Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Ukiwa Talented kwenye kitu chochote hauwezi lala njaaaππHuyo Kocha wangu Mganda Marehemu Tom Olinga alinikubali na kunipenda mno au kunipika vyema Kisoka hadi Kucheza Timu ya Kanda ya Luweero nchini Uganda na kupata Tuzo ambayo mpaka leo Mshua wangu ( Baba ) kaitundika Sebuleni Kwake na Picha yangu Juu nikiwa na Timu hiyo ya Kanda.
Ukiwa na Vipaji vingi ni raha mno tu.
Sasa mbona Mimi nina Njaa sana Mkuu?Ukiwa Talented kwenye kitu chochote hauwezi lala njaaaππ
Mm ni fundi gereji pia ni welding π₯½ pia ni fundi fridges pia nashona chereani mkuu silali njaa....πππ€£πSasa mbona Mimi nina Njaa sana Mkuu?
kwa hiyo?Na Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC.
Namkumbuka sana Marehemu Kocha Wangu wa Timu ya Shule Uganda nikiwa ni Mtanzania pekee niliyekuwa Nikikichafua Tom Olinga alikuwa akisema ukiamua Kucheza Rafu basi hakikisha huyo Unayemchezea harudi tena Uwanjani Wewe ukipewa Kadi Nyekundu.
Alikuwa hapendi kuona Unacheza Rafu laini halafu Wewe unatolewa kwa Red Card na Uliyemchezea anaendelea Kukipiga akisema Kiganda 'Toina Magezi' kwamba huko ni kutokuwa na Akili yaani Upumbavu.
Najuta kwanini GENTAMYCINE enzi zangu Nakichafua Shule ya Msingi, ya Upili na kidogo Chuo nilikuwa sijirekodi ili Wadogo zangu akina Kapombe, Mkude na Sawadogo Wajifunze na Waniige hasa nikicheza Mbavu ya Kulia ( Beki namba Mbili ) na Kiungo Ukabaji ya Kibabe ( Namba Sita ) ambayo ilinifanya nipewe mno Mbunye za bure na Wanafunzi wa Kike wa Uganda na hata baadhi ya Mijimama kunishobokea hali ambayo ilinilevya na kujikuta Naua kabisa Kipaji changu na Kubobea katika Mbunye hadi leo.
adriz upo......!!!!!!
Ukweli sadio alifanya vitu vya hovyo kabisaNayasubiri Maoni yenu ili niyawasilishe Kwake kupitia Demu wake wa Kitanzania anayempenda hakuna mfano aishiye Keko mita chache tu na Kiwanda cha Pombe Moja Kali ambayo Ukiinywa ni lazima Umkunjie Sura anayekutazama au yoyote aliyeko mbele yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ko kipaji chako kikapoteaNa Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC.
Namkumbuka sana Marehemu Kocha Wangu wa Timu ya Shule Uganda nikiwa ni Mtanzania pekee niliyekuwa Nikikichafua Tom Olinga alikuwa akisema ukiamua Kucheza Rafu basi hakikisha huyo Unayemchezea harudi tena Uwanjani Wewe ukipewa Kadi Nyekundu.
Alikuwa hapendi kuona Unacheza Rafu laini halafu Wewe unatolewa kwa Red Card na Uliyemchezea anaendelea Kukipiga akisema Kiganda 'Toina Magezi' kwamba huko ni kutokuwa na Akili yaani Upumbavu.
Najuta kwanini GENTAMYCINE enzi zangu Nakichafua Shule ya Msingi, ya Upili na kidogo Chuo nilikuwa sijirekodi ili Wadogo zangu akina Kapombe, Mkude na Sawadogo Wajifunze na Waniige hasa nikicheza Mbavu ya Kulia (Beki namba Mbili) na Kiungo Ukabaji ya Kibabe (Namba Sita) ambayo ilinifanya nipewe mno Mbunye za bure na Wanafunzi wa Kike wa Uganda na hata baadhi ya Mijimama kunishobokea hali ambayo ilinilevya na kujikuta Naua kabisa Kipaji changu na Kubobea katika Mbunye hadi leo.
adriz upo......!!!!!!
