GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kolo unahaha sana kutafuta ku-justify kufungwa kwenu..!!!Nayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie Sura anayekutazama au yoyote aliyeko mbele yako.
Hahaha [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie Sura anayekutazama au yoyote aliyeko mbele yako.
Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC.Mh kazi ipo
Mpumbavu.Putin kama Putin!
Poleni sana WanaLunyasi.. but sijawahi ona Kiungo mpumbavu mcheza rafu za kijinga kama Kanoute ππNa Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC...
Sijawahi kumkubali hata Siku Moja.Achaneni nae. Analeta vita uwanjani hajui fair play
I concur you.Poleni sana WanaLunyasi.. but sijawahi ona Kiungo mpumbavu mcheza rafu za kijinga kama Kanoute ππ
Wewe ndiyo maana unaitwa Popoma. Hujawahi kumiliki akili. Sasa sababu ya kuniita mpumbavu hapa iko wapi?Mpumbavu.
Ngoja nipambane Nimkazie kama nilivyomkazia Beki mahiri wa Simba SC zamani Mganda Joseph Owino Shemeji Mwajuma aishie Mbagala Zakhiem na akawa ananipa Siri za Wachezaji wa Simba SC na hata yaliyokuwa yakiendelea wakati huo.Keko Mbozi road sio? Mimi niko hapa TMJ.
Wakati nacheza kagasheki cup..pia kulikua na huo msemo 'Toina Magezi'Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC...
Thubutu...!!Zaman niliamin walizoea pombe wakinywa hyo pombe kali hawakunji sura
Huyo Kocha wangu Mganda Marehemu Tom Olinga alinikubali na kunipenda mno au kunipika vyema Kisoka hadi Kucheza Timu ya Kanda ya Luweero nchini Uganda na kupata Tuzo ambayo mpaka leo Mshua wangu (Baba) kaitundika Sebuleni Kwake na Picha yangu Juu nikiwa na Timu hiyo ya Kanda.Wakati nacheza kagasheki cup..pia kulikua na huo msemo 'Toina Magezi'
π€π€π€πππ