Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC.
Namkumbuka sana Marehemu Kocha Wangu wa Timu ya Shule Uganda nikiwa ni Mtanzania pekee niliyekuwa Nikikichafua Tom Olinga alikuwa akisema ukiamua Kucheza Rafu basi hakikisha huyo Unayemchezea harudi tena Uwanjani Wewe ukipewa Kadi Nyekundu.
Alikuwa hapendi kuona Unacheza Rafu laini halafu Wewe unatolewa kwa Red Card na Uliyemchezea anaendelea Kukipiga akisema Kiganda 'Toina Magezi' kwamba huko ni kutokuwa na Akili yaani Upumbavu.
Najuta kwanini GENTAMYCINE enzi zangu Nakichafua Shule ya Msingi, ya Upili na kidogo Chuo nilikuwa sijirekodi ili Wadogo zangu akina Kapombe, Mkude na Sawadogo Wajifunze na Waniige hasa nikicheza Mbavu ya Kulia ( Beki namba Mbili ) na Kiungo Ukabaji ya Kibabe ( Namba Sita ) ambayo ilinifanya nipewe mno Mbunye za bure na Wanafunzi wa Kike wa Uganda na hata baadhi ya Mijimama kunishobokea hali ambayo ilinilevya na kujikuta Naua kabisa Kipaji changu na Kubobea katika Mbunye hadi leo.
adriz upo......!!!!!!