Vipi tuendelee Kuusifu Ujinga wa Saido Kanoute na Rafu zake zinazoigharimu Simba SC au tumwambie sasa aache Upumbavu wake?

Vipi tuendelee Kuusifu Ujinga wa Saido Kanoute na Rafu zake zinazoigharimu Simba SC au tumwambie sasa aache Upumbavu wake?

Wewe ndiyo maana unaitwa Popoma. Hujawahi kumiliki akili. Sasa sababu ya kuniita mpumbavu hapa iko wapi?
Wewe naye hukumwelewa tu kwani mimi nilivyomwelewa alimaanisha huyo uliyemwita "Putin kama Putin" Ndiyo maana ametumia neno "mpumbavu"akimaanisha yeye.
Angekuwa anakutukana wewe angesema "pumbavu" angemaanisha wewe.
 
Wewe naye hukumwelewa tu kwani mimi nilivyomwelewa alimaanisha huyo uliyemwita "Putin kama Putin" Ndiyo maana ametumia neno "mpumbavu"akimaanisha yeye.
Angekuwa anakutukana wewe angesema "pumbavu" angemaanisha wewe.
Amenitukana mimi huyo. Namfahamu vizuri sana GENTAMYCINE the King.
 
Wewe naye hukumwelewa tu kwani mimi nilivyomwelewa alimaanisha huyo uliyemwita "Putin kama Putin" Ndiyo maana ametumia neno "mpumbavu"akimaanisha yeye.
Angekuwa anakutukana wewe angesema "pumbavu" angemaanisha wewe.
Asante kwa Kunielimishia hilo Lijuha.

Cc: Tate Mkuu
 
Back
Top Bottom