Vipi ulaya imeshaganda kwa baridi baada ya urusi kufunga koki za gesi?

Vipi ulaya imeshaganda kwa baridi baada ya urusi kufunga koki za gesi?

😂😂😂mpaka msimu utapita hakuna cha kuganda wala nini wanatoboa fresh tu wakati huo Russia anapumulia mashine baridi kwake inamchapa pia+kipigo cha juzi bado leo anaundiwa kikwazo kipya yani Putini naona anamaliza muda wake kwa aibu ...

😂😂😂😂😂😂baba yao haoni mbele saivi yani Putiniii hataka aamini kama aliye mdharau ndio amemdindia kiasi hiki...
Hawakawii kuketa hizi picha na kutuambia tayari Ulaya na Marekana wameshaganda huko
images (18).jpeg
images (19).jpeg
 
Vip na uchumi wa Urusi umesha sambaratika ?maana na nyie nato ya jf mlituambia kuwa Urusi haiwezi kuishi bila pesa za Ulaya.
Kuganda kwa barafu Ni Suala la mda mfupi Kama kweli Ulaya ikikatiwa gesi ya Urusi Kama tulivyoambiwa na Pro-Russia mpaka wakatunga wimbo wa WINTER,WINTER,WINTER. Cha ajabu mpaka Sasa Ulaya haijaganda kumbe zilikuwa Propaganda za Urusi na MaPro Wake.

Pro-Russia pia walidai kwamba Wanajeshi wa Urusi wanasubili WINTER ili kuwafyeka wanajeshi wote wa Ukraine na Kuiteka KYIV eti Wanajeshi wa Urusi Ni wazoefu wa Vita msimu wa Baridi. Cha ajabu mpaka leo Bado Ukraine iko imara badala yake Mamio ya wanajeshi wa Urusi wanakaangwa na HIMARS huko kwenye Battle Field na Baridi likiwepo. Kumbe hii pia ilikuwa Propaganda za Pro-Russia.

Kuhusu Uchumi wa Urusi kuteteleka nadhani utakuwa haufuatilii Vyombo vya habari vya Urusi. Waziri wa fedha wa Urusi mwezi Desemba alikili wazi kwamba Ukuaji wa Uchumi wa Russia umepungua kutoka 4.6% mpaka 2.1% Mwaka 2022. Uuzaji wa bidhaa za Urusi nje ya Nchi umeshuka kwa 73%. Zaidi ya Mafuta ya Gesi anayouza kwa Bei ya Discount huko China na India,Hakuna bidhaa nyingine ya Urusi inayouzwa nje. Mbolea na nafaka za Urusi zinaozea kwenye Maghara.

Thamani ya Ruble kabla ya Uvamizi wa Urusi dhidi ya Dollar ya Marekani ilikuwa 1$= 68RU.Baadae Urusi ilipotishia kwamba nchi zote zitanunua Mafuta yake kwa fedha yake ya Ruble,Thanks ya Ruble ikapanda mpaka 1$=53%. Baada ya Ulaya na G7 kuweka ukomo wa Bei ya Mafuta ya Urusi kutovuka $60 kwa Pipa,Nenda kaangalie thamani ya fedha ya Urusi ipo 1$=72RU. Kwahiyo mpaka Sasa Ruble inaendelea kushuka Thamani. Ngoja tusubili Zuio la Urusi kuuzia Mafuta nchi zilizoweka ukomo wa Bei kuanza kufanya Kazi mwezi Feburuari tuone thamani ya Ruble itakuwaje.
 
Ni wapumbavu tu ndio waliokuwa wanafikiri wazungu wa West watakufa kwa baridi kwa kukosa gesi ya Russia.
Hao watu wameishi kwenye barafu karne nyingi kabla hata ya ugunduzi wa mafuta na gesi hapo juzi tu tena huku wakitawala sehemu kubwa ya dunia.
Warusi wa JF walikuwa wanasema 'Winter is coming'.Wengi wao waliokuwa wanasema hivyo ukute hata Winter yenyewe hawaifahamu zaidi ya kugoogle na kutubandikia hapa.
 
Kuganda kwa barafu Ni Suala la mda mfupi Kama kweli Ulaya ikikatiwa gesi ya Urusi Kama tulivyoambiwa na Pro-Russia mpaka wakatunga wimbo wa WINTER,WINTER,WINTER. Cha ajabu mpaka Sasa Ulaya haijaganda kumbe zilikuwa Propaganda za Urusi na MaPro Wake.

