Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.