myoyambendi
JF-Expert Member
- Sep 13, 2013
- 166,767
- 705,461
Urusi hana lolote...atunze mabomu yake ya nyuklia basi.....Matamko ya warusi wa JF ilikuwa ni kwamba majira ya baridi yakiingia urusi atazuia gesi hivyo ulaya yote itaganda.
Ningependa kupata updates juu ya hali ya ulaya kwa sasa maana msimu wa baridi ulianza mwezi disemba.
Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.
Sasa msiseme kuwa ni sababu wamekosa gas. Kuna hadu machine za umeme wa kawauda kwa ajili ya kuzalisha jotoWewe unajuaje kama kuni na mkaa wa mawe hautumiki kwenye kipindi hiki cha baridi/winter.
Wacha maneno wewe, unapenda sana kuleta vichekesho na vikaragosi humu ndaniHizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.Hizi takwimu huwa mnazibuni wapi, lakini?? Narudia kuwakumbusheni tafuteni comments za leo za Secretary General wa NATO kasema nini kuhusu 6uwezo wa kijeshi wa Russia - amesema malengo yao kuhusu Ukraine yatatekelezeka yote, regardless of some minor setbacks kama za juzi - kaongezea kwa kusema kwamba jeshi LA Urusi liko radhi kuvumulia baadhi ya ushenzi wa Senselessky na wenzake kwa muda tu, lakini Russia ikikata shauri kwamba now they have had enough is enough of Ukranians puppet regime nonsense in Kiev, hukuna cha NATO wala USA wanaweza kumfanya lolote Urusi wala Putin -mnacho sahau ni kwamba Russia is still a thermonuclear SUPER POWER like it or not up2U - semeni mnacho kitaka lakini hata USA na some EU Nations zenye busara zimekwisha sema kwamba hakuna hata moja inataka kuingia vitani ie WW3 na Russia, mnajua kwa nini?? Jibu mnalo nyei endelezeni dharau zenu za kutoelewa mambo kiundani zaidi kuhusu silaha za kisasa za Urusi pamoja na madhara yake, endleeni kusifia 1970/80 Minuteman ICBMs na SML ICBM with yesteryear /stone age technology zote zinaweza kuwa intercepted and destroyed intjjeir second and third phases burden MiG-31 interCNNbne eret by its Russia ni taifa lingine kabisa hacheni mambo ya utani - hata Elon Musk aliwahi kuonya taifa lake(USA) pamoja na viongozi wa EU walio mwelewa kwamba Urusi si taifa la kuchezewa hata kidogo Musk is a scientist hasemi mambo ya kubuni hata kidogo - lakini sisi watu baki ndio wabishi kama nini. Endeleeni kumbeza lmrezaPutin.
Msimu wa baridi bado haujaanza rasmi.Matamko ya warusi wa JF ilikuwa ni kwamba majira ya baridi yakiingia urusi atazuia gesi hivyo ulaya yote itaganda.
Ningependa kupata updates juu ya hali ya ulaya kwa sasa maana msimu wa baridi ulianza mwezi disemba.
Jikite kwenye mada.Vip na uchumi wa Urusi umesha sambaratika ?maana na nyie nato ya jf mlituambia kuwa Urusi haiwezi kuishi bila pesa za Ulaya.
Nini kilikupelekea ukaanza kushiriki mapenzi ya jinsia moja ?Usinipangie cha kuandika we shoga.
Wamekimbia au wamebadili Id ?Mkuu Championship asante kwa kumbukumbu nzuri.
Most ya zile ID kwa sasa zimepotea wameona Supa power kumbe hamna lolote. Wale wa mwanzo wote wamekimbia humu baada ya mambo kuwa tofauti.
Hahaha eti Uingereza watu wanakula chakula cha mbwa.Mkuu umeongea mambo mengi lakini mengi hayana msingi.
Alafu unacho takiwa kujua ni kuwa mpaka sasa gesi ya Urusi bado inatililika kwenda ulaya kupitia Ukraine sema tu si nyingi kama ilivyo kuwa kabla ya vita na hili limesababishwa na kuharibika kwa bomba kubwa la kusafirisha gesi kwenda Ujerumani.
Kingine unacho takiwa kujua ni kuwa kabla ya lile bomba kubwa halija halijalipuka nchi za Ulaya zilinunua gesi nyingi kutoka Urusi kwa ajili ya kuweka akiba ya gesi kwa ajili ya kipindi cha baridi na ndio maana mapato ya Urusi kwenye gesi ya likuwa juu zaidi mara mbili kabla ya vita, kwa hiyo mpaka sasa Ulaya ina tumia gesi ya Urusi waliyo inunua kipindi cha nyuma.