Pro-Russia pia walidai kwamba Wanajeshi wa Urusi wanasubili WINTER ili kuwafyeka wanajeshi wote wa Ukraine na Kuiteka KYIV eti Wanajeshi wa Urusi Ni wazoefu wa Vita msimu wa Baridi. Cha ajabu mpaka leo Bado Ukraine iko imara badala yake Mamio ya wanajeshi wa Urusi wanakaangwa na HIMARS huko kwenye Battle Field na Baridi likiwepo. Kumbe hii pia ilikuwa Propaganda za Pro-Russia.

Kuhusu Uchumi wa Urusi kuteteleka nadhani utakuwa haufuatilii Vyombo vya habari vya Urusi. Waziri wa fedha wa Urusi mwezi Desemba alikili wazi kwamba Ukuaji wa Uchumi wa Russia umepungua kutoka 4.6% mpaka 2.1% Mwaka 2022. Uuzaji wa bidhaa za Urusi nje ya Nchi umeshuka kwa 73%. Zaidi ya Mafuta ya Gesi anayouza kwa Bei ya Discount huko China na India,Hakuna bidhaa nyingine ya Urusi inayouzwa nje. Mbolea na nafaka za Urusi zinaozea kwenye Maghara.

Thamani ya Ruble kabla ya Uvamizi wa Urusi dhidi ya Dollar ya Marekani ilikuwa 1$= 68RU.Baadae Urusi ilipotishia kwamba nchi zote zitanunua Mafuta yake kwa fedha yake ya Ruble,Thanks ya Ruble ikapanda mpaka 1$=53%. Baada ya Ulaya na G7 kuweka ukomo wa Bei ya Mafuta ya Urusi kutovuka $60 kwa Pipa,Nenda kaangalie thamani ya fedha ya Urusi ipo 1$=72RU. Kwahiyo mpaka Sasa Ruble inaendelea kushuka Thamani. Ngoja tusubili Zuio la Urusi kuuzia Mafuta nchi zilizoweka ukomo wa Bei kuanza kufanya Kazi mwezi Feburuari tuone thamani ya Ruble itakuwaje.
Mkuu umeongea mambo mengi lakini mengi hayana msingi.

Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa mpaka sasa gesi ya Urusi bado inatililika kwenda ulaya kupitia Ukraine sema tu si nyingi kama ilivyo kuwa kabla ya vita na hili limesababishwa na kuharibika kwa bomba kubwa la kusafirisha gesi kwenda Ujerumani.

Kingine unacho takiwa kujua ni kuwa kabla ya lile bomba kubwa halija halijalipuka nchi za Ulaya zilinunua gesi nyingi kutoka Urusi kwa ajili ya kuweka akiba ya gesi kwa ajili ya kipindi cha baridi na ndio maana mapato ya Urusi kwenye gesi ya likuwa juu zaidi mara mbili kabla ya vita, kwa hiyo mpaka sasa Ulaya ina tumia gesi ya Urusi waliyo inunua kipindi cha nyuma.

Kuhusu uchumi nchi zote duniani chumi zao ziko taabani ikiwemo nchi yako na hata hizo nchi za magharibi.

Kwa mujibu wa IMF uchumi wa Ujerumani umeshuka kwa asilimia 1.5 mwaka uliopita.
Uchumi wa Marekani umetetereka kwa 0.5 mwaka uliopita.
Uko Uingereza kwa mujibu wa makala ya BBC ndo hali inazidi kuwa mbaya iko hoi kiuchumi mpaka watu wameanza kula chakula cha mbwa na paka kutokana na ugumu wa maisha.

Uchumi wa china nao unapitia kipindi kigumu sana.
 
Matamko ya warusi wa JF ilikuwa ni kwamba majira ya baridi yakiingia urusi atazuia gesi hivyo ulaya yote itaganda.

Ningependa kupata updates juu ya hali ya ulaya kwa sasa maana msimu wa baridi ulianza mwezi disemba.
Unategemea nani atangaze hizo habari.propaganda kupitia media zina nguvu sana kuliko mabomu na risasi.
 
Warusi wa JF walikuwa na mbwembwe sana wakati huu uvamizi unaanza, wengine walikuwa wanatuzungumza Kirusi humu wakati Urusi yenyewe wameijua baada kuanza uvamizi wa Putin.
Warusi wa JF walikuwa wanasema 'Winter is coming'.Wengi wao waliokuwa wanasema hivyo ukute hata Winter yenyewe hawaifahamu zaidi ya kugoogle na kutubandikia hapa.
 
Vip na uchumi wa Urusi umesha sambaratika ?maana na nyie nato ya jf mlituambia kuwa Urusi haiwezi kuishi bila pesa za Ulaya.

