Vipi ulaya imeshaganda kwa baridi baada ya urusi kufunga koki za gesi?

Vipi ulaya imeshaganda kwa baridi baada ya urusi kufunga koki za gesi?

Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.

Msemaji wa ikulu ya Kremlin ya Putin chawa namba moja wa Putin naona umechanganya madesa tu unawasikia Kaydrov siku hizi, Wegner ndio hao kila siku wanapukutishwa War is a hell vita isikie kwa jirani Marekani akiwa na Silaha za kisasa akitoroka Vietnam bila kuaga Vita ya uonevu haijawahi kushinda hata siku moja
Putin ana smell damu za watu wasio na hatia hana mwisho mzuri
 
Wewe unajuaje kama kuni na mkaa wa mawe hautumiki kwenye kipindi hiki cha baridi/winter.
Sasa msiseme kuwa ni sababu wamekosa gas. Kuna hadu machine za umeme wa kawauda kwa ajili ya kuzalisha joto
Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.
Wacha maneno wewe, unapenda sana kuleta vichekesho na vikaragosi humu ndani
 
Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea

 
Mkuu umeongea mambo mengi lakini mengi hayana msingi.

Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa mpaka sasa gesi ya Urusi bado inatililika kwenda ulaya kupitia Ukraine sema tu si nyingi kama ilivyo kuwa kabla ya vita na hili limesababishwa na kuharibika kwa bomba kubwa la kusafirisha gesi kwenda Ujerumani.

Kingine unacho takiwa kujua ni kuwa kabla ya lile bomba kubwa halija halijalipuka nchi za Ulaya zilinunua gesi nyingi kutoka Urusi kwa ajili ya kuweka akiba ya gesi kwa ajili ya kipindi cha baridi na ndio maana mapato ya Urusi kwenye gesi ya likuwa juu zaidi mara mbili kabla ya vita, kwa hiyo mpaka sasa Ulaya ina tumia gesi ya Urusi waliyo inunua kipindi cha nyuma.

Kuhusu uchumi nchi zote duniani chumi zao ziko taabani ikiwemo nchi yako na hata hizo nchi za magharibi.

Kwa mujibu wa IMF uchumi wa Ujerumani umeshuka kwa asilimia 1.5 mwaka uliopita.
Uchumi wa Marekani umetetereka kwa 0.5 mwaka uliopita.
Uko Uingereza kwa mujibu wa makala ya BBC ndo hali inazidi kuwa mbaya iko hoi kiuchumi mpaka watu wameanza kula chakula cha mbwa na paka kutokana na ugumu wa maisha.

Uchumi wa china nao unapitia kipindi kigumu sana.
Hahaha eti Uingereza watu wanakula chakula cha mbwa.

Kama Tanzania nchi fukara watu wake hawajafikia hiyo level ndio iwe Uingereza. Labda Uingereza ya Bonyokwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea

Majibu yako yanadhilisha tofauti ya mtu ambaye hakosoma shule za kuunga unga-na.mtu mwenye upeo mkubwa wa analytical mind na exposure nayo ina matter sana - any level headed person hawezi kutumbukiza masuala ya ngono kwenye masuala serious kama vita ya Ukraine-majibu yako speaks volume about your PERSONNA.
 
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea

[emoji28]

Sent from my Infinix X660B using JamiiForums mobile app
 
Majibu yako yanadhilisha tofauti ya mtu ambaye hakosoma shule za kuunga unga-na.mtu mwenye upeo mkubwa wa analytical mind na exposure nayo ina matter sana - any level headed person hawezi kutumbukiza masuala ya ngono kwenye masuala serious kama vita ya Ukraine-majibu yako speaks volume about your PERSONNA.
Kwa hiyo wewe ndiyo analytical mind mwenye shule kubwa iliyopelekea kukulemaza na kuwa na biased mind yenye chukichuki?
Ujue mimi nakujibu wewe kulingana na nilivyoona akili yako ilivyo?
Usitarajie kwamba ninapo deal na wewe na watu wenye akili za aina yako nitajibu tofauti na ninavyokujibu.
Sina huo muda wa kutoka nje line yako unayostahili.
 
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea

Mkuu LIKES zangu unaziona?
 
Hahaha eti Uingereza watu wanakula chakula cha mbwa.

Kama Tanzania nchi fukara watu wake hawajafikia hiyo level ndio iwe Uingereza. Labda Uingereza ya Bonyokwa

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Ubishi bishi tu, kwa akili zako unafikiri cha
Kwa hiyo wewe ndiyo analytical mimd mwenye shule kubwa iliyopelekea kukulemaza na kuwa na biased mind yenye chukichuki?
UJue mimi nakujibu wewe kulingana na nilivyoona akili yako ilivyo?
Usitaraji kwamba ninapo deal na wewe na watu wenye akili za aina yako nitajibu tofauti na ninavyokujibu.
Sina huo muda wa kutoka nje line yako unayostahili.

kula cha makopo kwa ajili ya paka na mbwa kinakuwa processed kwa kutumia mali ghafi zipi?? Hilo wala halishangazi, lakini wewe utabishi tu kujaribu kufurahisha baraza - eti labda Uingereza ya Bunyokwa nani kakwambia Uingereza is a bed of roses, hakuna watu maskini wa kutupwa wanao tegemea UB-40,hela hizo ndogo wanazo pewa na Serikali kila ijumaa zikiwahishia wana haha kama nini mpaka unawaonea huruma -FYI, they can do anything under the SUN.
 
Kwa hiyo wewe ndiyo analytical mimd mwenye shule kubwa iliyopelekea kukulemaza na kuwa na biased mind yenye chukichuki?
UJue mimi nakujibu wewe kulingana na nilivyoona akili yako ilivyo?
Usitaraji kwamba ninapo deal na wewe na watu wenye akili za aina yako nitajibu tofauti na ninavyokujibu.
Sina huo muda wa kutoka nje line yako unayostahili.
Asante sana mkuu, mpumbavu mjibu sawasawa na upumbavu wake.
 
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea


Sasa link hii ina mahusiano gani na masuala ya mgogoro wa Ukraine na international community - are you mentally sound kweli??
 
Sasa link hii ina mahusiano gani na masuala ya mgogoro wa Ukraine na international community - are you mentally sound kweli??
Kumbe umeifungua na kuisoma eeh!! Najua umeshapata chaka utakalokua unatumia muda wako mwingi.
Hiyo link ndiyo size yako.
Usinishukuru sasa, unawwza ukaja kunishukuru hata baadaye huko au Inbox, mimi sina noma.
 
Kumbe umeifungua na kuisoma eeh!! Najua umeshapata chaka utakalokua unatumia muda wako mwingi.
Hiyo link ndiyo size yako.
Usinishukuru sasa, unawwza ukaja kunishukuru hata baadaye huko au Inbox, mimi sina noma.
[emoji846][emoji3][emoji846][emoji3]
 
Back
Top Bottom