vipi naweza pata mkopo bila collateral

vipi naweza pata mkopo bila collateral

Dr Rutagwerera Sr

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2011
Posts
5,809
Reaction score
11,462
salam wadau. nilikuwa naomba anybody with ana idea namnm,kopo bila ya collateral wala loan fees. Nina good idea ktk nyumba ambayo ina vyumba 16 kila kimoja na sebule Mbezi tangibovu. Inauzwa mil 35 nataka kununua afu niwe napangisha watu. Msaada tafadhali.
 
salam wadau. nilikuwa naomba anybody with ana idea namnm,kopo bila ya collateral wala loan fees. Nina good idea ktk nyumba ambayo ina vyumba 16 kila kimoja na sebule Mbezi tangibovu. Inauzwa mil 35 nataka kununua afu niwe napangisha watu. Msaada tafadhali.

Hiyo ni nyumba au kiwanja??
 
Ukiwa na good credit score huna haja ya collateral.

But then again, maybe there is no credit rating in Tanzania.
 
Mkuu pole sanakwa hilo.

- Kwa Tanzania yetu si dhani kama hilolinawezekana, tena kwa mtu fresh kama wewe.Ila kwa wafanya biashara wakubwa huwa wana kitu kinaitwa overdraft ila walehuwa wanaruhisiwa kwa sababu ni watu wana investment za kufa mtu na ni watuambao wanaaminika sana na benki.

- kwa mtu ambae huyawahi kopa nivigumu sana mkuu,
- Ila kuna kitu huwa kinaitwa credithistory ukiwa mkopaji na mrejshaji mzuru kuna sehemu hufika huwa hawakosind sana kuweka vitu rehani.

MKUU VILEVILE HUO MKOPO WA KUNUNUANYUMBA SI DHANI KAMA UNAWEZA PATA, LABUDA KAMA UNATAKA KUNUNUA ZA NHC MAKE WALEWAMEINGIA MKATABA NA NHC.

-Biashara ya nyumba hutengeneza faidapolepole sana na ndo maana mikopo ya ujenzi wanyumba huchua miaka mingi sanakurejeshwa.

- Mkuu kingine ni kwamba hiyo sio goodaidea, hiyo ni aidea ya kawaida kabisa, kuna good business aidea ambazo kweliukienda hata kupresent mahali watu watakuvulia kofia.

- tujifunze kutofautisha kati yabusiness aidea na sound business aidea, mkuu huwezi kwenda kwenye paneliukaenda kupresent aidea ya kununua bajaji za kuzungusha town, watu watakucheka.

- Ukiwa na sound business aidea,unaweza pata hata watu wa kuingia nao ubia wawe na wa hapahapa bongo au hatakutoka nje ya nchi, ila lazima iwe aidea iliyo enda shule mkuu, ambayoukipresent inakuwa inakubalika 100%.

- NA BENKI SI KWAMBA WANAANGALIA TUCOLLATERAL, WANCHEKI NA BIASHARA YENYEWE ILIVYO, MAKE UNAWEZA UKAWA NACOLLATERAL ZA KUTOSHA NA BADO UKANYIMWA MKOPO.

 
Naomba unipe details za hiyo nyumba kama kweli ipo Tangibovu na inapatikana kwa hiyo price!!
 
Mkuu Tangi Bovu nyumba TZS 35 million!! Kitu kama hiyo hakuna
Ndio maana nimetafuta details haraka ili niichangamkie!! hata kiwanja kwa bei hiyo nipo tayari kukichukua
 
Mkuu shukrani kwa maelezo. ila umeunganisha maneno mengi ambayo yalipaswa kutenganishwa kwa kitufe cha nafasi kati ya neno na neno. vipi kuna shida?

Mkuu pole sanakwa hilo.

- Kwa Tanzania yetu si dhani kama hilolinawezekana, tena kwa mtu fresh kama wewe.Ila kwa wafanya biashara wakubwa huwa wana kitu kinaitwa overdraft ila walehuwa wanaruhisiwa kwa sababu ni watu wana investment za kufa mtu na ni watuambao wanaaminika sana na benki.

- kwa mtu ambae huyawahi kopa nivigumu sana mkuu,
- Ila kuna kitu huwa kinaitwa credithistory ukiwa mkopaji na mrejshaji mzuru kuna sehemu hufika huwa hawakosind sana kuweka vitu rehani.

MKUU VILEVILE HUO MKOPO WA KUNUNUANYUMBA SI DHANI KAMA UNAWEZA PATA, LABUDA KAMA UNATAKA KUNUNUA ZA NHC MAKE WALEWAMEINGIA MKATABA NA NHC.

-Biashara ya nyumba hutengeneza faidapolepole sana na ndo maana mikopo ya ujenzi wanyumba huchua miaka mingi sanakurejeshwa.

- Mkuu kingine ni kwamba hiyo sio goodaidea, hiyo ni aidea ya kawaida kabisa, kuna good business aidea ambazo kweliukienda hata kupresent mahali watu watakuvulia kofia.

- tujifunze kutofautisha kati yabusiness aidea na sound business aidea, mkuu huwezi kwenda kwenye paneliukaenda kupresent aidea ya kununua bajaji za kuzungusha town, watu watakucheka.

- Ukiwa na sound business aidea,unaweza pata hata watu wa kuingia nao ubia wawe na wa hapahapa bongo au hatakutoka nje ya nchi, ila lazima iwe aidea iliyo enda shule mkuu, ambayoukipresent inakuwa inakubalika 100%.

- NA BENKI SI KWAMBA WANAANGALIA TUCOLLATERAL, WANCHEKI NA BIASHARA YENYEWE ILIVYO, MAKE UNAWEZA UKAWA NACOLLATERAL ZA KUTOSHA NA BADO UKANYIMWA MKOPO.
 
Fedha unayotaka ni nyingi, ni vigumu kuipata bila riba ama dhamana. Labda unachotaka kufanya ni kutafuta "business angles" ambaye atataka kuwekeza katika hiyo nyumba ili mgawane mapato. Kwahiyo, jaribu kutoa tangazo lako upya - kwamba unatamfuta mtu mwenye mtaji wa shilingi hizo, ili mkanunue nyumba - na yeye atakuwa anakula asilimia 10 had 30 ya mapata milele ama mpaka umiliki wako utakapo koma. Masharti yatatofautiana.
 
Back
Top Bottom