Ngada FC. Mtatajana sana safari hii..!! Huu mwaka hadi upinduke, hakuna rangi mtaacha onaNa Demu Mwenyewe mvutaji Bangi kweli kweli hivyo naanza kupata Hisia kuwa huenda hata Yeye huwa Anavutishwa nae ndiyo maana anacheza Rafu za Kipumbavu ambazo zimekuwa zikitugharimu mno Simba SC.
Namkumbuka sana Marehemu Kocha Wangu wa Timu ya Shule Uganda nikiwa ni Mtanzania pekee niliyekuwa Nikikichafua Tom Olinga alikuwa akisema ukiamua Kucheza Rafu basi hakikisha huyo Unayemchezea harudi tena Uwanjani Wewe ukipewa Kadi Nyekundu.
Alikuwa hapendi kuona Unacheza Rafu laini halafu Wewe unatolewa kwa Red Card na Uliyemchezea anaendelea Kukipiga akisema Kiganda 'Toina Magezi' kwamba huko ni kutokuwa na Akili yaani Upumbavu.
Najuta kwanini GENTAMYCINE enzi zangu Nakichafua Shule ya Msingi, ya Upili na kidogo Chuo nilikuwa sijirekodi ili Wadogo zangu akina Kapombe, Mkude na Sawadogo Wajifunze na Waniige hasa nikicheza Mbavu ya Kulia (Beki namba Mbili) na Kiungo Ukabaji ya Kibabe (Namba Sita) ambayo ilinifanya nipewe mno Mbunye za bure na Wanafunzi wa Kike wa Uganda na hata baadhi ya Mijimama kunishobokea hali ambayo ilinilevya na kujikuta Naua kabisa Kipaji changu na Kubobea katika Mbunye hadi leo.
adriz upo......!!!!!!
Mkuu CHEREHANI HAISHONWI[emoji1787][emoji1787]Mm ni fundi gereji pia ni welding [emoji3066] pia ni fundi fridges pia nashona chereani mkuu silali njaa....[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23]
Nadhani umeelewa niseme nini Sasa.....π€£π€£π€£ππππππππ€£π€£Mkuu CHEREHANI HAISHONWI[emoji1787][emoji1787]
Mkuu mi mwenyewe sijui lbda mwambie genta akiweke vizuri hicho kiswahili[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nadhani umeelewa niseme nini Sasa.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Au labda ni "KUSHONA NGUO"[emoji1787][emoji1787]Nadhani umeelewa niseme nini Sasa.....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Ewaa..π€£π€£π€£π€£πππAu labda ni "KUSHONA NGUO"[emoji1787][emoji1787]
Ningeonekana Nina chuki binafsi na Kanoute, lakini Kwa vile niliwahi kumsema madhaifu yake Mara moja huku Simba ikiwa imeshinda na nikafokewa Acha Leo ninyamaze.Sijawahi kumkubali hata Siku Moja.
Siku uliyopangiwa na Madaktari wako kwenda Mental Hospital uliyopangiwa Kuchukua Dawa zako.Msiba wa Uncle wako mnazika lini?
Height kama hii Genta ulikua unamkaba nani?[emoji23][emoji23]Huyo Kocha wangu Mganda Marehemu Tom Olinga alinikubali na kunipenda mno au kunipika vyema Kisoka hadi Kucheza Timu ya Kanda ya Luweero nchini Uganda na kupata Tuzo ambayo mpaka leo Mshua wangu (Baba) kaitundika Sebuleni Kwake na Picha yangu Juu nikiwa na Timu hiyo ya Kanda.
Ukiwa na Vipaji vingi ni raha mno tu.