Sasa kuna msaada gani hapoNijuavyo VRF ni fedha iliyokuwa ikiongezeka kila Mwaka wa Fedha unapoanza ikiwa ni 6% ya Deni lililobaki. Kama ndivyo hivyo, maana yake kuanzia Tarehe 01 Julai ongezeko Hilo halitakuwepo lakini haibatilishi vrf ya nyuma.
Kwa mfano Mimi nilikopeshwa 6m, wakanipiga penalty na hiyo vrf na mpaka April nilikuwa nimelipa 9.5m na nilibakiza laki 6 lakini mwezi huo nikawaomba statement HESLB wakaniongezea laki 9 Tena hivyo Deni Baki ikawa 1.5m huku nilishalipa 9.5m, hivyo nitakapokamilisha nitakuwa nimelipa 11m chenji kidogo.
Kwangu tu watakuwa wamepora zaidi ya 5m. Ni wizi wa kiwango Cha juu Sana kwenye mkopo wa elimu tangu Dunia hii iumbwe.
Haina maana kwa sisi ambao tunamalizia kulipa lakini ni nafuu Sana kwa wanaomaliza chuo au waliomaliza hivi karibuni na kwa wale ambao hawajaanza kulipa kwa sababu Deni lao halitaongezeka kwa sababu wao watalipa Deni halisi labda na penalty ambayo inatozwa Mara moja tu.Sasa kuna msaada gani hapo
Kama deni lilikuwa 5m the na vrf ni 7m na Sasa ni 12m
unasema itabaki 12m haina maana yeyote ya kufuta
Sent using Jamii Forums mobile app
Umejuaje kama hawatafuta VRF ya zamani?? Maana kama hawataiondoa ina maana hakuna msaada kwa wadaiwa.Nijuavyo VRF ni fedha iliyokuwa ikiongezeka kila Mwaka wa Fedha unapoanza ikiwa ni 6% ya Deni lililobaki. Kama ndivyo hivyo, maana yake kuanzia Tarehe 01 Julai ongezeko Hilo halitakuwepo lakini haibatilishi vrf ya nyuma.
Kwa mfano Mimi nilikopeshwa 6m, wakanipiga penalty na hiyo vrf na mpaka April nilikuwa nimelipa 9.5m na nilibakiza laki 6 lakini mwezi huo nikawaomba statement HESLB wakaniongezea laki 9 Tena hivyo Deni Baki ikawa 1.5m huku nilishalipa 9.5m, hivyo nitakapokamilisha nitakuwa nimelipa 11m chenji kidogo.
Kwangu tu watakuwa wamepora zaidi ya 5m. Ni wizi wa kiwango Cha juu Sana kwenye mkopo wa elimu tangu Dunia hii iumbwe.
Umeyajuaje haya mkuu maana ndo maswali ambayo Bodi walikua wanakwepa kuyajibu?Haina maana kwa sisi ambao tunamalizia kulipa lakini ni nafuu Sana kwa wanaomaliza chuo au waliomaliza hivi karibuni na kwa wale ambao hawajaanza kulipa kwa sababu Deni lao halitaongezeka kwa sababu wao watalipa Deni halisi labda na penalty ambayo inatozwa Mara moja tu.
Nimeeleza kadri ya uelewa wangu, naweza kuwa tofauti na itakavyotekelezwa na Serikali.Umejuaje kama hawatafuta VRF ya zamani?? Maana kama hawataiondoa ina maana hakuna msaada kwa wadaiwa.
Je vip kwa wahitimu wa mwaka jana na mwaka huu watapigwa hiyo VRF kabla hawajapata kazi na kuanza kulipa?
Kama hawatawekewa hiyo VRF sasa kwa nn wa miaka ya Nyuma wao wasifutiwe?
Kwa mujibu wa loan statement zilizoanza kupatikana jana. VRF imefutwa, ya zamani imefutwa piaUmejuaje kama hawatafuta VRF ya zamani?? Maana kama hawataiondoa ina maana hakuna msaada kwa wadaiwa.
Je vip kwa wahitimu wa mwaka jana na mwaka huu watapigwa hiyo VRF kabla hawajapata kazi na kuanza kulipa?
Kama hawatawekewa hiyo VRF sasa kwa nn wa miaka ya Nyuma wao wasifutiwe?
Baada ya tamko la Rais kuhusu kufutwa kwa Value Retantion fee iliyokua inalalamikiwa Bodi ya mkopo ilitoa taarifa kuwa wanafanya marekebisho ya taarifa za wanufauka wanaolipa mkopo na kutoa taarifa za kula hatua waliyofikia.
Kimya kilichopo kinaonyesha kua yawezekana wanaweza kuja na formula ambayo itafanya suala hili kua la kisiasa na sio kumpunguzia mzigo mlipaji wa mkopo.
Kuna maswali yaliyokua yanaulizwa kuhusu kufutwa kwa VRF ambayo wengi walihitaji kupata majibu yake.
Tunaomba updates mapema ili
Madeni yamerekebishwa,angalia kwenye akaunt yako ya heslb.mimi wameniondolea 4.7mBaada ya tamko la Rais kuhusu kufutwa kwa Value Retantion fee iliyokua inalalamikiwa Bodi ya mkopo ilitoa taarifa kuwa wanafanya marekebisho ya taarifa za wanufauka wanaolipa mkopo na kutoa taarifa za kula hatua waliyofikia.
Kimya kilichopo kinaonyesha kua yawezekana wanaweza kuja na formula ambayo itafanya suala hili kua la kisiasa na sio kumpunguzia mzigo mlipaji wa mkopo.
Kuna maswali yaliyokua yanaulizwa kuhusu kufutwa kwa VRF ambayo wengi walihitaji kupata majibu yake.
Tunaomba updates mapema ili kama kuna malalamiko yafanyiwe kazi mapema
Kivipi mkuu.?Wa
Madeni yamerekebishwa,angalia kwenye akaunt yako ya heslb.mimi wameniondolea 4.7m
Statement umepata lini mkuu?Wa
Madeni yamerekebishwa,angalia kwenye akaunt yako ya heslb.mimi wameniondolea 4.7m
Wajinga sana, wanajifanya ile riba umeshailipa kabla 1st May. Hii inapelekea deni kuongezekaMim nimejaribu kutafuta balance yangu kwenye website ya bodi ya mikopo na kuipata ,bod walitakiwa kuondosha penalty pamoja na value retention fee kama walivyoelekezwa lakin walicho kifanya hakieleweki wametoa kidogo value retention fee pamoja na penalty nusu kwa nusu ,maumivu bado yapo pale pale,kwanini wasiondoe kabisa ili ibaki pesa waliyotukopesha tu bila riba ,mim nashauri ibaki disbursement amount pamoja na administration fee tu na si vinginevyo na Waziri wa Elimu alisema mtu alipe pesa aliyokopeshwa tu
Deni la salary slip waliweka wenyewe leo hii baada ya kulipa kwa miaka mitano wanasema deni halisi wanalo wao pathetic nasubiri julai waongeze nione.Wamefanya ujanja fulani ile penalty pamoja na value retention fee walikuwa nayo wao kwenye data base yao wala haikuwa kwenye salary slip sasa kinachonishangaza kwanini hawakuifuta wakati wanayo wao na haikuwa kwenye deni halisi(disbursement amount)inabidi tupaze sauti wafute kabisa,
Unaionaje hiyo account mdauwameniondolea
Wa
Madeni yamerekebishwa,angalia kwenye akaunt yako ya heslb.mimi wameniondolea 4.7m