Vipi? Umkute na nguo ya ndani umzue au bila bila mpenzi wako

Vipi? Umkute na nguo ya ndani umzue au bila bila mpenzi wako

Metronidazole 400mg

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
941
Reaction score
2,062
Wakati mnakubaliana kunyanduana hususani kwa mwanaume Kuna masharti ambayo unampa mpenzi wako pindi mnapokutana chumba Cha Siri awe amezingatia ili kukidhi matamanio Yako, kwa misingi ya kuongeza matamanio na hisia Kali za kimapenzi pindi mnapokutana.

Moja wapo ni kuhusu nguo ya ndani ( Pichu ) sawa?

Hivi nauliza kwako mwanaume mwenzangu, kipi kinakuhamasisha zaidi ( kukutia genye ).....umkute demu wako na nguo ya ndani au bila bila (yaani tunda halina kufuli )??

Na kwako mwanamke unapenda mwanaume yupi wakati wa sex??, anayekuvua Pichu au yule anayependa akute umevua mwenyewe??

Binafsi Mimi napenda niikute nyeupe safi inayovutia alafu nimvue Mimi huku ananilegezea macho, napata mzuka sana.......niishie hapa
 
Vijana jumapili yotee hii jamani mnaamka na haya mawazo..

Okey, Ngoja nikusaidie kitu. Itakuwa wewe bado sio mzoefu wa hawa wanawake, Ukishakuwa mzoefu yaani unakutana nao kila siku basi huwezi hata kujali tena mambo ya chupi sijui Bikini kwamba kavaa au hajavaa. Hii nilikuwaga nayo zamani sana ndio nilikuwa napenda demu awe amevaa Bikini au awe hajavaa kitu kabisa yaani Nikute Tubeless kwanzia hana chupi wala sidiria,, nilikuwa nadata sana. Ila kwa sasa hivi wala sio shida zangu hizo.

Mambo nayozingatia ni tofauti kabisa ambayo nayapata kwa mashangazi tu naolingana nao Umri. Hawa watoto sitaki hata kiwasikia
 
Back
Top Bottom