Vipi tuendelee Kuusifu Ujinga wa Saido Kanoute na Rafu zake zinazoigharimu Simba SC au tumwambie sasa aache Upumbavu wake?

Vipi tuendelee Kuusifu Ujinga wa Saido Kanoute na Rafu zake zinazoigharimu Simba SC au tumwambie sasa aache Upumbavu wake?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Nayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie Sura anayekutazama au yoyote aliyeko mbele yako.
 
Nayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie Sura anayekutazama au yoyote aliyeko mbele yako.
Kolo unahaha sana kutafuta ku-justify kufungwa kwenu..!!!

TANGAZO TANGAZO.
Mahali popote ulipo, ukiwakuta Simba wana kombe lolote, toa taarifa polisi..!! Hata liwe la ndondo, maana litakuwa la wizi tu..!!
 
Nayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie Sura anayekutazama au yoyote aliyeko mbele yako.
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mh kazi ipo
Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC.

Namkumbuka sana Marehemu Kocha Wangu wa Timu ya Shule Uganda nikiwa ni Mtanzania pekee niliyekuwa Nikikichafua Tom Olinga alikuwa akisema ukiamua Kucheza Rafu basi hakikisha huyo Unayemchezea harudi tena Uwanjani Wewe ukipewa Kadi Nyekundu.

Alikuwa hapendi kuona Unacheza Rafu laini halafu Wewe unatolewa kwa Red Card na Uliyemchezea anaendelea Kukipiga akisema Kiganda 'Toina Magezi' kwamba huko ni kutokuwa na Akili yaani Upumbavu.

Najuta kwanini GENTAMYCINE enzi zangu Nakichafua Shule ya Msingi, ya Upili na kidogo Chuo nilikuwa sijirekodi ili Wadogo zangu akina Kapombe, Mkude na Sawadogo Wajifunze na Waniige hasa nikicheza Mbavu ya Kulia (Beki namba Mbili) na Kiungo Ukabaji ya Kibabe (Namba Sita) ambayo ilinifanya nipewe mno Mbunye za bure na Wanafunzi wa Kike wa Uganda na hata baadhi ya Mijimama kunishobokea hali ambayo ilinilevya na kujikuta Naua kabisa Kipaji changu na Kubobea katika Mbunye hadi leo.

adriz upo......!!!!!!
 
Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC...
Poleni sana WanaLunyasi.. but sijawahi ona Kiungo mpumbavu mcheza rafu za kijinga kama Kanoute 😂😂
 
Keko Mbozi road sio? Mimi niko hapa TMJ.
Ngoja nipambane Nimkazie kama nilivyomkazia Beki mahiri wa Simba SC zamani Mganda Joseph Owino Shemeji Mwajuma aishie Mbagala Zakhiem na akawa ananipa Siri za Wachezaji wa Simba SC na hata yaliyokuwa yakiendelea wakati huo.
 
Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC...
Wakati nacheza kagasheki cup..pia kulikua na huo msemo 'Toina Magezi'
🤓🤓🤓😊😊😊
 
Wakati nacheza kagasheki cup..pia kulikua na huo msemo 'Toina Magezi'
🤓🤓🤓😊😊😊
Huyo Kocha wangu Mganda Marehemu Tom Olinga alinikubali na kunipenda mno au kunipika vyema Kisoka hadi Kucheza Timu ya Kanda ya Luweero nchini Uganda na kupata Tuzo ambayo mpaka leo Mshua wangu (Baba) kaitundika Sebuleni Kwake na Picha yangu Juu nikiwa na Timu hiyo ya Kanda.

Ukiwa na Vipaji vingi ni raha mno tu.
 
Back
Top Bottom