya zililiwa na mbuzi kabisa
 
1. Seven heavens-Mbingu kweli saba
2. Worm holes
3. Sea's can seperated and No light down there
4. Bigbang and bing crunch
5. Singularity
6. Black holes
7. Dark matter
8. Gravity
9. Human embrology
10. expanding of the universe
11. Time is relative
12. nerves in skin
13. ice in coments
14. seas
Huyu ni mtume, wote wana science wamekuja kujua kipindi hiki yote hayo.
Hamna sayansi yoyote kwenye Quran sijui kwanini mnalazimisha eti ina sayansi. Hacheni ujinga huo
 
Hamna sayansi yoyote kwenye Quran sijui kwanini mnalazimisha eti ina sayansi. Hacheni ujinga huo
Kama wajuwa hamna kwa nini useme hamna.Ukiona mtu asema hakuna kitu Fulani mahali,ajuwe alikiona kipo,ndio akasema hamna.
 
Kama wajuwa hamna kwa nini useme hamna.Ukiona mtu asema hakuna kitu Fulani mahali,ajuwe alikiona kipo,ndio akasema hamna.
Basi atupe maandiko ambayo yanazungumzia sayansi siyo utapeli tu hapa. Kwa kifupi Quran haina sayansi au atuthibitishie hapa!
 
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
kama upeo na uwezo wa mwanadamu kutenda chochote unatoka kwa Mungu inakuwaje Mungu huyo huyo umwadhibu mwanadamu kwa kutenda kitu kilicho nje ya uwezo wake,pia Mwenyezi Mungu anasema kuwa anakujua wewe hata kabla hajakuumba-kwa maana hyo Mungu alijua fika kuwa hao wafarao wangewatesa wana wa Israel na bado akawaumba ni Nani mwenye makosa hapo hao mafarao au Mungu??
 
Umesema kuhusu Tissue za Mafarao. Sasa yule Farao wa Misri aliomsumbua Sana Mussa na wana wa Israel. QURAN imesema mwili wake utahifadhiwa. Wala hautooza ili iwe fundisho kwa vizazi vijavyo. Na ndio maana mpaka leo ukienda Misri utaukuta mwili wake na ndani ya mwili wake kuna organs zote kama moyo, mapafu , utumbo nk. Heby jiulize toka Enzi za Mussa mpaka leo ni miaka Mingapi?

Quran inasema hivi:-
10:90-92
90.
Tukawavusha bahari Wana wa Israili, na Firauni na askari wake wakawafuatia kwa dhulma na uadui. Hata Firauni alipo kuwa anataka kuzama akasema: Naamini kuwa hapana mungu ila yule waliye muamini Wana wa Israili, na mimi ni miongoni mwa walio nyenyekea!

91.
Ala! Sasa? Na hali uliasi kabla yake na ukawa miongoni mwa mafisadi!

92.
Leo, basi, TUTAKUOKOA KWA MWILI WAKO, ili uwe ISHARA kwa ajili ya walio nyuma yako. Na hakika watu wengi wameghafilika na Ishara zetu.
Quran imerudia mambo ambayo yaliandikwa kwenye Biblia 2500 years before Quran. Kama swala la kuhifadhi miili lilikuwepo kabla hata Mohammed au Quran kuwepo! Pyramid zilijengwa kwa ajili ya kuhifadhi miili ya wafalme Mafarao/Firauni kabla Quran kuwepo. Quran imeandika mambo yaliyo kuwepo tayari hamna jipya just ya Pharaohs. Danganya kungine.
 
[Quran 6.125] Those whom Allah wants to guide, He opens their chests to Islam; And those whom He wants to leave astray, He makes their chests tight and constricted, as if they are ascending to the sky: Such is the penalty of Allah on those who refuse to believe.
Kwahiyo Allah anapendelea!
 
Kuhusu errors kaa kimya . Quran ni kitabu ambacho msomaji inabidi ajifanye hajui grammar ndio aelewe. Bahati mbaya miislam ukiionesha matatizo ya Quran inasema kwa kuwa hujui Kiarabu.
Shit kitabu gani kuelewa hadi ukifunze lugha kilichoandikiwa kwanza ? Jibu ni kwamba halitafsiriki kimeandikwa hivyo hovyo huwezi soma ukaelewa nini kiamaanisha hadi upate maelzo ya wanazuoni wanaojitahidi kuingiza mawazo yao ili quran nayo im meki sense
duh tufanye umeshinda basi maana naona una kazana kutafuta kasoro na una hata moja. kila mtu habaki na dini yake.
 
Back
Top Bottom