Kuhusu uchumi nchi zote duniani chumi zao ziko taabani ikiwemo nchi yako na hata hizo nchi za magharibi.
Kwa mujibu wa IMF uchumi wa Ujerumani umeshuka kwa asilimia 1.5 mwaka uliopita.
Uchumi wa Marekani umetetereka kwa 0.5 mwaka uliopita.
Uko Uingereza kwa mujibu wa makala ya BBC ndo hali inazidi kuwa mbaya iko hoi kiuchumi mpaka watu wameanza kula chakula cha mbwa na paka kutokana na ugumu wa maisha.
Uchumi wa china nao unapitia kipindi kigumu sana.
Majibu yako yanadhilisha tofauti ya mtu ambaye hakosoma shule za kuunga unga-na.mtu mwenye upeo mkubwa wa analytical mind na exposure nayo ina matter sana - any level headed person hawezi kutumbukiza masuala ya ngono kwenye masuala serious kama vita ya Ukraine-majibu yako speaks volume about your PERSONNA.Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...www.jamiiforums.com
[emoji28]Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...www.jamiiforums.com
Kwa hiyo wewe ndiyo analytical mind mwenye shule kubwa iliyopelekea kukulemaza na kuwa na biased mind yenye chukichuki?Majibu yako yanadhilisha tofauti ya mtu ambaye hakosoma shule za kuunga unga-na.mtu mwenye upeo mkubwa wa analytical mind na exposure nayo ina matter sana - any level headed person hawezi kutumbukiza masuala ya ngono kwenye masuala serious kama vita ya Ukraine-majibu yako speaks volume about your PERSONNA.
Mkuu LIKES zangu unaziona?Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...www.jamiiforums.com
Jamaa anaupiga mwingi, mimi kazi yangu kuwagongea likes tu.
Ubishi bishi tu, kwa akili zako unafikiri chaHahaha eti Uingereza watu wanakula chakula cha mbwa.
Kama Tanzania nchi fukara watu wake hawajafikia hiyo level ndio iwe Uingereza. Labda Uingereza ya Bonyokwa
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Kwa hiyo wewe ndiyo analytical mimd mwenye shule kubwa iliyopelekea kukulemaza na kuwa na biased mind yenye chukichuki?
UJue mimi nakujibu wewe kulingana na nilivyoona akili yako ilivyo?
Usitaraji kwamba ninapo deal na wewe na watu wenye akili za aina yako nitajibu tofauti na ninavyokujibu.
Sina huo muda wa kutoka nje line yako unayostahili.
Asante sana mkuu, mpumbavu mjibu sawasawa na upumbavu wake.Kwa hiyo wewe ndiyo analytical mimd mwenye shule kubwa iliyopelekea kukulemaza na kuwa na biased mind yenye chukichuki?
UJue mimi nakujibu wewe kulingana na nilivyoona akili yako ilivyo?
Usitaraji kwamba ninapo deal na wewe na watu wenye akili za aina yako nitajibu tofauti na ninavyokujibu.
Sina huo muda wa kutoka nje line yako unayostahili.
Nyie ndiyo mpo mtaani mnalalamika bidhaa zimepanda bei.Vip na uchumi wa Urusi umesha sambaratika ?maana na nyie nato ya jf mlituambia kuwa Urusi haiwezi kuishi bila pesa za Ulaya.
Huku hakukufai we mzee. Nakushauri umgehamia kule kwenye ule uzi wa 'Kula Tunda Kimaskhara', kule mdiyo kuna kufaa wewe.
Connection hiyo hapo chini nimekuwekea
Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Katika harakati za ujana unaweza jikuta unatunukiwa tunda na binti kama utani vilee. Hii hutokea pale binti anapokuwa na hasira, jamaa yake amecheat so anataka kulipiza kisasi na kipindi manzi ana maumivu ya kuachwa! Hizi ndo moment kubwa ambazo gilrs wengi wanaliwa bila kutarajia wala kupanga...www.jamiiforums.com
Kumbe umeifungua na kuisoma eeh!! Najua umeshapata chaka utakalokua unatumia muda wako mwingi.Sasa link hii ina mahusiano gani na masuala ya mgogoro wa Ukraine na international community - are you mentally sound kweli??
[emoji846][emoji3][emoji846][emoji3]Kumbe umeifungua na kuisoma eeh!! Najua umeshapata chaka utakalokua unatumia muda wako mwingi.
Hiyo link ndiyo size yako.
Usinishukuru sasa, unawwza ukaja kunishukuru hata baadaye huko au Inbox, mimi sina noma.