Swali zuri sana, uchumi wa Urusi unapaa tu, viongozi wa EU waliojifanya vichwa ngumu kwa kurubuniwa na USA, hivi sasa raia wao wapo mitaani wana andamana kwa wingi wakipinga kudorora kwa Uchumi wao na kukosa kazi kutokana na viongozi wao kufuata US foreign policy blindly sasa wanajutia ujinga wao.

Labda niongezee kwa kusema kwamba hivi sasa mataifa mengi yanataka kujiunga na mfumo wa kielectronic wa Urusi na China wa kulipana, hawaitaji tena currencies za USDs wala card za VISA au kuhamisha fedha kwa kutumia mfumo wa swift - wamekwisha buni mbinu zao za kubadirishana malipo/fedha na zinafanya kazi kwa ufanisi.
 
Kuganda kwa barafu Ni Suala la mda mfupi Kama kweli Ulaya ikikatiwa gesi ya Urusi Kama tulivyoambiwa na Pro-Russia mpaka wakatunga wimbo wa WINTER,WINTER,WINTER. Cha ajabu mpaka Sasa Ulaya haijaganda kumbe zilikuwa Propaganda za Urusi na MaPro Wake.

Pro-Russia pia walidai kwamba Wanajeshi wa Urusi wanasubili WINTER ili kuwafyeka wanajeshi wote wa Ukraine na Kuiteka KYIV eti Wanajeshi wa Urusi Ni wazoefu wa Vita msimu wa Baridi. Cha ajabu mpaka leo Bado Ukraine iko imara badala yake Mamio ya wanajeshi wa Urusi wanakaangwa na HIMARS huko kwenye Battle Field na Baridi likiwepo. Kumbe hii pia ilikuwa Propaganda za Pro-Russia.

Kuhusu Uchumi wa Urusi kuteteleka nadhani utakuwa haufuatilii Vyombo vya habari vya Urusi. Waziri wa fedha wa Urusi mwezi Desemba alikili wazi kwamba Ukuaji wa Uchumi wa Russia umepungua kutoka 4.6% mpaka 2.1% Mwaka 2022. Uuzaji wa bidhaa za Urusi nje ya Nchi umeshuka kwa 73%. Zaidi ya Mafuta ya Gesi anayouza kwa Bei ya Discount huko China na India,Hakuna bidhaa nyingine ya Urusi inayouzwa nje. Mbolea na nafaka za Urusi zinaozea kwenye Maghara.

Thamani ya Ruble kabla ya Uvamizi wa Urusi dhidi ya Dollar ya Marekani ilikuwa 1$= 68RU.Baadae Urusi ilipotishia kwamba nchi zote zitanunua Mafuta yake kwa fedha yake ya Ruble,Thanks ya Ruble ikapanda mpaka 1$=53%. Baada ya Ulaya na G7 kuweka ukomo wa Bei ya Mafuta ya Urusi kutovuka $60 kwa Pipa,Nenda kaangalie thamani ya fedha ya Urusi ipo 1$=72RU. Kwahiyo mpaka Sasa Ruble inaendelea kushuka Thamani. Ngoja tusubili Zuio la Urusi kuuzia Mafuta nchi zilizoweka ukomo wa Bei kuanza kufanya Kazi mwezi Feburuari tuone thamani ya Ruble itakuwaje.
Hii hapa
Screenshot_2023-01-05-20-47-40.jpg
 
Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML Trident ICBM all laden with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed while in either their second or third phases by no nonsense MiG-31 lightening fast air to air missiles capable of detecting targets almost 400Km away and whose killing radius is more than 300Km that means Pilot sip lazima kuziona physically attacking ICBMs.

Nawambia Lila siku kwamba Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani,mara ooh etc niko biased, kwani lazima nikubaliani na maoni yenu ya bendera fuata upepo, yaani wengi wenu mnatawaliwa bygone cold war mentality yaani Amerika ikisema kitu lazima Nusu Dunia ikae chini na kumsikiliza, msifikiri watu wote Duniani bado wanasumbuliwa na kasumba hiyo, mpaka mnafikia hatua ya kutukana watu wakitofautiana na misimamo/maoni yenu!! - Nyie nani katika jukwaa hili,leteni maoni yenu mbadala lakini msijaribu kulazimisha watu wafuate misimamo/maoni yenu.

Juzi, juzi haha hata Elon Musk aliwahi kulionya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wachache wa EU walio mwelewa - kwamba USA pamoja EU wasifanye makosa ya kuchezea/provoke Urusi Karissa tena kuwakumbusha kwamba Russia si taifa la kuchezewa hata kidogo - mark you Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Nyie endeleeni kumbeza beza Putin.
 
Back
Top Bottom